Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una umri gani? Lets make a simple comparison. Imagine uombe ban ya miaka mitano hapa JF ukirudi sijui utaikutaje? Unafikiri wanaJF would stop waiting for you or they will just move on? Tena ukirudi JF baada ya miaka mitano utakuta kumeongezewa applications mpya, which you need to learn first.
Jamanie, nilidhani kwenda Kariakoo ni lazima upitie ubungo then Moro road kumbe sio. Ni ushamba wangu tu! Kumbe hata dirisha ni mlango ikibidi? Kumbe pia mwenye nyumba aweza kuwa mpangaji? Dereva kuwa abiria? Without no further clarification, through this topic I would like to salute all women for being so clever, yet so prone to some circumstances
Discuss
Mh!! pole sana LD ila hiyo bwana ni ajali kazini tu,je ukimaliza likizo ukakutata na mvunja moyo mwingine utajipa likizo tena kama hiyo?samehe sahau,weka moyo wazi akija kijana mwingine mpe upendo wote ila ile kitu uwe mchoyo kidogo,unajua nini sometimes mwanaume akikukamata sana na akakumaliza atasubiri nini sasa utakacho m surprise nacho?alafu anaona kama yeye sio mmeo ushamwachia kila kitu utamshawishije huwezi toa hiyo offer kwa mtu mwingine?Yapomambo mengi tu yakupima mapenzi ya kweli hiyo kitu ni muhimu but sio lazima.Nakutakia kila raheli:decision:
Mnamuonea charger wa watu.......mi namsuport......PM na RF!!
Aaaaaaaa....,, mi nilidhani unanisupport peke yangu kumbe na RF tena........????
Huyu chaja muongo tu. Ile kitu inaleta wahusika karibu zaidi esp kama kitu mvuto. So wadada mtukubalie haraka
Mh!! pole sana LD ila hiyo bwana ni ajali kazini tu,je ukimaliza likizo ukakutata na mvunja moyo mwingine utajipa likizo tena kama hiyo?samehe sahau,weka moyo wazi akija kijana mwingine mpe upendo wote ila ile kitu uwe mchoyo kidogo,unajua nini sometimes mwanaume akikukamata sana na akakumaliza atasubiri nini sasa utakacho m surprise nacho?alafu anaona kama yeye sio mmeo ushamwachia kila kitu utamshawishije huwezi toa hiyo offer kwa mtu mwingine?Yapomambo mengi tu yakupima mapenzi ya kweli hiyo kitu ni muhimu but sio lazima.Nakutakia kila raheli:decision:
Mkuu unakinzana na maandishi yako hapoNyie vijana (Raia Fulani na Paka Mweusi) minawasiwasa kama sio alshabab nyie basi mtakua unauhusiano na Joseph Kony,jamani hamwonei huruma huyu kiumbe naona kama tatizo lake ni genuine,samahani wakuu kwa kuharibu deal lakini ile kitu labda nlikua na maanisha saa,au simu so mme over-react.
Nadhani hata kule kwenye PM hauko peke yako kakaAaaaaaaa....,, mi nilidhani unanisupport peke yangu kumbe na RF tena........????
Na wewe uiishie kwenye maneno tu. Matendo muhimuMnamuonea charger wa watu.......mi namsuport......PM na RF!!
Katika thread fulani(kama si wewe I am sorry) ulisema wewe huwezi mfulia mwanamme "kufuli" yake, angalia sisi wanaume wakati fulanii twa tekwa na vitu vidogo. Take this point utakapoanzisha uhusiano mwingine. Hapa nimetolea "kufuli" kama mfano tu, kikubwa ni kwamba huu ubeijingi ukizidi wanaume wanaona mhhhh!
Mkuu unakinzana na maandishi yako hapo
Nadhani hata kule kwenye PM hauko peke yako kaka
Na wewe uiishie kwenye maneno tu. Matendo muhimu