Yeye anajua kuwa ugonjwa upo na ulipo ingia nchini ni yeye ndie alitangaza na kuwaambia watu wachukue tahadhari, Sasa habari sijui za kuonyesha ugonjwa haupo hizo ni za kwako.Ni ya kuchukua sampuli katila fenesi ni nini?
Je ni kuonyesha kuwa hatuna co-vid nchini???
Kipindi kama hiki hutufunza mambo mengi tofauti hatayale tunayodhani si tatizo..tatizo la kwanza linaanzia kwenye timu inayomshauri Mh. Rais akiwemo huyo Prof. aliyekubali kutest covid vitu ambavyo havihusiani na kinachotakiwa kujulikana..je tatizo ni vifaa au umakini wa wapimaji..WALISHINDWA NINI KUSHAURI KWAMBA VIPIMO VICHUKULIWE KWA BINADAMU NA VIPEWE MAJINA TOFAUTI..MFANO SAMPULI ZA ALLY ZIPEWE MAJINA YA WATU 5 TOFAUTI KWA SAMPULI ZILE ZILE NK NA ZIKAPIMWE SEHEMU TOFAUTI, DAR, MZA NA ARUSHA IKIWEZEKANA PELEKA HATA NCHI JIRANI RAFIKI HALAFU LINGANISHA MATOKEO...kwa njia hiyo utakuwa kwenye nafasi nzr kufahamu dosari iko wapi..si hivyo walivyofanya, kama ni muungwana huyo prof. hata hiyo kazi alipaswa aache! huwezi kutoa ushauri dhaifu namna hii.Yeye anajua kuwa ugonjwa upo na ulipo ingia nchini ni yeye ndie alitangaza na kuwaambia watu wachukue tahadhari, Sasa habari sijui za kuonyesha ugonjwa haupo hizo ni za kwako.
Lengo la kufanya huo uchunguzi ni kutaka kujiridhisha na utendaji kazi wa hivyo vifaa.
Na hilo sio kosa kwake kama mkuu wa nchi.
Na baada ya kuchukua sampuli.Nusu ingepelekwa maabara kuu na nyingine ipelekwe Kenya.Kisha tulibganishe majibuKipindi kama hiki hutufunza mambo mengi tofauti hatayale tunayodhani si tatizo..tatizo la kwanza linaanzia kwenye timu inayomshauri Mh. Rais akiwemo huyo Prof. aliyekubali kutest covid vitu ambavyo havihusiani na kinachotakiwa kujulikana..je tatizo ni vifaa au umakini wa wapimaji..WALISHINDWA NINI KUSHAURI KWAMBA VIPIMO VICHUKULIWE KWA BINADAMU NA VIPEWE MAJINA TOFAUTI..MFANO SAMPULI ZA ALLY ZIPEWE MAJINA YA WATU 5 TOFAUTI KWA SAMPULI ZILE ZILE NK NA ZIKAPIMWE SEHEMU TOFAUTI, DAR, MZA NA ARUSHA IKIWEZEKANA PELEKA HATA NCHI JIRANI RAFIKI HALAFU LINGANISHA MATOKEO...kwa njia hiyo utakuwa kwenye nafasi nzr kufahamu dosari iko wapi..si hivyo walivyofanya, kama ni muungwana huyo prof. hata hiyo kazi alipaswa aache! huwezi kutoa ushauri dhaifu namna hii.
Tumesha ambiwa kuwa wanyama kama paka na mbwa na wanyama wengine hapa Ulaya wamekutwa na coronavirus, kwa kuwa wanao wahudumia walikuwa tayari wamesha adhirika, je hizo sample zinazo tajwa hapo juu itakuwaje kama walio shughulikanazo tayari wana corona? Tangu corona ianze viongozi wengi wa kisiasa wametumia kila aina kuchukua uamuzi wa kukalia viti vya wanasayansi na kutoa maamuzi ya ugonjwa wa corona kwa kuhofia chaguzi zijazo, sababu nchi nyingi Duniani zinaingia kwenye uchaguzi siku chache zijazo.Umeambiwa wanapima DNA?Yaani unataka sampuki ije waanze kuhangaika kupima DNA ili wajue kama ni sampuli ya binadamu au mnyama?Sio sawa!Nadhani ilipaswa timu ya Rais kupeleka sampuli za binadamu!Walipaswa labda kupeleka sampuli za mtu mmoja ila kwa majina 10 tofauti ili kuona katika sampuli hizo kumi za mtu huyo huyo mmoja zitaleta majibu ya namna gani!
Unapochukua sampuli za wanyama na mimea,huwezi ukajua wana virus gani na hureact vipi pindi sampuli zao zinapoingizwa kwenye mashine za kupimia Covid 19!Usahihi nadhani ungekuwepo kama tungepeleka known specimen ya binadamu na kuchanganya vitu!
Pia nimlaumu Rais kwa kukimbilia kutoa shutuma kuwa anahujumiwa na Mabeberu kwa kushirikiana na wataalamu wa maabara ya taifa!Vp kama uchunguzi utakuja na majibu tofauti?
Atatoka hadharani kuomba radhi kama alivyotoka kushutumu?Kwanini asingesubiri awe na uhakika kwanza ndio aongee?
Una lako jambo! Si bure, kama ni mkeo au mmeo arudishwe. Amechukuliwa tu. Khaah, si chuki hii! Hii sio hoja.Walisema lini? lete tuone hayo maandishi au video walizokuwa wanasema hivyo.
Kwanini wanasayansi wa wetu wasingefanya utafiti kuhusu hilo jambo mpaka wasubiri vidume vifanye na wao ndiyo waegemee humo humo. Wanasayansi wetu ni tatizo kubwa sana. Uelewa wao ni mdogo sana na hauendani na ukubwa wa matokeo yaliyo kwenye mavyeti yao na kwa namna wanavyovimba mtaani.
Hilo una uhakika nalo au unabahatisha?Mimi ninayo hapa mashine ya kupimia sukari,sampuli ni damu!Jana niliweka maji bado kikanipa reading,ina maana kuna glucose kwenye maji au kifaa ni kibovu?Hicho unachokisema sio sahihi mkuu, hili linafahamika mkuu kama sample iliyo pimwa sio sahihi kwa matumizi ya kifaa husika kifaa kitashindwa kuitambua hiyo sample na si kutoa majibu ya positive na negative.
Kuna taarifa huko Kenya kuna mtu alipimwa Boda ya Uganda akakutwa positive, akarudishwa Mombasa karantini akapimwa tena na majibu yakaja Negative kuwa Hana.
Tena akapimwa mara mbili kwa uhakika zaidi jibu bado ni negative.
Huoni hapo tunazidi kuvumbua utata juu ya hizi machines.
Ni jambo la kushangaza na kutia shaka kuona wataalam na wanasayansi wa Tanzania wanavyopinga uchunguzi wa Rais kwa hoja dhaifu.
Hii inatia shaka juu ya uwezo wa wataalam tulio nao hapa nchini.
Hebu tungalie hoja hizi zilizotumika kupinga Uchunguzi wa Rais kwa jinsi wataalam wetu walivyozitolea maelezo.
1 vipimo ni Specific kwaajili ya kupima virus ama bacteria, hivyo huwezi kupima sample tofauti DNA/RNA hivyo basi hakiwezi kupima papai, lazima kitaleta majibu tofauti.!!
Hoja hii haina mashoka kama ni hivo kwa nini vipimo hivi vimetoa majibu ya positive na negative wakati sample sio sahihi??
Je wataalam wetu walijaribu kuvifanyia uchunguzi wowote hivi vifaa pindi vilipokaja kabla hawajaanza kuvitumia??
Kama hawakufanya kwanini waliviamini moja kwa moja, taaluma yao iko wapi hapi??
2 wataalam wengine wakaja na hoja kuwa majibu yanaweza kuwa positive kwasababu sample zinaweza kuwa zinamaambukizi (Contaminated) ama wakati wa kuchukua sample ama wakati wa upimaji hivyo kipimo kitatoa majibu Positive.!!
Okay.
Sasa kama ni hivi hamuoni hapo kuna uwezekano kuna watu ambao ni negative hawana maambukizi Ila kwasababu ya uzembe/ makosa wakati wa kuchukua sample ama uzembe wakati wa upimaji wakaiambukiza hiyo sample na kumpa mtu majibu ya positive kumbe Hana maambukizi?? Mtu unapewa ugonjwa ilihali huumwi.
Alafu hivi kama hiyo sample sio sahihi na imetoa positive kwasababu ipo Contaminated mbona sample za nanasi na kondoo zimetoa majibu negative??
Kwanini iwe negative wakati sample sio sahihi na haipo contaminated??
Hili limekaaje sasa wataalam? Inamaana kama inangekuwa haipo contaminated si ingetoa majibu kuwa haitambuliki (sample sio sahihi) kwanini Sasa ikatoa negative??
Halafu Inamaana team ya watafiti wa Rais hawakuwa na uelewa kabisaa kiasi kwamba wakazichukua sample tu ovyo ovyo bila ya umakini wowote na kuzipeleka tu zikapimwe hadi zinapata maambukizi??
Siamini kama ni wajinga kiasi hiki.
3 Wengine wanasema kuwa mh anawadharau wataalam, hana shukurani,anadanganya umma, anataka kuficha wagonjwa n.k.
Hii hoja haina mashiko.
Inakuwaje madaktari na wataalam wabobezi kabisa kwenye utafiti na vipimo unaletewa sample ya papai na fenesi unaambia ni ya binadamu halafu unakubali na kwenda kuipima??
Hii inatoa picha kuwa wataalam wetu wanalipua lipua tu na hawako makini na kazi yao, kama wako makini hili linawezekanaje??
Hamuoni hapa kunatakiwa kufanyaka uchunguzi wa kina kama Rais alivyotilia shaka??
Kumbe sample zinakuwa contaminated hapo hapo maabara na kutupa majibu ya positive kwanini waachwe Sasa??.
Watanzania wenzangu Mimi kwa maoni yangu mh Rais anahoja ya msingi sana tusimpuuze, hawa wataalam wetu ndio wanatudanganya mh Rais yuko sahihi..
Kuna sehemu haiko sawa katika hili.
Kama una majibu ya maswali hayo uje hapa ulete ufafanuzi.
Mkuu, kama wameleta vipimo maalumu kwa ajili ya Corona, most likely atakuwa anazungumzia Test kits. Lakini tatizo la test kits mpaka sasa haziko well validated na ndiyo maana sehemu nyingi wamepata shida nazo na kuzikataa. Kwa idadi ya watu waliokuwa wanakuwa tested Tanzania kama walizitumia basi ilikuwa ni muhimu wafanye confirmation with WHO recommended tests.Rais amesema vifaa hivyo vimeletwa hapa nchini maalumu kwaajili ya corona na si hivyo ulivyovisema wewe, na baadhi ya wataalam wamesema vipimo hivyo ni kwaajili ya kupima Covid-19 tu na si vinginevyo, Inamaana ukipima kitu tofauti lazima kitaleta majibu Unknown.
Mkuu, nilikuwa najaribu kukuelewesha what it means when the test report says Negative.Mkuu mbona tunachoshana bure, not present or not detected kwanini wakati sample sio sahihi au hili swali huliewi mkuu?? Sample sio sahihi kwenye kipimo sasa jibu kama hilo limekujaje??
Kama no hivo sasa kosa la Rais yeye kufanya uchunguzi ni lipi? Au wenye ruhusa ya kusema na kurudisha hivo vifaa ni hao tu wa mataifa mengine?Mkuu, kama wameleta vipimo maalumu kwa ajili ya Corona, most likely atakuwa anazungumzia Test kits. Lakini tatizo la test kits mpaka sasa aziko well validated na ndiyo maana sehemu nyingi wamepata shida nazo na kuzikataa. Kwa idadi ya watu waliokuwa wanakuwa tested Tanzania kama walizitumia basi ilikuwa ni muhimu wafanye confirmation with WHO recommended tests.
Wewe ni mwana sayansi au mwana siasa??Hebu tofautisha wanasiasa na wataalam. Wanasiasa siku zote hutafuta kujijenga kisiasa tu. Kabla hujatoa hoja zako zilizokaa kishabiki ungefikiria kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo ndio unataka kusemaje mkuu.Ngoja nikuaidie kujibu moja, hata kipimo cha presha digital kama bettery ziko down kinaleta majibu tofauti. Upo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe nae inabidi usome tena mada kule juu uelewe vizuri alafu uje tena mkuu.Tumesha ambiwa kuwa wanyama kama paka na mbwa na wanyama wengine hapa Ulaya wamekutwa na coronavirus, kwa kuwa wanao wahudumia walikuwa tayari wamesha adhirika, je hizo sample zinazo tajwa hapo juu itakuwaje kama walio shughulikanazo tayari wana corona? Tangu corona ianze viongozi wengi wa kisiasa wametumia kila aina kuchukua uamuzi wa kukalia viti vya wanasayansi na kutoa maamuzi ya ugonjwa wa corona kwa kuhofia chaguzi zijazo, sababu nchi nyingi Duniani zinaingia kwenye uchaguzi siku chache zijazo.
Sasa kama kuna contamination kwenye maabara zetu, ndio nikauliza hamuoni hapo kuwa kuna uwezekano wa kuwapa watu majibu ya positive ilihali haumwi ila ni sample yake ndio ipo contaminated?What if there was a deliberate contamination to discredit our own labs??
Mkuu unataka kunambia kuwa hawa wanasayansi maelezo waliyo yatoa kuhusiana na utendaji kazi wa hivi vifaa wametudanganya??Hilo una uhakika nalo au unabahatisha?Mimi ninayo hapa mashine ya kupimia sukari,sampuli ni damu!Jana niliweka maji bado kikanipa reading,ina maana kuna glucose kwenye maji au kifaa ni kibovu?
Nilichogundua ni kuwa mimi ndio mjinga kuweka maji kwenye kifaa kinachopima glucose kwenye damu ya binadamu na sio kwamba kifaa ndio kibovu!
Hilo suala la visa kama hivyo lipo,ndio maana nasema tupeleke sampuli za binadamu kwa wingi kuangalia accuracy ya kifaa!Kama kina 96%,then katika watu 100 kitakosea kwa watu wa 4!So kuondoa hiyo error basi sampuli inatakiwa kupimwa walau mara 3 maana ni vigumu sana sampuli ile ile kuangukia kwenye error ya hiyo 4% kwa mara 3 mfululizo!
Kama no hivo sasa kosa la Rais yeye kufanya uchunguzi ni lipi? Au wenye ruhusa ya kusema na kurudisha hivo vifaa ni hao tu wa mataifa mengine?
Wewe ndio una hoja dhaifu na si wao, kwasababu kwa mujibu wa wataalam wetu wamesema vifaa hivyo vinapima Corona na sio kitu kingine chochote, ukiweka sample tofauti kifaa hicho hakitasoma negative wala positive badala yake hakitaitambua hiyo sample yani itakuwa Unknown.Kipindi kama hiki hutufunza mambo mengi tofauti hatayale tunayodhani si tatizo..tatizo la kwanza linaanzia kwenye timu inayomshauri Mh. Rais akiwemo huyo Prof. aliyekubali kutest covid vitu ambavyo havihusiani na kinachotakiwa kujulikana..je tatizo ni vifaa au umakini wa wapimaji..WALISHINDWA NINI KUSHAURI KWAMBA VIPIMO VICHUKULIWE KWA BINADAMU NA VIPEWE MAJINA TOFAUTI..MFANO SAMPULI ZA ALLY ZIPEWE MAJINA YA WATU 5 TOFAUTI KWA SAMPULI ZILE ZILE NK NA ZIKAPIMWE SEHEMU TOFAUTI, DAR, MZA NA ARUSHA IKIWEZEKANA PELEKA HATA NCHI JIRANI RAFIKI HALAFU LINGANISHA MATOKEO...kwa njia hiyo utakuwa kwenye nafasi nzr kufahamu dosari iko wapi..si hivyo walivyofanya, kama ni muungwana huyo prof. hata hiyo kazi alipaswa aache! huwezi kutoa ushauri dhaifu namna hii.