Sasa hapa ushindani kimziki utakuwa mgumu.Kwanza huyu She yule He,pili huyu anafokafoka yule RnB sijui.Sasa sijui ushindani tutuweka vipi?
Wanaojiita team Anaconda,nipeni sababu za msingi kwamba huyu Jide kamfunika Mwana FA kwa mziki?
ukisikiliza nyimbo zao utaona Jide hafikii hata robo ya FA.
hivi mnajua kwamba wimbo mzima wa Jide unaweza ukafunikwa kwa msamiati mmoja kwenye wimbo mmoja wa FA?
Mshindanisheni Jide kwa hela alizo nazo na FA ila si mziki maana anafunikwa ile mbovu!
Jay dee choko tu
Jay dee choko tu
Jay dee choko tu