Hebu hili tulitafakari pamoja wadau

Bajabiri

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
9,728
Reaction score
1,204
Binadam wana utaratibu wao kutongozana na hadi wanapofanya mapenz.........lakini wanyama nao wana utaratibu wao,na ndege nao wana utaratibu wao,mathalan KUKU,jogoo anapotaka kukutana kimwili na kuku jike,kinachotokea hapo ni kuanza kukimbizana kwa muda mrefu sana,kama jogoo legelege na hana mazoez anaweza akakosa penzi,najiuliza kwanini inakua hivi,Imagine na binadamu wangetumia style kama ya kuku je ingekuaje?hasa maeneo yenye msongamano kama vile posta,kariakoo,au ONE WAY DODOMA,au eneo lolote lenye msongamano wa watu......ukiwaangalia mbwa nao ndio usiseme,wakinatana hapo,mmmmh
 
Mungu alisema awepo kuku, mbwa nk lakini kwa mwanadam akamuumba kwa mkono wake mwenyewe! so huwez mfananisha mnyama na mwanadam hata siku moja, wanyama wana-do for production na sio starehe, wanadam 2na-do kwa ajili ya production na starehe pia, thus y 2naitaj privacy ya ukwee. ila sred yako bana
 
Ahahahaaaaahh!!!! Ngoja nikapate chai kwanza....LOL!!
 
Hahahahahaa! Ilikuwaje waje mpaka ukapata hili wazo mkuu? Au umewaona mbwa asbh hii sehemu sehemu?
 
Mopao,unajua ukiwaza matatzo ya tanzania na vioja vyake utapasuka kichwa ndio maana mda mwingine tunatakiwa tuwazue na style hizi
Hahahahahaa! Ilikuwaje waje mpaka ukapata hili wazo mkuu? Au umewaona mbwa asbh hii sehemu sehemu?
 

Ya SWALA ni kiboko!!!!!!
Winner take ALL!!!!!
 
Hahahahaaaa,imekaaje sridi hiii??Unajua samito mda mwingine nikiwaona hawa viumbe huwa nawatazama kwa makini,na huwa nawaza pia why so??????au ndio mapozi,kwanin jike likimbiiie
 
Mi nafkir ingekua poa tu, mambo ya kubembelezana mpaka sometyms kufikia kuingia gharama wakat raha tunapata wote yasingekuwepo
 
Aaaaa,kwani sasa hivi raha hatupati wooteeeee
 
Mimi nafikiri kuwa sisi tungekuwa na style za kuku na kuku wangekuwa na style za watu hivyo kuku wasingetushangaa kabisa.
 
Ukifikiria sana Mwenyezi Mungu alivyoviumba viumbe vyake, hutafika kokote utaumiza kichwa tu. Angeumba tofauti na ilivyo sasa tungekuwa tumeshazoea na hali hiyo. Tunaona ingekuwa ajabu kea sababu hatuko kwenye hali hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…