Tanzania Nchi Yetu Sote
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 505
- 872
1=Mnyaturu-Aliyegonga hodi chooni?
2=Mgogo-Aliyeenda Dukani kuuliza Mbegu ya soda?
3=Muhaya-Aliyekula Hotelini akaosha vyombo?
4=Masai-Aliyemuamkia mtu kwenye Tv?
5=Msukuma-Aliyetoa laini kwenye simu ili asome sms?
6=Mchagga-Aliyeenda na spana Benki ili akafungue akaunti?
7=Mnyiramba-Aliyevua viatu alipokuwa anapanda basi?
8=Mpare-Aliyenyimwa chakula msibani akaaga akisema Mungu yupo nami nitafiwa tu mtakuja kwangu?
9=Msandawe-Aliyekimbia gari la Tigo kisa anadaiwa na mtandao?
KAMA HUWEZI TUMA KWA MWINGINE MPAKA TUMJUE MSHAMBA!
2=Mgogo-Aliyeenda Dukani kuuliza Mbegu ya soda?
3=Muhaya-Aliyekula Hotelini akaosha vyombo?
4=Masai-Aliyemuamkia mtu kwenye Tv?
5=Msukuma-Aliyetoa laini kwenye simu ili asome sms?
6=Mchagga-Aliyeenda na spana Benki ili akafungue akaunti?
7=Mnyiramba-Aliyevua viatu alipokuwa anapanda basi?
8=Mpare-Aliyenyimwa chakula msibani akaaga akisema Mungu yupo nami nitafiwa tu mtakuja kwangu?
9=Msandawe-Aliyekimbia gari la Tigo kisa anadaiwa na mtandao?
KAMA HUWEZI TUMA KWA MWINGINE MPAKA TUMJUE MSHAMBA!