Hebu tiririka kero mojawapo kwenye nyumba za kupanga.

Hebu tiririka kero mojawapo kwenye nyumba za kupanga.

RIGHT MARKER

Senior Member
Joined
Apr 30, 2018
Posts
129
Reaction score
473
📖Mhadhara (63)✍️
Nyumba za kupanga (hasa zile ambazo zina wapangaji wengi) zina kero mbalimbali. Hebu tiririka kero mojawapo kwenye nyumba za kupanga - Natiririsha baadhi ya kero.

🔘 KERO 1:
Kuna mpangaji ambaye akiingia bafuni kuoga, akitoka lazima bafuni mkute mabaki ya dawa za kienyeji. Kila siku anaoga madawa ya kienyeji lakini hana mabadiliko yoyote ya maisha.

🔘 KERO 2:
Kuna mpangaji (nyumba yenye choo na bafu la kuchangia) ambaye akiingia bafuni kuoga utamsahau, atakaa bafuni muda mrefu utafikiri amekwenda kufa.

🔘 KERO 3:
Kuna mpangaji ambaye akiwahi kuamka asubuhi kabla ya wenzake, anafungulia redio au mziki mkubwa (nyimbo za taarabu, au dini, au bongo fleva). Mara nyingi huwa wanahisi wenzao wanazipenda nyimbo wanazopenda wao.

🔘 KERO 4:
Kuna mpangaji ambaye akigundua mpangaji mwenzake (chumba cha jirani) ameingiza mwanamke/mwanaume, hata kama alikuwa anasikiliza mziki atapunguza sauti ili asikilize kinachoendelea kwenye chumba cha mwenzake. Au atatoa jamvi akae nje ili mgeni akitoka amuone.

🔘 KERO 5:
Kuna mpangaji ambaye akiamka asubuhi anaswaka mdomo kwa nguvu na kutema makohozi, nyumba nzima wanamsikiliza yeye.

🔘 KERO 6:
Kuna mpangaji mwenye tabia ya umalaya, yaani ni lazima atembee na mwanamke/mwanaume wa mpangaji mwenzake. Ni mzuri sana wa kuigiza nidhamu kwa mashemeji zake lakini hafai.

🔘 KERO 7:
Kuna mpangaji ambaye akiazima kifaa au kitu chochote kwa mwenzake (pasi, mbuzi, jiko, mwiko, kiberiti, sufuria, n.k) harudishi mpaka mwenye kitu chake akifuate.

🔘 KERO 8:
Kuna mpangaji akigundua Bill ya umeme au maji imetoka, au ni zamu yake kulipa umeme au maji, ataanza kuchelewa kurudi nyumbani, na huamka kimya kimya asubuhi sana kisha anaondoka.

✓ HEBU TIRIRIKA KERO NYINGINE
__________
RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
 
Kuna nyuzi nyingi sana humu zinazozungumzia madhila ya nyumba za kupanga.

Ukweli hata hivyo ni kwamba kwa vile utaishi na wanadamu ambao kila mmoja yuko tofauti na mwenzake, misuguano na tabia kinzani lazima zitakuwepo tu. Cha muhimu ni kuvumiliana. Ukiona mambo huyawezi unahamia kwingine; unapanga nyumba nzima peke yako au unajenga ya kwako.

Na hekaheka katika nyumba za kupanga hasa huku Uswahilini Mbagala ndiyo raha yenyewe. I love it!
 
Kila mtu anakudai pesa ya umeme hata Kama ulikuwa umelipa lakini wanakudai..
 
📖Mhadhara (63)✍️
Nyumba za kupanga (hasa zile ambazo zina wapangaji wengi) zina kero mbalimbali. Hebu tiririka kero mojawapo kwenye nyumba za kupanga - Natiririsha baadhi ya kero.

🔘 KERO 1:
Kuna mpangaji ambaye akiingia bafuni kuoga, akitoka lazima bafuni mkute mabaki ya dawa za kienyeji. Kila siku anaoga madawa ya kienyeji lakini hana mabadiliko yoyote ya maisha.

🔘 KERO 2:
Kuna mpangaji (nyumba yenye choo na bafu la kuchangia) ambaye akiingia bafuni kuoga utamsahau, atakaa bafuni muda mrefu utafikiri amekwenda kufa.

🔘 KERO 3:
Kuna mpangaji ambaye akiwahi kuamka asubuhi kabla ya wenzake, anafungulia redio au mziki mkubwa (nyimbo za taarabu, au dini, au bongo fleva). Mara nyingi huwa wanahisi wenzao wanazipenda nyimbo wanazopenda wao.

🔘 KERO 4:
Kuna mpangaji ambaye akigundua mpangaji mwenzake (chumba cha jirani) ameingiza mwanamke/mwanaume, hata kama alikuwa anasikiliza mziki atapunguza sauti ili asikilize kinachoendelea kwenye chumba cha mwenzake. Au atatoa jamvi akae nje ili mgeni akitoka amuone.

🔘 KERO 5:
Kuna mpangaji ambaye akiamka asubuhi anaswaka mdomo kwa nguvu na kutema makohozi, nyumba nzima wanamsikiliza yeye.

🔘 KERO 6:
Kuna mpangaji mwenye tabia ya umalaya, yaani ni lazima atembee na mwanamke/mwanaume wa mpangaji mwenzake. Ni mzuri sana wa kuigiza nidhamu kwa mashemeji zake lakini hafai.

🔘 KERO 7:
Kuna mpangaji ambaye akiazima kifaa au kitu chochote kwa mwenzake (pasi, mbuzi, jiko, mwiko, kiberiti, sufuria, n.k) harudishi mpaka mwenye kitu chake akifuate.

🔘 KERO 8:
Kuna mpangaji akigundua Bill ya umeme au maji imetoka, au ni zamu yake kulipa umeme au maji, ataanza kuchelewa kurudi nyumbani, na huamka kimya kimya asubuhi sana kisha anaondoka.

✓ HEBU TIRIRIKA KERO NYINGINE
__________
RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
Namba 4 na ya Bill hizo balaa
 
Kero kubwa ya nyumba za kupanga especially zenye shared bills ni majanga na ndiyo maana wenye nyumba kwasasa wameseparate meter za umeme na maji kila mtu na yake.
 
📖Mhadhara (63)✍️
Nyumba za kupanga (hasa zile ambazo zina wapangaji wengi) zina kero mbalimbali. Hebu tiririka kero mojawapo kwenye nyumba za kupanga - Natiririsha baadhi ya kero.

🔘 KERO 1:
Kuna mpangaji ambaye akiingia bafuni kuoga, akitoka lazima bafuni mkute mabaki ya dawa za kienyeji. Kila siku anaoga madawa ya kienyeji lakini hana mabadiliko yoyote ya maisha.

🔘 KERO 2:
Kuna mpangaji (nyumba yenye choo na bafu la kuchangia) ambaye akiingia bafuni kuoga utamsahau, atakaa bafuni muda mrefu utafikiri amekwenda kufa.

🔘 KERO 3:
Kuna mpangaji ambaye akiwahi kuamka asubuhi kabla ya wenzake, anafungulia redio au mziki mkubwa (nyimbo za taarabu, au dini, au bongo fleva). Mara nyingi huwa wanahisi wenzao wanazipenda nyimbo wanazopenda wao.

🔘 KERO 4:
Kuna mpangaji ambaye akigundua mpangaji mwenzake (chumba cha jirani) ameingiza mwanamke/mwanaume, hata kama alikuwa anasikiliza mziki atapunguza sauti ili asikilize kinachoendelea kwenye chumba cha mwenzake. Au atatoa jamvi akae nje ili mgeni akitoka amuone.

🔘 KERO 5:
Kuna mpangaji ambaye akiamka asubuhi anaswaka mdomo kwa nguvu na kutema makohozi, nyumba nzima wanamsikiliza yeye.

🔘 KERO 6:
Kuna mpangaji mwenye tabia ya umalaya, yaani ni lazima atembee na mwanamke/mwanaume wa mpangaji mwenzake. Ni mzuri sana wa kuigiza nidhamu kwa mashemeji zake lakini hafai.

🔘 KERO 7:
Kuna mpangaji ambaye akiazima kifaa au kitu chochote kwa mwenzake (pasi, mbuzi, jiko, mwiko, kiberiti, sufuria, n.k) harudishi mpaka mwenye kitu chake akifuate.

🔘 KERO 8:
Kuna mpangaji akigundua Bill ya umeme au maji imetoka, au ni zamu yake kulipa umeme au maji, ataanza kuchelewa kurudi nyumbani, na huamka kimya kimya asubuhi sana kisha anaondoka.

✓ HEBU TIRIRIKA KERO NYINGINE
__________
RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
Huyo namba 8 simkubali kabisa...
 
Sasa mkuu nikupe kisa miaka 11 ilyopita Sasa wakati ndo nahama kwenye upangaji nilikuwa naish na jamaa yangu Bana nikiamuachia godoro na kitanda na simu mm nikaenda kuanza upya nikamwambia stopanga na mtu Tena Kila mtu akaanze maisha yake basi

Nikaamua kurudi nyumbani basi yule mwana Baada kama ya mda fulani akaanza kuniambia ety mimi ndo nimemkwamisha anashindwa kupanga bado analolala magheto ya washkaji kisa niligoma kulipa kodi nikaamua kurudi maskani kujitafuta upya na ikumbukwe niliamuachia vtu vyangu??

Dah hi kitu siwez kuisahau
Kuna nyuzi nyingi sana humu zinazozungumzia madhila ya nyumba za kupanga.

Ukweli hata hivyo ni kwamba kwa vile utaishi na wanadamu ambao kila mmoja yuko tofauti na mwenzake, misuguano na tabia kinzani lazima zitakuwepo tu. Cha muhimu ni kuvumiliana. Ukiona mambo huyawezi unahamia kwingine; unapanga nyumba nzima peke yako au unajenga ya kwako.

Na hekaheka katika nyumba za kupanga hasa huku Uswahilini Mbagala ndiyo raha yenyewe. I love it!
 
📖Mhadhara (63)✍️
Nyumba za kupanga (hasa zile ambazo zina wapangaji wengi) zina kero mbalimbali. Hebu tiririka kero mojawapo kwenye nyumba za kupanga - Natiririsha baadhi ya kero.

🔘 KERO 1:
Kuna mpangaji ambaye akiingia bafuni kuoga, akitoka lazima bafuni mkute mabaki ya dawa za kienyeji. Kila siku anaoga madawa ya kienyeji lakini hana mabadiliko yoyote ya maisha.

🔘 KERO 2:
Kuna mpangaji (nyumba yenye choo na bafu la kuchangia) ambaye akiingia bafuni kuoga utamsahau, atakaa bafuni muda mrefu utafikiri amekwenda kufa.

🔘 KERO 3:
Kuna mpangaji ambaye akiwahi kuamka asubuhi kabla ya wenzake, anafungulia redio au mziki mkubwa (nyimbo za taarabu, au dini, au bongo fleva). Mara nyingi huwa wanahisi wenzao wanazipenda nyimbo wanazopenda wao.

🔘 KERO 4:
Kuna mpangaji ambaye akigundua mpangaji mwenzake (chumba cha jirani) ameingiza mwanamke/mwanaume, hata kama alikuwa anasikiliza mziki atapunguza sauti ili asikilize kinachoendelea kwenye chumba cha mwenzake. Au atatoa jamvi akae nje ili mgeni akitoka amuone.

🔘 KERO 5:
Kuna mpangaji ambaye akiamka asubuhi anaswaka mdomo kwa nguvu na kutema makohozi, nyumba nzima wanamsikiliza yeye.

🔘 KERO 6:
Kuna mpangaji mwenye tabia ya umalaya, yaani ni lazima atembee na mwanamke/mwanaume wa mpangaji mwenzake. Ni mzuri sana wa kuigiza nidhamu kwa mashemeji zake lakini hafai.

🔘 KERO 7:
Kuna mpangaji ambaye akiazima kifaa au kitu chochote kwa mwenzake (pasi, mbuzi, jiko, mwiko, kiberiti, sufuria, n.k) harudishi mpaka mwenye kitu chake akifuate.

🔘 KERO 8:
Kuna mpangaji akigundua Bill ya umeme au maji imetoka, au ni zamu yake kulipa umeme au maji, ataanza kuchelewa kurudi nyumbani, na huamka kimya kimya asubuhi sana kisha anaondoka.

✓ HEBU TIRIRIKA KERO NYINGINE
__________
RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
KERO NO:9
Kuna mpangaji wa kike hajaolewa wala hana mchumba ila nyie wapangaji wenzake mabachera mkiomba usajiri wa dirisha dogo
mnakataliwa halafu cha ajabu kila siku kana-import wanaume kutoka nje utadhani sisi humu ndani sio wanaume!😔🤔 Inaboa sana hii tabia why mdada unakuwa na roho mbaya na uchoyo kiasi hicho?
Kwani ukinipa mimi mpangaji mwenzio unapungukiwa nini?
Yaani unaninyima mimi jirani yako halafu usiku unaingiza jamaa la nje nasikia miguno tu dah.!
Serikali ilitazame na hili nalo😄
 
Kujichua halafa akifikia mshindo anahema kwa nguvu au kupiga kelele mfano "ayaaah!, oh my god, yesssuu na marriah!".
Mtu ajichue na awe silent, itapendeza zaidi.
 
📖Mhadhara (63)✍️
Nyumba za kupanga (hasa zile ambazo zina wapangaji wengi) zina kero mbalimbali. Hebu tiririka kero mojawapo kwenye nyumba za kupanga - Natiririsha baadhi ya kero.

🔘 KERO 1:
Kuna mpangaji ambaye akiingia bafuni kuoga, akitoka lazima bafuni mkute mabaki ya dawa za kienyeji. Kila siku anaoga madawa ya kienyeji lakini hana mabadiliko yoyote ya maisha.

🔘 KERO 2:
Kuna mpangaji (nyumba yenye choo na bafu la kuchangia) ambaye akiingia bafuni kuoga utamsahau, atakaa bafuni muda mrefu utafikiri amekwenda kufa.

🔘 KERO 3:
Kuna mpangaji ambaye akiwahi kuamka asubuhi kabla ya wenzake, anafungulia redio au mziki mkubwa (nyimbo za taarabu, au dini, au bongo fleva). Mara nyingi huwa wanahisi wenzao wanazipenda nyimbo wanazopenda wao.

🔘 KERO 4:
Kuna mpangaji ambaye akigundua mpangaji mwenzake (chumba cha jirani) ameingiza mwanamke/mwanaume, hata kama alikuwa anasikiliza mziki atapunguza sauti ili asikilize kinachoendelea kwenye chumba cha mwenzake. Au atatoa jamvi akae nje ili mgeni akitoka amuone.

🔘 KERO 5:
Kuna mpangaji ambaye akiamka asubuhi anaswaka mdomo kwa nguvu na kutema makohozi, nyumba nzima wanamsikiliza yeye.

🔘 KERO 6:
Kuna mpangaji mwenye tabia ya umalaya, yaani ni lazima atembee na mwanamke/mwanaume wa mpangaji mwenzake. Ni mzuri sana wa kuigiza nidhamu kwa mashemeji zake lakini hafai.

🔘 KERO 7:
Kuna mpangaji ambaye akiazima kifaa au kitu chochote kwa mwenzake (pasi, mbuzi, jiko, mwiko, kiberiti, sufuria, n.k) harudishi mpaka mwenye kitu chake akifuate.

🔘 KERO 8:
Kuna mpangaji akigundua Bill ya umeme au maji imetoka, au ni zamu yake kulipa umeme au maji, ataanza kuchelewa kurudi nyumbani, na huamka kimya kimya asubuhi sana kisha anaondoka.

✓ HEBU TIRIRIKA KERO NYINGINE
__________
RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
Mpangaji Bachela kuletewa msosi gheto na wake wawapangaji wenzako
 
Mtu kujichua bafuni na kuhema kwa nguvu au kupiga kelele wakati wa mshindo. Mfano "oh my god!, yesuh na marriah!, iyaaa!".
Mpangaji yamfaa ajichue huku akiwa silent, itapendeza zaidi.
 
Namba 4 kulia watu chabo kwa nguvu ya sikio tu, jamaa anaingiza manzi yakueleweka kabisa unaamua kuskilizia mikito lakini cha kushangaza unakuta mtu ndani ya dakika 15 anatoka na kitaulo chake kwenda kuoga! Alaah hadi unatamani angekupa sub ukafanye kweli.
 
Back
Top Bottom