Hea katingi saluni

he!! kwani lazima wavue mazubega yao?!!! naona kuna AK47 pembeni
 
duh.. inatishia amani kabisaaa..!
 
Duu haya binadamu au wanyama wanaojua kutumia bunduki
 
Jamani jamani huyo aliyekalia hiyo chuma aka kiti amekaliajekaliaje yani?? kule kwenye ile mipirai kule hakuumii????
 
Duu!!! These must be lebels the way they are, they look!!!!!!!!!!!!:mad2:
 
kila mtu anahaki ya kuishi vile atakavyo.kifupi imekaa vizuri
 
hahahah jamani jamani hii picha na aliyewapiga ilikuwaje ? teteteteh
 
me like this! joto hili lililopoa afrika na mpo wawili tu mazaga zaga ya nguo ya nini?!
 
Real african,tena nahisi hawa ni wa kule kggn kwetu ninapotoka,asili yangu kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…