Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,580
Sikujui dada huwa nakusoma tu humu...lakini nikiri wazi kuwa uzi wako wa stori yako ya kupanda mlima kilimanjaro umenibadili sana mtazamo kuhusu maisha dada,ubarikiwe sana.
Nimeweka dhamiri ya kuwa mwaka huu au ujao lazima nipande mlima kilimanjaro.
Na kwa sababu niko mbeya,mwaka huu nitapanda mlima MBEYA NA LOLEZA ili kuunga mkono juhufi zako dada Heaven Sent.
Nimeona picha zako pia ingawa ulifunga uso,lakini you are cute and pretty.
Nimekupenda sana Heaven sent.
Uzi huu hapa.
Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro - JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeweka dhamiri ya kuwa mwaka huu au ujao lazima nipande mlima kilimanjaro.
Na kwa sababu niko mbeya,mwaka huu nitapanda mlima MBEYA NA LOLEZA ili kuunga mkono juhufi zako dada Heaven Sent.
Nimeona picha zako pia ingawa ulifunga uso,lakini you are cute and pretty.
Nimekupenda sana Heaven sent.
Uzi huu hapa.
Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro - JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app