Hebu niambie haya maneno yako kwenye wimbo gani wa Bongo Fleva

Hebu niambie haya maneno yako kwenye wimbo gani wa Bongo Fleva

Haaahaa, 😅 😅 Mona centrizone
Huyo nani?

Inspekta anakwambia

Huyu Dada sijui nilie au nikae kimya?

Lipstick, enjoface na makeup, ana ngozi kama imemwagiwa asali, ijigi jigi jigii......Chuchuchuuu!! Nimeuwawa kikatili ana bambataa utafikiri haendi chooni😅😅
 
Huyo nani?

Inspekta anakwambia

Huyu Dada sijui nilie au nikae kimya?

Lipstick, enjoface na makeup, ana ngozi kama imemwagiwa asali, ijigi jigi jigii......Chuchuchuuu!! Nimeuwawa kikatili ana bambataa utafikiri haendi chooni😅😅
Asali wa moyo part two.
 
wewe hata ukichelewa hiyo ni nyota yako, si hata kile kipindi wanagawa mavocha humu wewe ndo ulikuwa kidedea! atakaekuja kukuoa ajipange...🤣
Sasa vocha za elfu 5 ni kitu cha kumshinda mume wangu?😅
 
Back
Top Bottom