Hebu tuangalie hoja hizi zilizotumika kupinga Uchunguzi wa Rais Magufuli Maabara kuu ya Taifa

Na iliyokutwa negative nayo ilikuwa contaminated na vitu gani hadi hicho kipimo kikatoa jibu negative??
Hiyo negative ina maana hakiko contaminated. It it is true negative. Samples zenye matatizo ni zile ambazo ni false negative au false positive.
 
Hiyo negative ina maana hakiko contaminated. It it is true negative. Samples zenye matatizo ni zile ambazo ni false negative au false positive.
Kwanini kipimo kitoe majibu negative wakati hiyo sample sio sahihi kwa kipimo husika kwanini haikukataa kuwa hiyo sample ni unknown?
 
Kwahiyo kwasasa tunatumia hizo zilizokuwepo hapa nchini au tunatumia hizo tulizoletewa??
Siwezi kujibu hayo kwa kuwa sifanyi kazi huko. Ila nilichokuwa nasema ni kuwa technology inayotumika siyo ngeni. REAL TIME PCR zipo TZ na zinaweza kufanya analysis ya Covid 19.Naamini watachokuwa wamepewa ni procedure Labda na training possibly online.
 
Soma tena mada labda utaelewa Kisha uje tena tujadili mkuu.
 
Kwanini kipimo kitoe majibu negative wakati hiyo sample sio sahihi kwa kipimo husika kwanini haikukataa kuwa hiyo sample ni unknown?
Wanaporeport negative ina maana kuwa specific nucleiic acid was not detected. Kwa hiyo unaposema negative it means not detected or not present.
 
Mambo ya kusikia mara nyingi huwa ni UMBEYA!Ukiambiwa uthibitishe utapata taabu sana!
Unajuaje kwamba taarifa niliyotaka kukupa kuwa ni ya umbea au wewe unachowaza ni umbea tu?
 
Sijasema kuwa madaktari wangegundua. Nimesoma kama kulikuwa na contamination kwenye maabala matechnicians au scientists wangegundua.
 
Rais amesema vifaa hivyo vimeletwa hapa nchini maalumu kwaajili ya corona na si hivyo ulivyovisema wewe, na baadhi ya wataalam wamesema vipimo hivyo ni kwaajili ya kupima Covid-19 tu na si vinginevyo, Inamaana ukipima kitu tofauti lazima kitaleta majibu Unknown.
 
Wanaporeport negative ina maana kuwa specific nucleiic acid was not detected. Kwa hiyo unaposema negative it means not detected or not present.
Mkuu mbona tunachoshana bure, not present or not detected kwanini wakati sample sio sahihi au hili swali huliewi mkuu?? Sample sio sahihi kwenye kipimo sasa jibu kama hilo limekujaje??
 
Jibu zuri ni kupeleka hizo sample katika mabara za nje ili kufanya quality assuarance
 
Ni ya kuchukua sampuli katila fenesi ni nini?

Je ni kuonyesha kuwa hatuna co-vid nchini???
 
Sijasema kuwa madaktari wangegundua. Nimesoma kama kulikuwa na contamination kwenye maabala matechnicians au scientists wangegundua.
Unauhakika gani kama hizo contamination hazipo kwenye hiyo maabara.?
Alafu kumbuka hayo mambo ya contamination ni hao wataalam ndio waliyosema sasa iweje wasema vitu ambavyo havipo kwenye hizo maabara.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…