Sina maana hiyoMzee wa boma (afrika) unaenda kuchota maji ya kuoga mtoni watoto wako wanacheza lede!!
Hizo sheria za ndoa zikija Bongo basi wanawake hawataolewa kabisa TODAYS
Sent using Jamii Forums mobile app
Ibada si zaidi ya saa 1.Nimeipenda hii hapa aseee [emoji116]:
Ukipitilizisha masaa 2-3 ya ibada kanisani au mskitini kufanya hivyo unaweza kubaki mwenyewe na ibada yako au kuwalipa waumini muda uliowapotezea kushinda kanisani.
Hizo ni sheria za wapi?? Halmashauri ya kichwa chako au?
Mzee wa boma (afrika) unaenda kuchota maji ya kuoga mtoni watoto wako wanacheza lede!!