Mkome kuishi Uswahilini
Duh, thats too bad. Isije kuwa ni lile kundi la vijana ambao walikuwa kama sabini hivi huku kwetu waliokuwa wanafanya vurugu kulipa kisasi baada ya vibaka wenzao kuhukumiwa kifo na mahakama za uraiani na adhabu ikatekelezwa pale pale!
Mpe pole sana.