Hebu sikieni ninavyowaza!!

Njoo kwangu, LD. Wacha kujivunga. Wacha kuwa repulsive (gonga hapa). Be supple again with caution. I sensed something before but i stayed silent
 
mmh!.....

namuonea huruma sana binti yangu G......

kama ataishi maisha ya kizazi hichi cha nyoka basi ataumia sana
 
nitajaribu kumwelewesha binti yangu G asiwe na style ya kufanya maisha kama LD.....
 
:A S 13::A S 13:kaoa jamani....its over for good! LD hawezi kuwa hawara....ngoja nimsaidie manake hamuelewi:decision::decision:

Asante Michelle hebu nisaidie, manake hawa wapwa, wanataka nisababisha, nisikipate kile ninachokitafuta hapa.
Naweeleza kila ukweli lakini hawanielewe!!!
 
mi kuna wengine nilikuwa najiona nikilea nao watoto na tukivishana pete kanisani.....uhusiano ulivyoisha wala sijui....wanaume....salute!!!
nakupenda sana yaani ingewezekana uwe wangu nisingetoka njee kabisaaaaaaa.
 
nitajaribu kumwelewesha binti yangu namna sahihi ya kuishi,muda sahihi wa kujiingiza kwenye mahusiano....na maamuzi sahihi ya kufanya akiwa ndani ya mahusiano

EE MUNGU NISAIDIE
 
Babu,kafanya nini tena huyo Michelle???:decision::A S 13::rain:

There you are........

Ulikuwa wapi siku zote?
Unajua dawa ya deni ni kulipa?
Unajua deni la babu lina riba?

Turudi kwenye mada:

Huyu LD kwa jinsi anavyoandika ni kuwa bado anampenda sana huyo mtu. Mtu mmeachana miaka miwili huko bado wamkumbuka wadhani masihara? Umesahau sisi wazee tumepitia kwingi?

Kuna mawili:

Huenda LD anaona aibu kumfuata Jamaa (anaogopa kuyarudia matapishi anayoyapenda)

Au amemfuata akakuta jamaa tayari ana ndoa yake na anaiheshimu ndoa yake.

hebu mwambie LD ni lipi kati ya hayo mawili linalomkabili babu amsaidie.
 
When life gives you lemons, break out the tequila and salt!:rain:


ndio maana yake.. ila msicomplicate sana. usiishi kwa upweke kwa kuogopa heart breakers.. there are alot of gud men out there

upweke siupendi kabisa sitaki hata kuusikia.. after all we only live once!:hug:
 
ile masai ulitoa wapi?mbugani au kanisani?inaelekea uliitafuta kwa shida ndio maana waipenda sana.
 
Njoo kwangu, LD. Wacha kujivunga. Wacha kuwa repulsive (gonga hapa). Be supple again with caution. I sensed something before but i stayed silent

Nije kufanya nini sasa. Sijipendiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!
Wala sitarajiiiiiiii kumkubali mtu aliyeweka tangazo. Najua mwenyewe ni mtu wa jinsi gani naweza kumkubali,hata kama yupo hapa.
 
LD Huyu ndo alikuwa wa kwanza wa kwanza wa kwanza kabisa kabisa au mi tu ndo sielewi...:first:
 


Babu zingatia nilichokisema.
Zingatia maswali yangu hapo juuuuuuuuuu!!!!!
Babu babuuuuuuuuuu.
 
Hapo uko barabara mkuu
 
ndio maana yake.. ila msicomplicate sana. usiishi kwa upweke kwa kuogopa heart breakers.. there are alot of gud men out there

upweke siupendi kabisa sitaki hata kuusikia.. after all we only live once!:hug:

ndo maana nakupenda na nitazidi kukupenda Samora10.....isingekuwa :A S 13::A S 13: ningeku:wink2::wink2:......basi ngoja tu niku:hug::hug::busu:busu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…