Hebu tuanzie hapa: Ben Saanane alitoka kwao saa mbili asubuhi ila hakurudi mpaka leo. Yupo hai? Kuna huu ujumbe aliotuambia

Ben Saanane alitumwa na Mbowe Afrika Kusini, kumbe ilikuwa janja ya kumuuwa ili kuficha wizi wa ruzuku ya chama.

Ni kama Chacha Wangwe tu alichofanyiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
kwahiyo unajuwa hivyo na hujaenda kulipoti police unakuja kuripoti hapa. halafu unatembea barabara ukifikiri unaakiri timamu? either umejitowa ufahamu au itakuwa muathirika upungufu wa akili kutokana na vyuma kukaza.
 
Hata hili la kupigwa Risasi lazima liongelewe kwa facts. Ni kweli kupiga au kutishia ni kosa lkn lazima tujikite kwenye facts. Ni kweli binadamu unaweza pigwa Risasi 38 na ukabaki salama?

Sent using Jamii Forums mobile app
We endelea na porojo zako wakati mwenzito ana taarifa ya utabibu ambayo ni ushahidi tosha.
 
We endelea na porojo zako wakati mwenzito ana taarifa ya utabibu ambayo ni ushahidi tosha.
Taarifa zipi?Umeziona?Jaman sisi ni Great thinker, tuache USHABIKI MAANDAZI. Inawezekana vipi upigwe risasi 38 na bado ubaki salama?Kumbuka unaambiwa ilikua siraha ya kivita. Au zilikua baruti?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Subiri tarehe 23 anahutubia.
Mkuu hata ahutubie leo, bado kama Great thinker uwe na AKILI sio kumsikiliza mwanasiasa. Kwamba unataka kusema atakayoongea ndio sahihi?Kwamba wewe huna akili ya kureason inawezekanaje upigwe risasi 38 na bado ubaki salama?Huoni kwa tukio hili tayar jamaa anafaa kuingizwa kwenye records za Dunia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii thread siyo pahala pake.Na ingekuwa the right place, ningeuliza CCTV zipo?
 
Hii thread siyo pahala pake.Na ingekuwa the right place, ningeuliza CCTV zipo?
Mkuu tufanye cctv na wale wote mnaosema wamehusika ni kweli.Tuje kwenye facts inawezekanaje upigwe risasi 38 na zingine kwenye uti wa mgongo na ukabaki salama?Hivi kwanza unajua kazi za uti wa mgongo?Ushwah fanya imagination ya umwagaji wa risasi 38?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namba 2 ndiyo more likely ikifuatiwa na namba 3.
Ila kwa nionavyo mimi namba 2 ndiyo haswa kilichotokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata hili la kupigwa Risasi lazima liongelewe kwa facts. Ni kweli kupiga au kutishia ni kosa lkn lazima tujikite kwenye facts. Ni kweli binadamu unaweza pigwa Risasi 38 na ukabaki salama?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Mungu yote yanawezekana full stop. Mungu hashindwi kitu. Kama huamini Mungu, hilo ni jambo lingine
 
Hivi unapata wapi ujasiri wa kuchangia ujinga katika mambo magumu kama haya?
Ukimuona mtu anatumia nguvu nyingi kujaribu kupoteza muelekeo sahihi wa hisia za nini hasa kilijiri ujue either alihusika moja kwa moja katika tukio au anawajua wahusika na ni wenzake(same team).

Jaribu kumpuuzia tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Mungu yote yanawezekana full stop. Mungu hashindwi kitu. Kama huamini Mungu, hilo ni jambo lingine
Acheni kumuingiza Mungu kwenye mambo ya kipumbavu. Yaani nyie kila yanatokea upande wenu ni Mungu. Mnatumia vitu gani kupima kuwa ni Mungu na sio binadamu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni kumuingiza Mungu kwenye mambo ya kipumbavu. Yaani nyie kila yanatokea upande wenu ni Mungu. Mnatumia vitu gani kupima kuwa ni Mungu na sio binadamu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Biblia inasema pasipo Mungu, hatuwezi chochote,liwe dogo au kubwa. Mungu anahusika na maisha ya mwanadamu yoyote kwa asilimia mia moja. Hakuna jambo linaloweza kutokea bila Mungu kuridhia. Siwezi kukuelezea zaidi ya hapo. Hata wewe kutype hapo, ni Mungu kakupa uwezo.
 
Haya uliyoyaandika yana halalisha Je kupotezana au kushambuliana kigaidi ?! 38 utafikiri unamuua Tembo au hata Chatu !!!.
Shame on U

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni kumuingiza Mungu kwenye mambo ya kipumbavu. Yaani nyie kila yanatokea upande wenu ni Mungu. Mnatumia vitu gani kupima kuwa ni Mungu na sio binadamu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ishi! Hivi huyu mpumbavu yuko busy kubisha eti ni kwa nini tundu lisu amenusurika, kwa kurushiwa risasi 38 na16 zikaingia mwilimi mwake, ye alitakaje? Ulitaka afe? Ok polisi siwaje hadharani waseme hakupigwa risasi hata moja, kwa nini hawakwenda hta kumhoji nairobi alikokua amelazwa..We ni mpumbavu wa kiwango cha juu saana. Watu hawapaswi kukujibu lolote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.

Jr[emoji769]
 
"Naamini sasa hutapost tena" Ujumbe zaidi aliambiwa "Baba yako atajilaumu sana kwa kukusomesha na sasa hatayafaidi matunda ya elimu yako,Ben wewe bado ni kijana mdogo sana kufa"

Sam, ni kipi kinachokufanya usiamini hayo maneno hadi uhangaike na nadharia hizo zote?

Ninachoamini ni kuwa dola inajua kabisa yaliyomkuta Ben. Kama sivyo basi wangeshachukua hatua stahiki.

Mbona haya ni wazi kabisa. Kwenye mstari huo huo mmoja na yaliyompata Mo?

Mmh, Sam, naelewa kwa nini wengi hawawezi kuamini mabaya bila ya kuwa na matumaini ya ----labda......huenda! 'Hope against hope'. Hii ni hulka ya kibinaadam yeyote. Hatuwezi kuamini na kuridhika kabisa juu ya mabaya ambayo hatutarajii yawatokee wapendwa wetu. Mgonjwa anakuwa mahututi; lakini bado tunashikilia matumaini ya kupona kwao kuwepo!

Sasa ukirudi nyuma na kuchambua saikolojia ya waliokuwa wanayafanya haya yote, hapo ndipo utakapo tambua uchizi uliokuwa wazi kabisa.

Watu wakitaka kuyachimba makaburi haya huko mbeleni, ni aibu kubwa kwa wahusika.
 
Nafikiri huko kwenu ndiko walikojaa WAPUMBAVU coz huwa mmapangiwa nini mfikiri na kuhoji. Hakuna nilipoelezea kuwa ilitakiwa afe lkn nahoji idadi ya risasi tena bunduki ya kivita. Shida yenu ni kwamba huwa hampend kureason lolote mtakalo ambiwa na lisu,Mbowe au think tank yyt mliyemchagua afikir kwa ajili yenu.Ni muuaji wa aina gani huyu wa kutumia bunduki ya kivita na akamwaga risasi 38?Tuseme zilimpata risasi 16.Tukubali, inawezekanaje risasi 16 ziingie mwilini ma bado ubaki na faham hadi unafikishwa hospital ndio faham ipotee?Mbaya zaid kuna risasi nyingine ilitua karibu na spinal cord lkn jamaa anadai bado alikua timamu tu.Hivi huko ufipa huwa mnajaribu hata kureason lolote?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…