Ingekuwa kuna ku kopyi na ku pesti sheria nadhani ningemuomba mkuu wetu akazi kopyi na kuja kuzi pesti kwenye gavumenti gazeti kesho asubuhi na kuzifanya ziwe sheria mama hapa Tz. Nawaunga mkono hawa mabeberu 100%.
Wewe ni sheria ipi hapo hukuipenda??
Wewe ni sheria ipi hapo hukuipenda??