Nadhani mkuu wewe ndio una tatizo kwa kutaka wafanye unachokitaka wewe tu kuwa ndio kiwe sasa,Hakuna point yoyote hapo uchafu tu.
Ujumla alitakiwa achukue sample za mtu yeyote zikapimwe kwa siri hata mara mbili tatu aone ajibu yakoje.
Alafu achukue sample zile zipelekwe mashine zingine ayo itoe majibu.
Ndipo uwe na maajibu.
Hizo machine ni maalum kwa kupimi corona na si vinginevyo. Unafikiri uchukue mavi unadhani inakupa maji gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umesomea wapi utaalamu wa maabara? Unatoa hukumu halafu unasema unaunda tume, ya nini wakati umeshatoa hukumu? Nani mwenye ubavu wa kwenda kinyume na tamko la mzee?Ni jambo la kushangaza na kutia shaka kuona wataalam na wanasayansi wa Tanzania wanavyopinga uchunguzi wa Rais kwa hoja dhaifu.
Hii inatia shaka juu ya uwezo wa wataalam tulio nao hapa nchini.
Hebu tungalie hoja hizi zilizotumika kupinga Uchunguzi wa Rais kwa jinsi wataalam wetu walivyozitolea maelezo.
1 vipimo ni Specific kwaajili ya kupima virus ama bacteria, hivyo huwezi kupima sample tofauti DNA/RNA hivyo basi hakiwezi kupima papai, lazima kitaleta majibu tofauti.!!
Hoja hii haina mashoka kama ni hivo kwa nini vipimo hivi vimetoa majibu ya positive na negative wakati sample sio sahihi??
Je wataalam wetu walijaribu kuvifanyia uchunguzi wowote hivi vifaa pindi vilipokaja kabla hawajaanza kuvitumia??
Kama hawakufanya kwanini waliviamini moja kwa moja, taaluma yao iko wapi hapi??
2 wataalam wengine wakaja na hoja kuwa majibu yanaweza kuwa positive kwasababu sample zinaweza kuwa zinamaambukizi (Contaminated) ama wakati wa kuchukua sample ama wakati wa upimaji hivyo kipimo kitatoa majibu Positive.!!
Okay.
Sasa kama ni hivi hamuoni hapo kuna uwezekano kuna watu ambao ni negative hawana maambukizi Ila kwasababu ya uzembe/ makosa wakati wa kuchukua sample ama uzembe wakati wa upimaji wakaiambukiza hiyo sample na kumpa mtu majibu ya positive kumbe Hana maambukizi?? Mtu unapewa ugonjwa ilihali huumwi.
Alafu hivi kama hiyo sample sio sahihi na imetoa positive kwasababu ipo Contaminated mbona sample za nanasi na kondoo zimetoa majibu negative??
Kwanini iwe negative wakati sample sio sahihi na haipo contaminated??
Hili limekaaje sasa wataalam? Inamaana kama inangekuwa haipo contaminated si ingetoa majibu kuwa haitambuliki (sample sio sahihi) kwanini Sasa ikatoa negative??
Halafu Inamaana team ya watafiti wa Rais hawakuwa na uelewa kabisaa kiasi kwamba wakazichukua sample tu ovyo ovyo bila ya umakini wowote na kuzipeleka tu zikapimwe hadi zinapata maambukizi??
Siamini kama ni wajinga kiasi hiki.
3 Wengine wanasema kuwa mh anawadharau wataalam, hana shukurani,anadanganya umma, anataka kuficha wagonjwa n.k.
Hii hoja haina mashiko.
Inakuwaje madaktari na wataalam wabobezi kabisa kwenye utafiti na vipimo unaletewa sample ya papai na fenesi unaambia ni ya binadamu halafu unakubali na kwenda kuipima??
Hii inatoa picha kuwa wataalam wetu wanalipua lipua tu na hawako makini na kazi yao, kama wako makini hili linawezekanaje??
Hamuoni hapa kunatakiwa kufanyaka uchunguzi wa kina kama Rais alivyotilia shaka??
Kumbe sample zinakuwa contaminated hapo hapo maabara na kutupa majibu ya positive kwanini waachwe Sasa??.
Watanzania wenzangu Mimi kwa maoni yangu mh Rais anahoja ya msingi sana tusimpuuze, hawa wataalam wetu ndio wanatudanganya mh Rais yuko sahihi..
Kuna sehemu haiko sawa katika hili.
Kama una majibu ya maswali hayo uje hapa ulete ufafanuzi.
Baki na Siasa kwanza mkuu...Mwanafunzi wa kidato cha kwanza amepewa mtihani wa kidato cha sita na kufeli ila watu wanacheka eti huyu mwanafunzi ni mjinga maana atafeli kivipi wakati ni mwanafunzi.Ni jambo la kushangaza na kutia shaka kuona wataalam na wanasayansi wa Tanzania wanavyopinga uchunguzi wa Rais kwa hoja dhaifu.
Hii inatia shaka juu ya uwezo wa wataalam tulio nao hapa nchini.
Hebu tungalie hoja hizi zilizotumika kupinga Uchunguzi wa Rais kwa jinsi wataalam wetu walivyozitolea maelezo.
1 vipimo ni Specific kwaajili ya kupima virus ama bacteria, hivyo huwezi kupima sample tofauti DNA/RNA hivyo basi hakiwezi kupima papai, lazima kitaleta majibu tofauti.!!
Hoja hii haina mashoka kama ni hivo kwa nini vipimo hivi vimetoa majibu ya positive na negative wakati sample sio sahihi??
Je wataalam wetu walijaribu kuvifanyia uchunguzi wowote hivi vifaa pindi vilipokaja kabla hawajaanza kuvitumia??
Kama hawakufanya kwanini waliviamini moja kwa moja, taaluma yao iko wapi hapi??
2 wataalam wengine wakaja na hoja kuwa majibu yanaweza kuwa positive kwasababu sample zinaweza kuwa zinamaambukizi (Contaminated) ama wakati wa kuchukua sample ama wakati wa upimaji hivyo kipimo kitatoa majibu Positive.!!
Okay.
Sasa kama ni hivi hamuoni hapo kuna uwezekano kuna watu ambao ni negative hawana maambukizi Ila kwasababu ya uzembe/ makosa wakati wa kuchukua sample ama uzembe wakati wa upimaji wakaiambukiza hiyo sample na kumpa mtu majibu ya positive kumbe Hana maambukizi?? Mtu unapewa ugonjwa ilihali huumwi.
Alafu hivi kama hiyo sample sio sahihi na imetoa positive kwasababu ipo Contaminated mbona sample za nanasi na kondoo zimetoa majibu negative??
Kwanini iwe negative wakati sample sio sahihi na haipo contaminated??
Hili limekaaje sasa wataalam? Inamaana kama inangekuwa haipo contaminated si ingetoa majibu kuwa haitambuliki (sample sio sahihi) kwanini Sasa ikatoa negative??
Halafu Inamaana team ya watafiti wa Rais hawakuwa na uelewa kabisaa kiasi kwamba wakazichukua sample tu ovyo ovyo bila ya umakini wowote na kuzipeleka tu zikapimwe hadi zinapata maambukizi??
Siamini kama ni wajinga kiasi hiki.
3 Wengine wanasema kuwa mh anawadharau wataalam, hana shukurani,anadanganya umma, anataka kuficha wagonjwa n.k.
Hii hoja haina mashiko.
Inakuwaje madaktari na wataalam wabobezi kabisa kwenye utafiti na vipimo unaletewa sample ya papai na fenesi unaambia ni ya binadamu halafu unakubali na kwenda kuipima??
Hii inatoa picha kuwa wataalam wetu wanalipua lipua tu na hawako makini na kazi yao, kama wako makini hili linawezekanaje??
Hamuoni hapa kunatakiwa kufanyaka uchunguzi wa kina kama Rais alivyotilia shaka??
Kumbe sample zinakuwa contaminated hapo hapo maabara na kutupa majibu ya positive kwanini waachwe Sasa??.
Watanzania wenzangu Mimi kwa maoni yangu mh Rais anahoja ya msingi sana tusimpuuze, hawa wataalam wetu ndio wanatudanganya mh Rais yuko sahihi..
Kuna sehemu haiko sawa katika hili.
Kama una majibu ya maswali hayo uje hapa ulete ufafanuzi.
Wewe kama una hoja tofauti na zilizo tolewa lete hoja yako hapa tuijibu mkuu na si porojo kama unavyotaka.Wewe umesomea wapi utaalamu wa maabara? Unatoa hukumu halafu unasema unaunda tume, ya nini wakati umeshatoa hukumu? Nani mwenye ubavu wa kwenda kinyume na tamko la mzee?
Wewe ndio unayeleta siasa kwa kuacha kujadili hoja na kuleta maneno mengi, hoja ziko mezani hapo chagua inayo kufaa tuijadili tuone kosa liko kwa nani na si maneno maneno mkuu.Baki na Siasa kwanza mkuu...Mwanafunzi wa kidato cha kwanza amepewa mtihani wa kidato cha sita na kufeli ila watu wanacheka eti huyu mwanafunzi ni mjinga maana atafeli kivipi wakati ni mwanafunzi.
Baba asiongee kama kaka wala baba mdogo.
sijakielewa ndiyo maana nikawauliza ?Wewe unadhani naongelea nini hapo?
Unachekesha sana mkuu,yaani unaniletea mfano wa simu kweli?Mambo magumu unatumia mfano mwepesi namna hiyo?Nimesema kutest ubora wa kifaa huwa zinapelekwa known specimen!Ndio maana nikasema ilipaswa zipelekwe sampuli tofauti ambazo zinajulikana matokeo yake ili kubaini accuracy ya vifaa!Sasa hizo sampuli zilizoenda si za binadamu,suala la kubaini kwanini zimeleta matokeo hayo inahitaji uchunguzi!Maana huwezi jua huenda zina element ambazo zinaleta matokeo sawa na za Covid 19!Kujua competence ya vifaa ilihitajika sampuli ambazo kifaa kimekuwa designed kupima!Hata waliotengeneza hizo machine lazima walitest kwa sampuli za binadamu na sio za wanyama na mapapai!Tuweni objective,yaani unajua ni process gani inapitiwa kujua sampuli ni ya kitu gani?Unataka sampuli zikienda,maabara waanze kupima DNA ili kujua ni sampuli za binadamu halafu ndio waanze kupima Corona?Kweli tuna hiyo luxury?Unajua itachukua muda gani kama kila sampuli inayofika ikianza kupimwa DNA?Kwa wale ambao wameshawahi kufanya vipimo vya DN! wanajua huwa inachukua muda gani!Halafu tupime DNA halafu tukishagundua ni za binadamu au sio binadamu inatusaidia nini?Maana tupo kwenye janga la Corona so sioni mantiki ya kupima DNA walati tunajua sampuli zinazokwenda huko ni za binadamu na tunataka kutest Corona!Tuache hizi siasa nyepesi kwenye mambo ya kitaaluma!Ningekubaliana na JPM kama angetuma known specimen za binadamu majibu yakawa tofauti!Ukifikiri kwa kina utaelewa hoja yangu!Weka mahaba pembeni na kuwa reallistic!Naona unarudia yale yale mkuu, kwani hivo vipimo si vimetengenezwa specific kupima corona?
Kama imeletwa sample ya mmea au mnyama ambayo ni tofauti haitakiwi kwanini isitowe majibu ya kutokuitambua hiyo sample iliyopimwa na badala yake inaleta majibu positive/ negative??
Utawatetea vipi hao wataalam kuhusu weledi wao mkuu, yaani we nikuletee sim ya Nokia yenye cover la Samsung alafu nakwambia hii ni Nokia peleka sokoni, wewe kama mwanasayansi ulie bobea kwenye masuala ya uvumbuzi na utengenezaji wa simu alafu unakubali na kupeleka kweli sokoni, hivi hapo tutaacha vipi kuwa na mashaka na taaluma yako??
Usifaninishe PhD fake na wanasayansi.
Mkuu tusichoshane bure hapa.Unachekesha sana mkuu,yaani unaniletea mfano wa simu kweli?Mambo magumu unatumia mfano mwepesi namna hiyo?Nimesema kutest ubora wa kifaa huwa zinapelekwa known specimen!Ndio maana nikasema ilipaswa zipelekwe sampuli tofauti ambazo zinajulikana matokeo yake ili kubaini accuracy ya vifaa!Sasa hizo sampuli zilizoenda si za binadamu,suala la kubaini kwanini zimeleta matokeo hayo inahitaji uchunguzi!Maana huwezi jua huenda zina element ambazo zinaleta matokeo sawa na za Covid 19!Kujua competence ya vifaa ilihitajika sampuli ambazo kifaa kimekuwa designed kupima!Hata waliotengeneza hizo machine lazima walitest kwa sampuli za binadamu na sio za wanyama na mapapai!Tuweni objective,yaani unajua ni process gani inapitiwa kujua sampuli ni ya kitu gani?Unataka sampuli zikienda,maabara waanze kupima DNA ili kujua ni sampuli za binadamu halafu ndio waanze kupima Corona?Kweli tuna hiyo luxury?Unajua itachukua muda gani kama kila sampuli inayofika ikianza kupimwa DNA?Kwa wale ambao wameshawahi kufanya vipimo vya DN! wanajua huwa inachukua muda gani!Halafu tupime DNA halafu tukishagundua ni za binadamu au sio binadamu inatusaidia nini?Maana tupo kwenye janga la Corona so sioni mantiki ya kupima DNA walati tunajua sampuli zinazokwenda huko ni za binadamu na tunataka kutest Corona!Tuache hizi siasa nyepesi kwenye mambo ya kitaaluma!Ningekubaliana na JPM kama angetuma known specimen za binadamu majibu yakawa tofauti!Ukifikiri kwa kina utaelewa hoja yangu!Weka mahaba pembeni na kuwa reallistic!
Wanatuambia eti sample wakati mwingine zinakuwa contaminated, wakati wa ukusanyaji ama wakati wa upimaji.Wanasayansi gani ambao hawawezi kupata fomula yao kwa uvumbuzi wowote, akili zao wanategemea kila kitu fomula itoke nje wao ni kukariri tu.
PhD Fake ya maganda ya korosho na udaktari wa binadamu wapi na wapiNi jambo la kushangaza na kutia shaka kuona wataalam na wanasayansi wa Tanzania wanavyopinga uchunguzi wa Rais kwa hoja dhaifu.
Hii inatia shaka juu ya uwezo wa wataalam tulio nao hapa nchini.
Hebu tungalie hoja hizi zilizotumika kupinga Uchunguzi wa Rais kwa jinsi wataalam wetu walivyozitolea maelezo.
1 vipimo ni Specific kwaajili ya kupima virus ama bacteria, hivyo huwezi kupima sample tofauti DNA/RNA hivyo basi hakiwezi kupima papai, lazima kitaleta majibu tofauti.!!
Hoja hii haina mashoka kama ni hivo kwa nini vipimo hivi vimetoa majibu ya positive na negative wakati sample sio sahihi??
Je wataalam wetu walijaribu kuvifanyia uchunguzi wowote hivi vifaa pindi vilipokaja kabla hawajaanza kuvitumia??
Kama hawakufanya kwanini waliviamini moja kwa moja, taaluma yao iko wapi hapi??
2 wataalam wengine wakaja na hoja kuwa majibu yanaweza kuwa positive kwasababu sample zinaweza kuwa zinamaambukizi (Contaminated) ama wakati wa kuchukua sample ama wakati wa upimaji hivyo kipimo kitatoa majibu Positive.!!
Okay.
Sasa kama ni hivi hamuoni hapo kuna uwezekano kuna watu ambao ni negative hawana maambukizi Ila kwasababu ya uzembe/ makosa wakati wa kuchukua sample ama uzembe wakati wa upimaji wakaiambukiza hiyo sample na kumpa mtu majibu ya positive kumbe Hana maambukizi?? Mtu unapewa ugonjwa ilihali huumwi.
Alafu hivi kama hiyo sample sio sahihi na imetoa positive kwasababu ipo Contaminated mbona sample za nanasi na kondoo zimetoa majibu negative??
Kwanini iwe negative wakati sample sio sahihi na haipo contaminated??
Hili limekaaje sasa wataalam? Inamaana kama inangekuwa haipo contaminated si ingetoa majibu kuwa haitambuliki (sample sio sahihi) kwanini Sasa ikatoa negative??
Halafu Inamaana team ya watafiti wa Rais hawakuwa na uelewa kabisaa kiasi kwamba wakazichukua sample tu ovyo ovyo bila ya umakini wowote na kuzipeleka tu zikapimwe hadi zinapata maambukizi??
Siamini kama ni wajinga kiasi hiki.
3 Wengine wanasema kuwa mh anawadharau wataalam, hana shukurani,anadanganya umma, anataka kuficha wagonjwa n.k.
Hii hoja haina mashiko.
Inakuwaje madaktari na wataalam wabobezi kabisa kwenye utafiti na vipimo unaletewa sample ya papai na fenesi unaambia ni ya binadamu halafu unakubali na kwenda kuipima??
Hii inatoa picha kuwa wataalam wetu wanalipua lipua tu na hawako makini na kazi yao, kama wako makini hili linawezekanaje??
Hamuoni hapa kunatakiwa kufanyaka uchunguzi wa kina kama Rais alivyotilia shaka??
Kumbe sample zinakuwa contaminated hapo hapo maabara na kutupa majibu ya positive kwanini waachwe Sasa??.
Watanzania wenzangu Mimi kwa maoni yangu mh Rais anahoja ya msingi sana tusimpuuze, hawa wataalam wetu ndio wanatudanganya mh Rais yuko sahihi..
Kuna sehemu haiko sawa katika hili.
Kama una majibu ya maswali hayo uje hapa ulete ufafanuzi.
Hivi umeona kweli kuna point hapo ..............!!?
Wanaposema test ni specific hawana maana kuwa ni PCR ni specific kwa ajili ya bacteria na Virus bali ni procedure/protocol inayotumika kutest hao virus ndiyo iko specific. PCR ni molecular based technique ambayo inatumika pia kutest mimea (kama vile GNO foods) na wanyama pia.1 vipimo ni Specific kwaajili ya kupima virus ama bacteria, hivyo huwezi kupima sample tofauti DNA/RNA hivyo basi hakiwezi kupima papai, lazima kitaleta majibu tofauti.!!
Hoja hii haina mashoka kama ni hivo kwa nini vipimo hivi vimetoa majibu ya positive na negative wakati sample sio sahihi??
Je wataalam wetu walijaribu kuvifanyia uchunguzi wowote hivi vifaa pindi vilipokaja kabla hawajaanza kuvitumia??
Kama hawakufanya kwanini waliviamini moja kwa moja, taaluma yao iko wapi hapi??
2 wataalam wengine wakaja na hoja kuwa majibu yanaweza kuwa positive kwasababu sample zinaweza kuwa zinamaambukizi (Contaminated) ama wakati wa kuchukua sample ama wakati wa upimaji hivyo kipimo kitatoa majibu Positive.!!
Okay.
Sasa kama ni hivi hamuoni hapo kuna uwezekano kuna watu ambao ni negative hawana maambukizi Ila kwasababu ya uzembe/ makosa wakati wa kuchukua sample ama uzembe wakati wa upimaji wakaiambukiza hiyo sample na kumpa mtu majibu ya positive kumbe Hana maambukizi?? Mtu unapewa ugonjwa ilihali huumwi.
Alafu hivi kama hiyo sample sio sahihi na imetoa positive kwasababu ipo Contaminated mbona sample za nanasi na kondoo zimetoa majibu negative??
Kwanini iwe negative wakati sample sio sahihi na haipo contaminated??
Hili limekaaje sasa wataalam? Inamaana kama inangekuwa haipo contaminated si ingetoa majibu kuwa haitambuliki (sample sio sahihi) kwanini Sasa ikatoa negative??
Halafu Inamaana team ya watafiti wa Rais hawakuwa na uelewa kabisaa kiasi kwamba wakazichukua sample tu ovyo ovyo bila ya umakini wowote na kuzipeleka tu zikapimwe hadi zinapata maambukizi??
Siamini kama ni wajinga kiasi hiki.
Mkuu hebu ngoja kwanza, hivi vifaa vilikuwepo hapa nchini kabla ya corona na vilikuwa vikitumika kwa matumizi mengine!!?? Ama sijakuelewa vizuri.Wanaposema test ni specific hawana maana kuwa ni PCR ni specific kwa ajili ya bacteria na Virus bali ni procedure/protocol inayotumika kutest hao virus ndiyo iko specific. PCR ni molecular based technique ambayo inatumika pia kutest mimea (kama vile GNO foods) na wanyama pia.
Vifaa havikuja kwa ajili ya Corona vilikuwepo na vilikuwa vinafanya test nyingine. Kilichofanyika ni kuvalidate method kabla ya kuitumia kujua kuwa inafanya kazi sawasawa. Hii iko recommended na WHO ambyo inazitaka maabara zote kupeleka walau vipimo kumi vya mwanzo (5 Positive, 5 negative) kwao ili kuverify.