Heart Breaking: Roman Rain aachia mkanda wa Universal Championship.

Heart Breaking: Roman Rain aachia mkanda wa Universal Championship.

Wakongwe wameshasitafu,huu mchezo nimugumu sana na haitakiwi kuucheza mda mrefu,hasa pale mchezaji akiumia au akipata majeraha sehemu mbaya ndo mwisho wake,

shawn michael,edge, na wengne waliumia ndo wakaacha kabsa hasa edge shingo iliumia akaacha mapema.
HAWA UMRI
Under taker,triple H,Batista,Big show,John cena,Gold ice barge,the lock,landy orton,kalii,kane,Ray back,mark henly,stone cold,curt egle,nk
Niwachache wanaoweza kumudu mikiki hadi uzee mkubwa kama wa under taker na hulk hogan alivyo kuwa mbishi ,wengne akipata hela kidogo na ka umri kakienda anaanza kuwa anapepesuka ,mfano batista na wengineo hawajazeeka kushindwa kufanya mambo mazur ukilinganisha na umri wa under taker au hogan alivyokuwa mbishi
Wengi walitabili wwe inaishiwa nguvu kwani wachezaji wake wengi wanaondoka kila kukicha na inapolomoka sana wanabaki wababaishaji tu,wakina The miz na wengineo wasio na lolote,dakika mbili anakubali kushindwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787].kulikuwa kuna match kipndi kile yan unakaa unaisubr kwa ham ila si kwa sasa.
 
Dahh mimi. now days hata huwaga sifuatilii maana huwaga naona kuwa huo mchezo umepoteza mvuto "..

enzi za kina Cena ' Randy Orton " undertaker" stone cold .Shawn Michael .batista. triple H .Umaga . etc

ndio ilikuwaga balaa patashika nguo kuchanika
Dah wakati huo hutoki kwenye TV ,kina Great Khali
 
Hii kitu niliacha kuangalia pale nilipoanza kujiuliza swali kichwani kwangu.
Like:
"Hii kitu mbona ni kama maigizo fulani hivi?"
Basi baada ya kujiuliza hilo swali mara kwa mara wala sikuchelewa sana kuacha kuangalia hii kitu,mvuto ukapotea kabisa.
 
Dahh mimi. now days hata huwaga sifuatilii maana huwaga naona kuwa huo mchezo umepoteza mvuto "..

enzi za kina Cena ' Randy Orton " undertaker" stone cold .Shawn Michael .batista. triple H .Umaga . etc

ndio ilikuwaga balaa patashika nguo kuchanika
Ilikuwa noma sana mwanangu dah watu kila jumamosi saa 5 usiku ITV macho kodo mbele ya tv
 
Pole yake. WWE itazidi kupoteza mvuto!
 
Deane Ambrose alinishangaza sana najajua ni unga umetawala maana ata last wk aliondok ueanjani na kueaacha wenzake Jamaa kichwa hake mbovu Sana!
Joe(romeo)the wwe champion kkadai soon atarudi afikikiri kustaafu
 
Huu mchezo nliacha kuangalia mwaka 1999 baada ya kufaham ni maigizo.mshindi anapangwa na anakuwa anajulikana. Hata zile mbwembwe na kupigana si halisi.from there nikawaachia watoto na wanawake.miaka flan nikapata demu mmoja anapenda ikabidi niwe nampa kampan.ila ni utoto sana.sasa naangalia MMU NA NDONGA.

Hii kitu niliacha kuangalia pale nilipoanza kujiuliza swali kichwani kwangu.
Like:
"Hii kitu mbona ni kama maigizo fulani hivi?"
Basi baada ya kujiuliza hilo swali mara kwa mara wala sikuchelewa sana kuacha kuangalia hii kitu,mvuto ukapotea kabisa.
 
Mieleka sio maigizo ni mchezo halisi.
Ila kunawakati wanaweza kuseti tangazo la mchezo ujao ili kufanya watazamaji waje kwa wingi.
Hivyo kuonekana kama wanaigiza.
Mchezo huo iliwahi kuchezwa hata hapa nchini hapo zamani kidogo na Ulifungiwa baada ya kukosa viwango vya kuuendesha.
Wachezaji walikuwa Kama
Power Bernardo, Power Shaka Vuru Mroma na wengineo.
Na ulichezwa Kama unavyochezwa Leo kwenye WWE.
 
Mieleka sio maigizo ni mchezo halisi.
Ila kunawakati wanaweza kuseti tangazo la mchezo ujao ili kufanya watazamaji waje kwa wingi.
Hivyo kuonekana kama wanaigiza.
Mchezo huo iliwahi kuchezwa hata hapa nchini hapo zamani kidogo na Ulifungiwa baada ya kukosa viwango vya kuuendesha.
Wachezaji walikuwa Kama
Power Bernardo, Power Shaka Vuru Mroma na wengineo.
Na ulichezwa Kama unavyochezwa Leo kwenye WWE.
Bosi wao alisha sema kuwa ni maigizo ya kweli. Mwigizaji akikosea kidogo anaumia au ana muumiza mpinzani wake
 
Back
Top Bottom