Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
Tupo pamoja, wala sina maumivu kiiiiiivo.
Nipo likizo.
amekosa wa kumfaa hana nia ya kuwa theresa.Naanza kumwona anakua st. theresa.....just 3yrs ahead...!
:A S 13::A S 13:kaoa jamani....its over for good! LD hawezi kuwa hawara....ngoja nimsaidie manake hamuelewi:decision::decision:
nakupenda sana yaani ingewezekana uwe wangu nisingetoka njee kabisaaaaaaa.mi kuna wengine nilikuwa najiona nikilea nao watoto na tukivishana pete kanisani.....uhusiano ulivyoisha wala sijui....wanaume....salute!!!
Babu,kafanya nini tena huyo Michelle???:decision::A S 13::rain:
When life gives you lemons, break out the tequila and salt!:rain:
ile masai ulitoa wapi?mbugani au kanisani?inaelekea uliitafuta kwa shida ndio maana waipenda sana.hata mimi ilishawahi ntokea nikajipa likizo ya mwaka kutotaka kumsikiliza mwanaume.Hiyo yako ni ndefu mno maisha mafupi ya nini ujikoseshe raha?
nadhani hiyo miwili imetosha sasa anza kusikiliza kidogokidogo.
ANGALIZO:usimkaribie mtu asiye na hofu ya mungu, kuna wakaka kibao wanakwaya/wainjilisti makanisani kama vipi anza kujifua kuima nadhani hili halitamchukiza MUNGU manake unamtaka kondoo wake kwa nia safi.
Njoo kwangu, LD. Wacha kujivunga. Wacha kuwa repulsive (gonga hapa). Be supple again with caution. I sensed something before but i stayed silent
Maumivi yapo kiiiivi!
Njoo kwangu, LD. Wacha kujivunga. Wacha kuwa repulsive (gonga hapa). Be supple again with caution. I sensed something before but i stayed silent
There you are........
Ulikuwa wapi siku zote?
Unajua dawa ya deni ni kulipa?
Unajua deni la babu lina riba?
Turudi kwenye mada:
Huyu LD kwa jinsi anavyoandika ni kuwa bado anampenda sana huyo mtu. Mtu mmeachana miaka miwili huko bado wamkumbuka wadhani masihara? Umesahau sisi wazee tumepitia kwingi?
Kuna mawili:
Huenda LD anaona aibu kumfuata Jamaa (anaogopa kuyarudia matapishi anayoyapenda)
Au amemfuata akakuta jamaa tayari ana ndoa yake na anaiheshimu ndoa yake.
hebu mwambie LD ni lipi kati ya hayo mawili linalomkabili babu amsaidie.
Hapo uko barabara mkuugafla bin vuu nami nadandia.
Nawashanga hawa dada kujiwekea mipaka ya muda.
Kupenda come under natural circumstances sasa kivipi ujisemee sasa huu ni mdaa wa kupenda au laa?
Ngono ndio unaweza iwekea mipaka kwamba sishiriki mpaka baada ya miaka mitano.
ndio maana yake.. ila msicomplicate sana. usiishi kwa upweke kwa kuogopa heart breakers.. there are alot of gud men out there
upweke siupendi kabisa sitaki hata kuusikia.. after all we only live once!:hug: