FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
hayo magwanda kichwani na kwingineko hebu yavue. utumwa huo basi........
Kamvue Bi Mariam kwanza mama'ke Yesu Alayhi Salaam.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hayo magwanda kichwani na kwingineko hebu yavue. utumwa huo basi........
ulitaka awe kwa waarabu ndio uone sawa.
Huyu dada hajielewi kuwa naye ni mtumwa, tofauti ni kuwa amewapenda mabwana zake zaidi na kuwaona watumwa wa wazungu ni wajinga.
Bora uwe mtumwa wa mzungu utapata akili kuliko kuwa mtumwa wa mwarabu atakufanya ujiue kwa kujitoa muhanga
umemuosha muosha🙂🙂🙂Msiojijuwa=msiojijua
Hivi huko shuleni huwa mnaenda kujifunza ujinga?
Thubutu, alichojidai kukisahihisha ni tofauti na nikichokiandika, kanisome vizuri.Kumbe ki-Lupita kimekula chumvi kiasi hiki[emoji15]
Kwani wewe hujawahi kukaa uchi? Unashangaa nini kuhusu uchi?At least hao wanajijuwa wapo kwao hawajaenda utumwani kuuzwa na wazungu.
Kamvue Bi Mariam kwanza mama'ke Yesu Alayhi Salaam.
Mie sipo kwa huo utumwa wa kwako kufuata Mila za mwarabu Na mzungu! Kalipua ndugu zako ukifuata Mila za mwarabu ukiita dini teule my foot!!!
Kila mnavyojitembeza uchi ndivyo watazidi kuwasifia.
Biashara ni matangazo.
Msojijuwa.
Haya ndiyo maajabu ya JF. Mtu anajitahidi kukimbia kivuli chake!
Kwa ID hiyo?
Utumwa umekuja a ukuchani mpaka utosini.
Kwi kwi kwi teh teh teh
HujielewiWakenya wanapowafanya wazungu kama mungu wao...[emoji13]