Hebu Mnijibu, Hii Kama Sio Bangi Ni Nini??

Kila mtu na ana anachovu3tiwa nacho kwa mwanamke,wengine akili,elimu sio big deal,wao wanataka chura bila hilo akieleweki,sasa huwezi kuwalaumu.
 
Siku zote ukiwa na kitu huoni thamani yake na hata ukiona unachukulia poa ila sasa kitakapokosekana au kutokuwepo ndo umuhimu na matumizi ya hicho kitu unaanza kuyaona.
Wengi ndivyo tulivyo
 
Siku zote ukiwa na kitu huoni thamani yake na hata ukiona unachukulia poa ila sasa kitakapokosekana au kutokuwepo ndo umuhimu na matumizi ya hicho kitu unaanza kuyaona.
Wengi ndivyo tulivyo
Tamaa inaponza wengi,binadamu haturidhiki.
 
Umeongea kwa hisia sana na inaonekana unauzoefu...Funguka zaidi mkuu jinsi chura alivyo na hasara
kaka chura zina hasara,mfano ile chura mpya ya wema ile,anachambaje ile nyieee.na kucha zake ndio zile.chura nzuri ila nkiwaza kilicho katikati ya chura nachoka
 
Duh" [emoji706] [emoji706] [emoji706]
 
Unashangaa tako watu wanaacha watu kisa tu kucha zake hazing'ai....
 
Kila mtu na ana anachovu3tiwa nacho kwa mwanamke,wengine akili,elimu sio big deal,wao wanataka chura bila hilo akieleweki,sasa huwezi kuwalaumu.
Kweli love is crime
 
hahahah Mwanangu Unauzoefu wa kutosha tu
 
Siku zote ukiwa na kitu huoni thamani yake na hata ukiona unachukulia poa ila sasa kitakapokosekana au kutokuwepo ndo umuhimu na matumizi ya hicho kitu unaanza kuyaona.
Wengi ndivyo tulivyo
feitty umeongea Point tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…