Hebu tuanzie hapa: Ben Saanane alitoka kwao saa mbili asubuhi ila hakurudi mpaka leo. Yupo hai? Kuna huu ujumbe aliotuambia

Zile maiti za zilizokuwa zinakutwa kwenye viroba zilikuwa ni magaidi walioiteka Kibiti,walishambuliwa uko msituni na kutupwa baharini,kumbuka wanajeshi zaidi ya 1,000 walikuwa wanaingia msitu wa Kibiti na walikuwa hawaachi kitu uko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…