Hebu sema jinsi kabila lenu linavyoharibu majina ya watu.

Mpaka saa hii hakuna aliyelisema kabila lake maana Watanzania ama ni wamoja na au hawapendi kusema mabaya ya makabila yao
 
Abdul~~Duli.

Yusuf~~Usufu.

RazaQ~~~Razaki

Hassan~~Asani
 
Humu ndani inaonekana Kuna wasuKUMA wengi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nımekaa usukumani kıpındi fulani aisee wasukuma wanakatisha mno majina na jinsı wanavyotamka ni tofauti na jina linavyoitwa

Abıagel - bıga
Rebeka -rebee
Emmanuel - Ema
Junıor - junı
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…