Hebu tuanzie hapa: Ben Saanane alitoka kwao saa mbili asubuhi ila hakurudi mpaka leo. Yupo hai? Kuna huu ujumbe aliotuambia

Allahou A'lam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ben aliuawa na genge la mbow, hiyo inajulikana.
 
Nimekuelewa umeandika vizuri lakin haujawa mkweri wa jambo husika unavinasaba flani hivi .......wajanja watakugundua kwa comment yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni fact au unaongozwa na ile “chuki” uliyo nayo zidi ya CHADEMA?
Mkuu umejaribu kuhoji credibility ya Hiyo maada?Au kisa kimeandikwa unachotaka kusikia?Habar imeungwa ungwa na story za akina Roma,Lisu mara Arzory mara cocobeach imradi tu desa lipatikane. Ukifuatilia matukio yote aliyotaja humo unaona ni matukio yaliyojaa mikanganyiko.Hivi Roma alitekwa na nani na alifanya nini kiasi atekwe?Huko anakodai kupigwa hivi anajua mtu aliyetekwa na kupigwa huwa ktk mazingira gani?Walitekwa akina Ulimboka au kibanda Ukiangalia haya matukio unaona kweli hawa jamaa walitekwa na sababu za kutekwa zina mashiko.Hivi Roma alitekwa kwa Lipi?Asitekwe Ney wa mitego atekwe Roma?

Mtu analeta tukio la lisu kujenga hoja za Ben,Anakwambia Risasi 38.Hivi kwanini hatutaki kuumiza akili hata kidogo?Risasi 38 tunazijua au tunazisikia tu?Hili tukio la Lisu ni kwamba limevunja record ya dunia sasa na kwa ujumla ni kwamba ni binadamu pekee ambaye bado yuko hai na kila mfuko wake wa mwili uko sawa. Ukihoji inawezekanaje upigwe risasi 38 na bado uwe hai unaitwa buku 7 mara hijitambui nk.Lkn kwa tukio la Lisu ukisema utengeneze movie,ni wazi utapata movie ya kipumbavu haijawah tokea.

Huyo Ben kwamba hana ndugu au wazaz wenye uchungu sana kuliko wafuasi wa chadema?Mbona hamtaki kuhoji nguvu inayotumika na wazaz kuhusu mtoto wao kuwa ni ndogo sana?Ushawah potelewa na ndugu wewe?tena wa damu?Vipi reaction yake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mauaji ya kina Ben, Azory na wengine. Hayata kwenda na upepo bure bure tu.

Iwe miaka 5, 10, 15, 20 iyajo wahalifu/wahusika watafikishwa kizimbani na kufungwa maisha. Haijalishi vyeo walivyokua navyo au kiburi walichokua nacho.
Hizi mada ni za kupima upepo na kutia wahusika tumbo joto, naamini muda si mrefu watu watamwaga mboga na ugali pamoja.
 
SARAFU INA PANDE (moja, mbili, tatu)

Mmetueleza upande mmoja wa sarafu, hebu sasa tuziangalie pande nyingine za hii sarafu

1. Ugombeaji ubunge Rombo
2. Kumpa sumu ZITTO
3. Kumpindua MBOWE kwenye uenyekiti
4. Kuhoji elimu ya rais
5. Uhasama ndani ya Chadema (Kubenea)
6. N.k

Kuna vitu vingi sana vinajaribu kupotoshwa na kuuaminisha umma usiopenda kujua vitu kiundani.

Tuchukue muda kujua Juu ya madhila, kadhia na masahibu kadhaa ya BEN SAANANE kisha tunaweza kuwa ktk level sasa ya kujadili huru.

NB:
1. Chacha wangwe
2. Ludovic vs. Lwakatare
3. Mauaji kwenye mikutano ya chama
4. Muandamanaji (mungiki) aliyedhurika Arusha na kukutwa na Passport ya Kenya
5. Mnyika vs. Dereva wa Chacha wangwe
6. N.k
 
Ni bora waendelee kulia lia bila kutumia nguvu zaidi kwasababu si wao wala wewe utakae kuwa salama ...wanatukanwa,wanatiwa gerezani hovyo hovyo ,wanapigwa na wengine kuawa lakini bado wanafanya siasa zakistaarabu. ...unaposema waachekulia lia ili wasishindwe na wenzao unamaanisha nini?unakumbukumbu na matukio ya MKIRU wewe au unaandika andika tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…