Zina bei tofauti kulingana na zinakotoka,bei ya reje reja na karibia mara tatu ya bei ya jumla,ushauri tafuta mfamasia/technician akutafutie kwa bei rahisi kwa hiyo ukishapima na kujua aina ya kifaa nenda pharmacy kubwa kubwa eg nakiete,okinawa,jd,grants ,salama au nenda pale shoppers plaza ie platinum pharmacy ukikwa ni pm ntaku assist