Ngoja niage nisije kuyaboronga.. kwaheri..Unatoka kwenye reli jomba.
Naendelea kukuzoom tu ๐ง๐ง๐ง
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃrudi hapa fasta arifuuNgoja niage nisije kuyaboronga.. kwaheri..
Alaf ulikuwa na mabasi mawili ya kuunganisha..kale kafeeling...Konda anasahau kukudai nauli halafu mfukoni uko na jero hiyo hiyo tu, unahisi kabisa Mungu kasikia kilio chako!
Kukaa siti ya dirishani gari ikiwa imejaaWajumbe, ni Kazi Tu au Kazi na Bata!
Haya maisha bhana fanya yote ila hakikisha unafurahia, viwango vya furaha vinatofautiana kutoka ndogo hadi zile kubwa ambazo hadi watu wengine watajionea.
Basi kwa kutambua tofauti hizo, sio vizuri kuipuuza furaha ndogo kwa kutarajia kubwa isiyo na uhakika. Unaweza kungoja milele, na hivyo utaishi bila furaha kwa sababu tu ya tamaa na mapuuza.
Nitaanza kwa mifano michache, kisha nawe utashea za kwako:
1. Umekwangua vocha ukafuta namba kadhaa, ila ukafanikiwa kubuni namba kitu ikasoma... ile feeling niaje! Enhee hiyo hiyo.
2. Ile muda umegombea daladala na ukabahatika kupata siti, unafeel aje! Tena unajikausha kama sio wewe, furahia.
3. Upo kwenye mdahalo halafu hujui kitu imeulizwa, unaona mwezeshaji ananyoosha mkono kukuelekea... ghafla jirani yako anainuka kujibu.
4. .......
5. ........
Tuendelee!
Miscellaneous happiness!!
Hakyamama nikikukuta mbinguni narudia mlangoni...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usiombe ukawa unapigana halafu kipigo kikawa kimelalia kwako then watu badala waamue ndo unasikia Kobe fulani huko inasema "Waacheni wafundishane adabu"[emoji23]
Sasa unajiuliza tufundishane adabu wakati ukijiangalia wewe jicho limeshaumuliwa halafu adui yako ndo kwanza anatoka jasho tu na kakutia kabari inaitwa "bwana wa mabwana Alfa na Omega"[emoji23]
Bahati nzuri situation kama hizo ndo wanatokeaga na wasalamia wema hapo ndo unajua kumbe malaika bado wapo duniani.. kwa ubavu nawe unajidai kuparangana ili kuuwa soo..[emoji12]
Huko mbinguni napitia upenyo gani Sasa..๐Hakyamama nikikukuta mbinguni narudia mlangoni...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka saaana
Sasa we nikikuita majina naniliu unasara na mi huo ndo ugonjwa wangu!.. unataka nitafutia kesi tu mi sitaki kung'atwa unafikiri siyajui mapigo yako..๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃrudi hapa fasta arifuu
๐๐Jamaa lioga sana.
Huyu anataka kuona nikichambika.. mi kweli lioga..๐
We nae si utu mie dawa huo ugonjwa uishe..Sasa we nikikuita majina naniliu unasara na mi huo ndo ugonjwa wangu!.. unataka nitafutia kesi tu mi sitaki kung'atwa unafikiri siyajui mapigo yako..๐๐
Mtoto wa kiume kaza bhana..vipi wewe..๐๐
Huyu anataka kuona nikichambika.. mi kweli lioga..๐
He he! Leo umebadirika sana..๐Mtoto wa kiume kaza bhana..vipi wewe..
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃnimecheka jmani.He he! Leo umebadirika sana..๐
Kukaza nakaza isipokuwa namkazia Nani..๐
We nakuogopa toka unipe yale makatazo yako.. tusije haribu Uzi wa watu dada..