Hebu taja hapa zile furaha ndogo ndogo ambazo hazitoshi kumwambia mtu ila huwa unajisikia raha

Hebu taja hapa zile furaha ndogo ndogo ambazo hazitoshi kumwambia mtu ila huwa unajisikia raha

Baada ya kumfukuzia mtoto mkali siku nyingi halafu kimtindo baada ya kuona kuwa haeleweki ukampotezea

Siku ya siku umekaa ukiwa tayari umeshaanza kumsahau ..ghafla unashangaa simu yako imepokea text/call mtoto ana kwambia ukalipie room lodge Anakuja kukupa nono yake

Mimi huwa nina rukaga hadi sarakasi yaani furaha yake huwa haielezeki
 
Pale umecheza kamech kako rough halafu ni danger zone, ile presha unapatana nayo kwa siku kadhaa huwa haielezeki, mara ghafla kuna namna unahisi hali flani ya tofauti kwenda kujichungulia unakuta wageni wamekuja.!! 😂

Ile feeling sisi hupata na maombi ya shukrani tunayosema huwa tunajua wenyewe.!!🥰
Wagen.
 
Kuna siku mwanangu, niko safari na mgonjwa. Inanilazimu kulala mahali ndipo siku ya pili niendelee na safari mfukoni nina 30,000/=. Ninajaribu kuomba msaada kutumiwa hela kwa mpesa, mtandao unasumbua hela hazihami.

Nikakaa kwenye kiti cha wateja kwenye ofisi ya mpesa. Nimevurugwa. Hela niliyonayo hairuhusu hata kula kabisa. Inatosha tu chumba na nauli keaho yake.

Mara sms kwenye simu hiyo. Ninadhani huenda washikaji tu wametuma. Ninachukua simu kinyonge nione ni nani ametuma sms. Mara siamini, nasoma sms tena na tena. Ni kutoka NMB. Kiasi cha sh. 3m kimeingizwa kwenye akaunti yako inayoishia na......

Nikatoka nduki kwenda nyumba ya kulala wageni nikachukue kadi kwenye mkoba. Siamini kabisa. Nikarudi mbio hadi kwa wakala. Ninaagiza tu kutoa 2.8m. Nasikilizia mashine itasoma? Mara muhudumu ananipa risiti. Nacheka moyoni cheko kuu. Nahesabu pesa na kutimua mbio kurudi chumbani.

Nilicheka hadi mgonjwa anachanganyikiwa.

Maisha haya, we acha tu.

😁😁 hiyo kweli mkeka ulitiki. Mungu ambariki aliyetuma
 
Teacher : "naomba kipindi changu hiki mkitumie kujisomea sitaki kelele nina kazi oficn" 😊😊😊😊
 
Kilaza ww Unacheki paper una 12%. Kuja kugundua kumbe kichwa wa darasa kagonga 19%.

Aisee kale ka feeling mzee .ahhhh 😁
 
Kumshikia mtu nisiyemjua mlango ili aingie ndani au kumsubiri kwenye elevator na yeye kunishukuru.

Hii ni kweli, unajikuta gentleman kinyama![emoji41]
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kuna siku mwanangu, niko safari na mgonjwa. Inanilazimu kulala mahali ndipo siku ya pili niendelee na safari mfukoni nina 30,000/=. Ninajaribu kuomba msaada kutumiwa hela kwa mpesa, mtandao unasumbua hela hazihami.

Nikakaa kwenye kiti cha wateja kwenye ofisi ya mpesa. Nimevurugwa. Hela niliyonayo hairuhusu hata kula kabisa. Inatosha tu chumba na nauli keaho yake.

Mara sms kwenye simu hiyo. Ninadhani huenda washikaji tu wametuma. Ninachukua simu kinyonge nione ni nani ametuma sms. Mara siamini, nasoma sms tena na tena. Ni kutoka NMB. Kiasi cha sh. 3m kimeingizwa kwenye akaunti yako inayoishia na......

Nikatoka nduki kwenda nyumba ya kulala wageni nikachukue kadi kwenye mkoba. Siamini kabisa. Nikarudi mbio hadi kwa wakala. Ninaagiza tu kutoa 2.8m. Nasikilizia mashine itasoma? Mara muhudumu ananipa risiti. Nacheka moyoni cheko kuu. Nahesabu pesa na kutimua mbio kurudi chumbani.

Nilicheka hadi mgonjwa anachanganyikiwa.

Maisha haya, we acha tu.

Mkuu, pesa ilitokea wapi na mbona uliitoa pesa yote! Je, ulikuwa na hofu ni mtu kakosea?
 
Mnaijua ile raha ya kupekecha maskio na ‘cotton buds’ au unyoya?

Eeh bwana weee, hata ‘bao’ likasome!
 
Baada ya kumfukuzia mtoto mkali siku nyingi halafu kimtindo baada ya kuona kuwa haeleweki ukampotezea

Siku ya siku umekaa ukiwa tayari umeshaanza kumsahau ..ghafla unashangaa simu yako imepokea text/call mtoto ana kwambia ukalipie room lodge Anakuja kukupa nono yake

Mimi huwa nina rukaga hadi sarakasi yaani furaha yake huwa haielezeki
Hutembeleagi mikono??
 
unakua na mpenzi slay queen huyooo,mnatibuana mwisho mnaachana kabisa

baada ya wiki tu unaona status akijipongeza ktk siku yake ya kuzaliwa (birthday)

unajua ile raha yake inavyokuaga eeh,maana unajua fika laiti hii siku ingewakuta pamoja

hamna siku ambayo ungeingia gharama kama ile maana birthday za hv vidada bana,wana mahitaji kama buku
 
Back
Top Bottom