Hebu tufanye hii challenge

Hebu tufanye hii challenge

Engager

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2011
Posts
1,522
Reaction score
3,255
Chukua simu yako, type any random number halafu ipigie. Atakayepokea, awe jinsia yako au jinsia tofauti mwambie hivi:

'Najua hunijui ndugu yangu, lakini maisha yangu yamekuwa na changamoto nyingi sana. Nimeshindwa, nimekata tamaa. Nataka kujiua. Nimepiga hii namba nipate neno lolote linaloweza kuwa la manufaa kwangu kabla au baada ya kutekeleza uamuzi wangu. Nimechoka'.

Ongeza vidiko diko basi. Ongea kinyonge, jifanye kama unalia, kuwa kama mtu aliyekata tamaa kweli anataka kujiua. Kisha njoo utupe feedback ulichoambiwa😊
 
Chukua simu yako, type any random number halafu ipigie. Atakayepokea, awe jinsia yako au jinsia tofauti mwambie hivi:

'Najua hunijui ndugu yangu, lakini maisha yangu yamekuwa na changamoto nyingi sana. Nimeshindwa, nimekata tamaa. Nataka kujiua. Nimepiga hii namba nipate neno lolote linaloweza kuwa la manufaa kwangu kabla au baada ya kutekeleza uamuzi wangu. Nimechoka'.

Ongeza vidiko diko basi. Ongea kinyonge, jifanye kama unalia, kuwa kama mtu aliyekata tamaa kweli anataka kujiua. Kisha njoo utupe feedback ulichoambiwa😊
That is not a challenge. Ni ujinga tu
 
Uvumbuzi wa watanzania wenzetu, halafu kesho utakuta unakua kiongozi kabisa dunia iko mbele wewe uko nyuma kabisa
 
Ingia you tube search

Artist; Ambwene Mwasonge
song; hakuna wa kufanana naye
 
Chukua simu yako, type any random number halafu ipigie. Atakayepokea, awe jinsia yako au jinsia tofauti mwambie hivi:

'Najua hunijui ndugu yangu, lakini maisha yangu yamekuwa na changamoto nyingi sana. Nimeshindwa, nimekata tamaa. Nataka kujiua. Nimepiga hii namba nipate neno lolote linaloweza kuwa la manufaa kwangu kabla au baada ya kutekeleza uamuzi wangu. Nimechoka'.

Ongeza vidiko diko basi. Ongea kinyonge, jifanye kama unalia, kuwa kama mtu aliyekata tamaa kweli anataka kujiua. Kisha njoo utupe feedback ulichoambiwa😊
Upumbavu na kukosa kazi. Si bora ungekaa kutafakari hata namna ya kumsaidia dada yako hapo kwa mumewe?
 
Nimebuni buni number, nikapiga akapokea mrembooo
Akasema unasemaje nikashindwa
Hata cha kujibuuu.

Seriously one of the Wackiest bongo flevour song ever.
 
Back
Top Bottom