The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Kama tujuavyo serikali ya awamu ya tano chini ya rais Magufuli imeibua miradi mingi mikubwa ambayo ipo katika hatua mbalimbali za utekelezaji, hii ikimaanisha kwamba tayari hii miradi imeshatumia pesa nyingi sana za walipa Kodi ambapo mgombea huyu anatoa ahadi kwamba tukimchagua tena ataimalizia.
Kwa upande mwingine ni kwamba mgombea urais kupitia chadema ndugu Lisu amekua akiiponda miradi hii na kutilia shaka uhalisia wa gharama za utekelezaji wake ingawa hasemi akiingia madarakani ataifanyaje hii miradi ili kulinda fedha ya walipakodi isiharibike bure kama ilivyoharibiwa Ile fedha ya mchakato wa katiba mpya.
Kwa uchache hii ni baadhi ya miradi ambayo tungetamani kujua hatima ya fedha zetu chini ya utawala wa mh Tundu.
1. Stiegler's
2. SGR
3. Kuhamishia serikali Dodoma
4. Ununuzi wa ndege
5. Ujenzi wa uwanja wa ndege
6. Mabadiliko ya mikataba ya madini
7. Ujenzi wa flyovers Dar
8. Ujenzi wa madaraja kama vile Busisi, Salender
Nk.
Kwa upande mwingine ni kwamba mgombea urais kupitia chadema ndugu Lisu amekua akiiponda miradi hii na kutilia shaka uhalisia wa gharama za utekelezaji wake ingawa hasemi akiingia madarakani ataifanyaje hii miradi ili kulinda fedha ya walipakodi isiharibike bure kama ilivyoharibiwa Ile fedha ya mchakato wa katiba mpya.
Kwa uchache hii ni baadhi ya miradi ambayo tungetamani kujua hatima ya fedha zetu chini ya utawala wa mh Tundu.
1. Stiegler's
2. SGR
3. Kuhamishia serikali Dodoma
4. Ununuzi wa ndege
5. Ujenzi wa uwanja wa ndege
6. Mabadiliko ya mikataba ya madini
7. Ujenzi wa flyovers Dar
8. Ujenzi wa madaraja kama vile Busisi, Salender
Nk.