Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
kuwa wazi tu, usiogope ....
itakuletea matatizo kiongozi.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuwa wazi tu, usiogope ....
halafu we mshana jr utakuwa umefurahi sana kusikia eti wife Heaven on earth hapatikani humu! ila usijipe moyo bure we endelea kupenda avatar tu, mie niendelee kumpenda jumlajumla!
halafu we mshana jr utakuwa umefurahi sana kusikia eti wife Heaven on earth hapatikani humu! ila usijipe moyo bure we endelea kupenda avatar tu, mie niendelee kumpenda jumlajumla!
Heaven on earth asante mwaya urafiki gani huu hadianaomba kuingia chumbani namawaridi kitandani juice za ukwaju lolnilijua kabisa lazma ufanye umbeya hapa..
unataka uibiwe wewe?
by the way huyu ni rafiki yangu tuu..tena my best friend even my wife anaijua hili vyema sana
Heaven on earth asante mwaya urafiki gani huu hadianaomba kuingia chumbani namawaridi kitandani juice za ukwaju lol
yaani mume wangu kujipendekeza kote kupika pweza na juice ya parachichi bado wataka kukimbia kha kweli wanaume hamridhiki.angalia yasije yakakutokea kama ya juzi usiku shauri yaako
itakuletea matatizo kiongozi.....
Ooooh! unadanganywa kabisa kuna mtu ali huck akaunt yangu mi hayo
Sijayasema hata kidogo...
Heaven on earth asante mwaya urafiki gani huu hadianaomba kuingia chumbani namawaridi kitandani juice za ukwaju lol
yaani mume wangu kujipendekeza kote kupika pweza na juice ya parachichi bado wataka kukimbia kha kweli wanaume hamridhiki.angalia yasije yakakutokea kama ya juzi usiku shauri yaako
Fungua u tyubu Mshana jr ft Heaven on earth uone hiyo video mi can maneno meeeengi ,hafu alifyokudipu Nilikuwa naye maana tulipata habari kuwa kisim chako cha mchina kimejibuloku
kwani dhambi? au unatamani na wewe kunitengenezea?
Heaven on earth unasema?>:mvutaji::mvutaji::mvutaji:
hapana.....
kukutengenezea juice pia hapana
Kaizer no smoking hapa mtaani kwetuHeaven on earth unasema?>:mvutaji::mvutaji::mvutaji:
kama hapana hayo mawili, ndiyo ni nini?
Pole kwa kupigwa Chini...