Mwande na Mndewa JF-Expert Member Joined Feb 26, 2021 Posts 1,117 Reaction score 3,153 Dec 1, 2024 #301 Zile maiti za zilizokuwa zinakutwa kwenye viroba zilikuwa ni magaidi walioiteka Kibiti,walishambuliwa uko msituni na kutupwa baharini,kumbuka wanajeshi zaidi ya 1,000 walikuwa wanaingia msitu wa Kibiti na walikuwa hawaachi kitu uko.
Zile maiti za zilizokuwa zinakutwa kwenye viroba zilikuwa ni magaidi walioiteka Kibiti,walishambuliwa uko msituni na kutupwa baharini,kumbuka wanajeshi zaidi ya 1,000 walikuwa wanaingia msitu wa Kibiti na walikuwa hawaachi kitu uko.