The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
It makes me wonderThank you asha D, to me i think she doesnt know herself very well, yaani unakaa na jamaa kama petty dog, halafu kila wakati unatoka na girlfriend, no ndoa no nothing, all teh fun with the girlfriend.... AND SADLY, YOU END UP JUDGING MEN!!!
DAH!!!
Mkuu kuna level fulani ya achievement huwa inatulevya.... na inatufanya hata yale tunayodhani, basi ndiyo ya kweli na sahihiIt makes me wonder
Point sana hii, na ukifikiria watu wengi walioshindwa mahusiano ndio washauri sana wa mambo haya ya mahusiano ila ukiangalia point ziko sawa hata kama haziwasaidii wao zinawasaidia wengine in other wayMkuu kuna level fulani ya achievement huwa inatulevya.... na inatufanya hata yale tunayodhani, basi ndiyo ya kweli na sahihi
Oprah has achieved more than any other woman in the world, businesswise... but she hasnt achieved in family, glamour, interpersonal relationship, sexuality and even spiritually...
My models ni wale wanaoshare daily ordinary life - na wapo wengi sana, but it comes to emotions and relationship, huwa napenda ksikia Diane Warren anaandika nini....
Oprah, Oprah no wonder you are not married; dragging your partner for all these years without a wedding ring nor a child....
Nothing is this black and white...
Oprah, Oprah no wonder you are not married; dragging your partner for all these years without a wedding ring nor a child....
Nothing is this black and white...
There's a lot hidden about the controversial life of OprahJamani hiyo ya child hata yeye siyo kwamba anapenda ASIWE NA MTOTO,
ila imemtokea ksb ubakaji aliofanyiwa akiwa mtoto.
Naomba kwa hilo asilaumiwe hata kidogo, amehangaika sana,
kupata mtoto lakin imeshindikana.
TUCHUKULIE USHAURI WA OPRAH KAMA WA KIBINADAMU,
NI LAZIMA UWE NA MAPUNGUFU.
Mkuu you said it all sina hata cha kuongeza, especially hapo kwenye bluuMkuu kuna level fulani ya achievement huwa inatulevya.... na inatufanya hata yale tunayodhani, basi ndiyo ya kweli na sahihi
Oprah has achieved more than any other woman in the world, businesswise... but she hasnt achieved in family, glamour, interpersonal relationship, sexuality and even spiritually...
My models ni wale wanaoshare daily ordinary life - na wapo wengi sana, but it comes to emotions and relationship, huwa napenda ksikia Diane Warren anaandika nini....
Maneno haya namuunga mkono 100% "Avoid men who've got a bunch of children by a bunch of different women",
anawadunga dunga mimba wanawake tofauti tofauti halafu hawaoi.
Kuna baadhi ya hayo aliyoyasema ukiyafuatilia sana basi AMUA kuishi single katika uhai wako wote,
manake mwanaume ni binadamu kama tulivyo sisi Wanawake ni lazima awe na mapungufu yake,
kama tuliyonayo sisi wanawake,kwa hiyo lililo muhimu uwe tayari kuyavumilia madhaifu yake unayoona unaweza kuyavumilia.
KWA SABABU OPRAH NI BINADAMU WA KAWAIDA SO NAAMINI KUWA,
KILA ASEMACHO PAMOJA NA UZURI WAKE BASI NA MAPUNGUFU PIA LAZIMA YAWEPO,
HAKUNA BINADAMU MWENYE MAWAZO, FIKRA,MTAZAMO, NA USHAURI ULIOKAMILIKA KWA 100%.
Jamani hiyo ya child hata yeye siyo kwamba anapenda ASIWE NA MTOTO,
ila imemtokea ksb ubakaji aliofanyiwa akiwa mtoto.
Naomba kwa hilo asilaumiwe hata kidogo, amehangaika sana,
kupata mtoto lakin imeshindikana.
TUCHUKULIE USHAURI WA OPRAH KAMA WA KIBINADAMU,
NI LAZIMA UWE NA MAPUNGUFU.
Angetupa ushuhuda jinsi gani hizo theory zimework kwake kwanza. Ni sawa na Europeans,World Bank na IMF wanapotoa prescriptions za kufikirika kwa LDCs ambazo hazina matunda yoyote. Je hizo theory zimework kwake au kwa nani na katika mazingira gani. Maana mwanaume/mwanamke wa kizungu si sawa na wa kiafrika.
Oprah Winfrey hajawahi kuwa na binding commitment na mwanamme, atawezaje kushauri wenzie?
Yeye kazi yake ni kuchumbiana tu na kula raha na mwanamme kwa kipindi fulani, hanaga mpango wa kwenda mbele zaidi, kiswahili tunaita malaya.
Si tunaweza fata maneno yake tu? kama tunavowasikiliza wachungaji makanisani, tunafata maneno wanayotuambia au vipi RutaTatizo kubwa kwa Oprah katika masuala ya women empowerment..herself she is not a role model...................financial and business succes at expense of long-term companionship is itself an anathema to being a relationships mentor........how many times do we confuse money with wisdom......................................?????????????????????????????