Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #21
HahahHili lidada linanyota ya vocha tu!..🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahHili lidada linanyota ya vocha tu!..🤣
Umeupiga mwingi boss!Sawa ngoja niende kwa wakala, niko mwanza ntamtumia Wakala wa Katavi
Huyo nani?Haaahaa, 😅 😅 Mona centrizone
Ujanja kuwahi..!Hili lidada linanyota ya vocha tu!..🤣
Asali wa moyo part two.Huyo nani?
Inspekta anakwambia
Huyu Dada sijui nilie au nikae kimya?
Lipstick, enjoface na makeup, ana ngozi kama imemwagiwa asali, ijigi jigi jigii......Chuchuchuuu!! Nimeuwawa kikatili ana bambataa utafikiri haendi chooni😅😅
Hee hii iko wapi?Toto la kikaladi, kibabadi tena kishua!
Sikikkza huo wimbo una hayo manenoHee hii iko wapi?
wewe hata ukichelewa hiyo ni nyota yako, si hata kile kipindi wanagawa mavocha humu wewe ndo ulikuwa kidedea! atakaekuja kukuoa ajipange...🤣Ujanja kuwahi..!
Sasa vocha za elfu 5 ni kitu cha kumshinda mume wangu?😅wewe hata ukichelewa hiyo ni nyota yako, si hata kile kipindi wanagawa mavocha humu wewe ndo ulikuwa kidedea! atakaekuja kukuoa ajipange...🤣
Sivyo hivyo ni hiyo nyota yakuwahi kila kitu inaonyesha wewe hata kamimba katawahi..😁Sasa vocha za elfu 5 ni kitu cha kumshinda mume wangu?😅
😒ukweli mchungu.Sivyo hivyo ni hiyo nyota yakuwahi kila kitu inaonyesha wewe hata kamimba katawahi..😁
Jipe burudani dada katika sana mambo ya watoto yapo tu kama ya vocha...🤣😒ukweli mchungu.
Ni wa wapi kenya auInspector Haroun ndio bingwa wakusifia misosi ya kwa mademu zake.
Nimetoka vumbi sijaelewa😀😀Khaa!! Ndio nini😅