Hebu mwangalieni huyu lecturer wa udom


Wewe dogo ni poyoyo sana.
Kwa hio kwa vile huyo dada alikuwa anasoma ndio ukakonclude kuwa hajui? Dogo acha ukiazi... Umshaaambiwa usikrem. Wewe mtu ambaye kameza akija anakutemea tu ndiye unamuona kuwa anajua sana?
Ni kama watu baki wanaodhani kuwa amtu anayejua english ndio mwenye akili.
Wake up udom chuo sio kama A level hupewi kila kitu kaka. Ukiona huelewi darasani ujue wewe ndio tatizo
 
Vilaza kama nyie ndo mnafanya UDOM itukanwe, mmezoe vya dezo

Ten UDOM naona ina walim wazuri tu, sema products inayoenda pale ndio hakuna kitu labda. Kama akili zenyewe ndio hizi.
- nakumbuka waliandamana kila mmoja alitaka anunuliwe laptop hahaha!! Nilicheka sana .. Hapo wana computer room zina PC kibao ila wao nia yao sio kusoma ilikuwa kuandamana na visababu vyao mbuzi.
-huyu alivyokuja kulalamika hapa nka flshback kukumbuka sakala lao.
- kama hamuamini angalieni watakavyokuja hapa kwa matusi bila hoja za msingi.-
Concl: yangu:
Tatizo ni wewe mwenyewe mwanafunzi na wala sio lecturer.
 
Heading " Hebu angalieni" content "nasubiri nimalize chuo/ semester". Sasa tuangalie nini? Na kama ulikuwa unaogopa, umeleta hapa ili tufanyeje?
 

nikafikili umeweka picha au video.. Kumbe viazi tu
 
Kaka usikurupuke na kutoa habari ambazo si za kweli na huna ushahidi nazo. Tangu lini udom wameandamana kisa laptop. Ivi ilo swala linakujia vizur akilin kwel?? Watu walkua wana sabab zao za msingi za kuandamana. Jipange asee
 
sasa wewe ni mbabaishaji kushinda lecture wako . .hichi ndo ulicholeta tusome hapa
 

na wewe jitu zima linaishi kwa habari za umbea. .be sure of what u say
 
huyu ni mwanafunzi wa udom kweli.......mbona mawazo yake kama mtoto wa form 4
 
dont pray for an easy life, pray for the strength to endure tough one. (Bruce Lee)
 
huo ni ujinga dogo...we komaa kiume coz vyuo vikuu hakuna formular ya kufundishia kila mwl anayo yake so be careful mbulula wewe....
 
we badge sasa kama unasubili semister ihishe umeleta madame ya nini? we Nina mashaka na elimu yako cjuh kama itakusaidia maishan mwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…