Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Huyu prof ni balaa,ila ana nondo za kutosha muhaya yuleProf Lugumamu mzee wa misifa anasema ukiliona garo lake limepako manzese poga simu polisi limeibiwa au limetekwa maana yeye hans Cha kufuaya manzese
Sent using Jamii Forums mobile app
COET
Huu mwandiko wa Sinare kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahHivi CBE,TIA,DIT,Navyo ni vyuo vikuuu haaaàaaa kama nawaona hivi wanavyokasirika
Prof Juan Mwaikusa na Prof Shivji UDSM - Administrative Law...Proff Juan Mwaikusa, Dr Mvungi mlinifunza mambo ya msingi sana, kitu kimoja cha msingi mlinifunza petience, Mungu awarehemu,sijamsahau mwl Simwaba na Mtefu waalimu wangu wa sekondari mkae pema,
sorry na Mwalimu Maufi wa shule ya msingi sijakusahau ukae pema peponi...
Sorry mleta mada umelenga wahadhiri but....
wengine we are so touched na waalimu waliotujengea misingi....
kabla ya kufika vyuo...
see you in the next life
[emoji849][emoji849]kha!khaa!!!!.Prof Mshana Jr wa University of Gambush,college of witchcraft and dark arts
Chambega enzi hizo UDSM alikuwa linaitwa Electrical Machine (Ilikuwa balaa sana)Chambega
Wote hao nawakumbuka sana enzi za FoE..T93He
was the best..T98
Prof John Masuha
For udsmWawapi huyu CAWM nini [emoji23]