Hebu cheki dada wa kikenya alivyosifiwa na wazungu

Hebu cheki dada wa kikenya alivyosifiwa na wazungu

Huyu dada hajielewi kuwa naye ni mtumwa, tofauti ni kuwa amewapenda mabwana zake zaidi na kuwaona watumwa wa wazungu ni wajinga.
Bora uwe mtumwa wa mzungu utapata akili kuliko kuwa mtumwa wa mwarabu atakufanya ujiue kwa kujitoa muhanga

Tatizo lako na la wenzako walio kama wewe ni kujazwa ujinga na mkajazika. Kama unabisha hujajazwa ujinga nijibu swali hili:

Jee, wewe si mstaarabu?
 
Mie sipo kwa huo utumwa wa kwako kufuata Mila za mwarabu Na mzungu! Kalipua ndugu zako ukifuata Mila za mwarabu ukiita dini teule my foot!!!

Haya ndiyo maajabu ya JF. Mtu anajitahidi kukimbia kivuli chake!

Kwa ID hiyo?

Utumwa umekuja a ukuchani mpaka utosini.

Kwi kwi kwi teh teh teh
 
Nikweli kabisa hujakosea, ukitembea uchi mbele yao unasfiwa wanawake mnapendwa kudhalilishwa, sjui kwann hamjitambui
Kila mnavyojitembeza uchi ndivyo watazidi kuwasifia.

Biashara ni matangazo.

Msojijuwa.
 
Haya ndiyo maajabu ya JF. Mtu anajitahidi kukimbia kivuli chake!

Kwa ID hiyo?

Utumwa umekuja a ukuchani mpaka utosini.

Kwi kwi kwi teh teh teh

Toa sauti mpaka za Chura.......uslamu ni Mila Na desturi za mwarabu vile ukristo ni uyahudi tu...kwa hivyo vaa uniform yako ya black ndio mwarabu amekwagizia ije mvua au jua.....
......
 
Back
Top Bottom