Hebu taja hapa zile furaha ndogo ndogo ambazo hazitoshi kumwambia mtu ila huwa unajisikia raha

Hebu taja hapa zile furaha ndogo ndogo ambazo hazitoshi kumwambia mtu ila huwa unajisikia raha

Wajumbe, ni Kazi Tu au Kazi na Bata!

Haya maisha bhana fanya yote ila hakikisha unafurahia, viwango vya furaha vinatofautiana kutoka ndogo hadi zile kubwa ambazo hadi watu wengine watajionea.

Basi kwa kutambua tofauti hizo, sio vizuri kuipuuza furaha ndogo kwa kutarajia kubwa isiyo na uhakika. Unaweza kungoja milele, na hivyo utaishi bila furaha kwa sababu tu ya tamaa na mapuuza.

Nitaanza kwa mifano michache, kisha nawe utashea za kwako:

1. Umekwangua vocha ukafuta namba kadhaa, ila ukafanikiwa kubuni namba kitu ikasoma... ile feeling niaje! Enhee hiyo hiyo.

2. Ile muda umegombea daladala na ukabahatika kupata siti, unafeel aje! Tena unajikausha kama sio wewe, furahia.

3. Upo kwenye mdahalo halafu hujui kitu imeulizwa, unaona mwezeshaji ananyoosha mkono kukuelekea... ghafla jirani yako anainuka kujibu.

4. .......

5. ........

Tuendelee!

Miscellaneous happiness!!
Kukaa siti ya dirishani gari ikiwa imejaa
Ile feeling unaona umeyapatia maisha kinyama
 
Usiombe ukawa unapigana halafu kipigo kikawa kimelalia kwako then watu badala waamue ndo unasikia Kobe fulani huko inasema "Waacheni wafundishane adabu"[emoji23]
Sasa unajiuliza tufundishane adabu wakati ukijiangalia wewe jicho limeshaumuliwa halafu adui yako ndo kwanza anatoka jasho tu na kakutia kabari inaitwa "bwana wa mabwana Alfa na Omega"[emoji23]

Bahati nzuri situation kama hizo ndo wanatokeaga na wasalamia wema hapo ndo unajua kumbe malaika bado wapo duniani.. kwa ubavu nawe unajidai kuparangana ili kuuwa soo..[emoji12]
Hakyamama nikikukuta mbinguni narudia mlangoni...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nimecheka saaana
 
Sasa we nikikuita majina naniliu unasara na mi huo ndo ugonjwa wangu!.. unataka nitafutia kesi tu mi sitaki kung'atwa unafikiri siyajui mapigo yako..😂😜
We nae si utu mie dawa huo ugonjwa uishe..
Achana na hayo majina bhana😎😎😎
 
Umecheat na mke/mme wa mtu ukahisi kuna mtu kakuona asubuhi unakaa na mawazo sana mara anatokea unaehisi kakuona anakua hana habari wala haoneshi jipya raha xana unaweza kwenda kulala kwa furaha
 
He he! Leo umebadirika sana..[emoji849]
Kukaza nakaza isipokuwa namkazia Nani..[emoji28]

We nakuogopa toka unipe yale makatazo yako.. tusije haribu Uzi wa watu dada..

Kama hizo ndo furaha zenu endeleeni tu.
 
He he! Leo umebadirika sana..🙄
Kukaza nakaza isipokuwa namkazia Nani..😅

We nakuogopa toka unipe yale makatazo yako.. tusije haribu Uzi wa watu dada..
🤣🤣🤣🤣nimecheka jmani.

Safi sana.wozaaaahhhh🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️
Tatizo lako huwa unajisahau KENZY bhana...maneno yako huwa yanapitiliza.

Ila hakuna kilichoharibika mwamba🤛🤛🤛
 
Back
Top Bottom