Hebu pima ubongo wako

Hebu pima ubongo wako

rushanju

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2011
Posts
3,238
Reaction score
5,106
Leo nataka vichwa vizima

Solve this..

◻+◻+◻+◻+◻=30.

Fill the boxes using

(1, 3, 5, 7, 9, 11, 13, 15)

Note:U can also repeat the numbers..
 
magawanyo yapo ndani ya box mkuu sio nje

Kama ni hivyo, swali linakuwa ni rahisi sana... na majibu yanaweza yakapatikana mengi zaidi kwasababu unaweza ukafunga mabano ukajumlisha au kutoa bila hata ya gawanya...
 
1+9+11+9 + (0)= 30
Note.
You can also repeat the number.
Mwalimu wa shule ya msingi alisema sifuri maana yake HAKUNA KITU.... Hhahaaha
 
1+9+11+9 + (0)= 30
Note.
You can also repeat the number.
Mwalimu wa shule ya msingi alisema sifuri maana yake HAKUNA KITU.... Hhahaaha

mkuu Fandre, ww ndiyo umekosa kabisaaa kwani pale kwenye list ya namba ulizopewa hakuna "0"(zero) pale sasa ww naona ndio umeamua kutengeneza list yako mwenyewe

.made in mby city.
 
Kwa kujumlisha tuu huwezi pata jibu. Haitakaa itokee ujumlishe namba witiri upate shufwaa. Pia ni ngumu kujumlisha idadi au total ya namba witiri ilete shufwa.
 
Leo nataka vichwa vizima

Solve this..

◻+◻+◻+◻+◻=30.

Fill the boxes using

(1, 3, 5, 7, 9, 11, 13, 15)

Note:U can also repeat the numbers..

11 + 7 + 5 + 3 + 1 + 3
 
haha nasubiri kuona watu wanatoka jasho, hapo bila mabano au kubadilisha base tusitumie base 10, au factorial kama jamaa hapo juu alivosema hilo swali haliwezekani..
 
Back
Top Bottom