Engager
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 1,522
- 3,255
Chukua simu yako, type any random number halafu ipigie. Atakayepokea, awe jinsia yako au jinsia tofauti mwambie hivi:
'Najua hunijui ndugu yangu, lakini maisha yangu yamekuwa na changamoto nyingi sana. Nimeshindwa, nimekata tamaa. Nataka kujiua. Nimepiga hii namba nipate neno lolote linaloweza kuwa la manufaa kwangu kabla au baada ya kutekeleza uamuzi wangu. Nimechoka'.
Ongeza vidiko diko basi. Ongea kinyonge, jifanye kama unalia, kuwa kama mtu aliyekata tamaa kweli anataka kujiua. Kisha njoo utupe feedback ulichoambiwa😊
'Najua hunijui ndugu yangu, lakini maisha yangu yamekuwa na changamoto nyingi sana. Nimeshindwa, nimekata tamaa. Nataka kujiua. Nimepiga hii namba nipate neno lolote linaloweza kuwa la manufaa kwangu kabla au baada ya kutekeleza uamuzi wangu. Nimechoka'.
Ongeza vidiko diko basi. Ongea kinyonge, jifanye kama unalia, kuwa kama mtu aliyekata tamaa kweli anataka kujiua. Kisha njoo utupe feedback ulichoambiwa😊