Hebu njooni tujadili hili kutoka Simba SC

Huo ni uzwazwa mahabiki wa Mbumbumbu fc wanajaa uwanjani sababu timu yao ni nzuri wana uhakika wa kupata positive results kuliko negative, kusema huyo chotara ndy anawahamasisha ni uongo,mbona amekuwa msemaji wa Mbumbumbu muda mrefu hakukuwa na kuujaza uwanja?? Baada ya kuolewa na MO ndipo mashabiki wamepata hamasa ya kuingia uwanjani acha porojo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tajiri Mo mpaka Sasa hajapost chochote mpk Sasa kuhusu mechi ile ya tarehe 4! Kapigwa ganzi [emoji2][emoji2],,

Yaani inaonekana wachezaji wa Simba wanasimangwa eti kwakuwa Wanalipwa vzr na Yanga Wanalipwa vibaya! Hayo masimango yenu yatasababisha wachezaji muwahamishe kisaikolojia! .. na mfano wa hilo ni pale Yanga walipopata goli moja,, wachezaji walipagawa na kutoka kweny game,, wakapigwa la Pili yaan ndio wakachanganyikiwa zaidi [emoji1787],! Yaani wanaogopa "tutamwambia nn Tajiri Mo"..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kosa alilofanya mzamiru huwezi kutegemea makosa hayo yanafanywa na wachezaji wa timu ndogo ukija simba umekamilika na shabalala anashindwaje kumzuia mo banka mpaka analeta madhara Manula analaumiwa bure kwa sababu alikuwa mtu wa mwisho
 
Huyu jamaa wa njombe mwehu, eti hata ungemleta de gea angefungwa sasa de gea nae ni wa kumpeleka sehemu kweli? Au hajaangalia mpira kipindi kirefu kidogo. Aishi na bi gea ni mapacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…