Asalaalee.....! Umefanya nicheke ufakiri ni mazuri, kuna watu wamekuja kuiharibu nchi na kujenga mpasuko(deliberately) ambao watu wa nchi moja lakini watakuwa wakiangaliana utafikiri nchi iko kwenye civil war.Sisi hata huko Misri pia tunaenda kuvuna aibu kama ile tuliopata huko Zimbabwe kwenye Catarist.
My dear neighbour danganyikan naona hata huelewei mpira, huwezi kufananisha mshambuliaji na mlinzi, anyway a heads up for you Wanyama amefika fainali za uefa na kufunga timu kama barcelona, thinhs that a danganyikan never has archieved.Samata is far better compare to wa(meat)
Eti katokea Zanzibar πππMarcos Rashford Ana asili ya Zanzibar lkn huwezi kuona wabongo wakidai ni mtz
Origi hajafikia hata kiwango cha kinda Kelvin John
Hey mashemegi Oregi is not a Kenyan.