Binti niliyemtamani kwa muda mrefu kwa kumuona, ghafla naona account yake ya Instagram imekuwa suggested kwangu, namfollow ana accept, then namDM anarespond, najitambulisha naomba namba ananipatia bila hiyana.
Namualika kupata dinner ananikubalia, nakwenda mchukua tunakwenda kupata chakula, namrejesha then wakati wa kumuaga naomba kumhug ananihug kwa huba tofauti na matarijio..... Kisha namkiss kwenye shavu anatabasamu anaondoka.......
Siku inayofuata namwambia lile hug lilinimaliza i wish nipate tena, ananiambia its okay... Naenda this time hug inakuwa ndefu kidogo, but inaishia na Kiss......
The feeling is unexplainable