Hebu tujiulize undani wa hili ‘Tishio la UGAIDI’

Hebu tujiulize undani wa hili ‘Tishio la UGAIDI’

Wengi wetu humu Tumeona, tunesikia na tumesoma tamko la Ubalozi wa Marekani kuhusu uwezekano wa kutokea shambulio la ugaidi hapa nchini.
View attachment 2497876

Tumesikia mwitikio wa jeshi la polisi kuhusu hatua wanazochukua dhidi ya tahadhari hiyo huku wakituhakikishia usalama na ulinzi. Lakini mimi nineona hapo kuna jambo la kutafakari kuhusu uwezo wetu katika usalama wa ndani ya nchi yetu sambamba na uhusiano wa dola na wananchi.

Iwapo taifa la nje linaweza kuchunguza na kupata uthibitisho wa kuwepo na tishio la usalama nchini na wakatoa tahadhari maana yake kuna kulegalega na kuzembea kwa vyombo vyetu vya ulinzi hususani espionage ya ndani ya nchi.

Serikali ya Tanzania imeeza kupitia viongozi waandamizi kuhusu uwekezaji mkubwa walioufanya katika kununua mitambo ya kudukua mawasiliano ya mitandaoni hususani ikiwalenga wahalifu wa mitandaoni. Hapo awali nilisema kuwa tambo za serikali zinathibitisha kuhusu kuingilia uhuru wa wananchi wake binafsi kwa sababu mifano ya waliochukuliwa hatua hata kufikishwa mahakamani ni wale waliotuhumiwa kutoa kauli ama maneno ya kuudhi dhidi ya watawala. Hatujawahi kuona ama kusikia wahalifu ambao wanafanikisha matukio ya kihalifu ama wanaotoa matishio ya usalama wetu wa ndani waking'amuliwa ama kuchukuliwa hatua.

Marekani kupitia taasisi zake za nje wamejijengea uwezo wa kuwez kupenya vihunzi vya usalama vya makundi ya kiuhalifu dhidi ya binadamu na wakaweza kutambua mipango yao na kwa nia njema kabisa wametoa tahadhari.

Watanzania wenzangu nyie ni mashahidi wa namna ambavyo serikali yetu chini ya mkoloni mweusi CCM inavyotushughulikia raia wake huku ikivunja katiba inayotoa uhuru wa maoni. Ushshidi wa hili ni namna ambavyo asilimia kubwa ya members wa JamiiForums tunatumia pen names au majina bandia ili kuficha utambulisho wetu kwa sababu ya kuhofia vyombo vya dola ambavyo vimekuwa vikitumia kodi zetu kutufanyia uhalifu badala ya kutimiza wajibu wake muhimu wa kikatiba na kisheria.

Wachache wetu tunafahamu kinachoendelea maeneo ya mpakani mwa Tanzania na Msumbiji pamoja na juhudi kubwa sa serikali kudhibiti utoaji wa taarifa kwa umma. Ndugu zetu wanauawa na magaidi ambao wamejikita kaskazini mwa Msumbiji. Wahalifu hao inasemekana ni wale magaidi waliofurushwa Kibiti na Rufiji hivyo wameamua kuweka base eneo ambalo wanaamini watajiimarisha na kurudi nchini kuleta tafrani.

Tishio la ugaidi kama lilivyotolewa na ubalozi wa Marekani ni wazi kwamba hatupo salama kwa sababu taarifa ya awali ilipaswa kutolewa na vyombo vyetu na kuchukua tahadhari zote.

Tunahitaji kuona vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikitimiza wajibu wao muhimu kisheria na kikatiba kwa kutuhakikishia usalama wetu wa ndani kwa sababu uwepo wao ni muhimu kwetu na si kwa viongozi pekee.

Tufike mahala tuangalie kwa uwiano bajeti ya ulinzi wa viongozi na bajeti ya ulinzi wa umma ili kutenda yatupasayo na si kuelemea eneo moja pekee huku nchi ikiwa ktk hekaheka na matishio ya usalama

TUSIJEKUPUUZA HILI TISHIO..
Vichwa vyetu watanzania baadhi vina Matatizo!

Hapa unalalamikia jambo lipi hasa wewe Msanii ?

Kwanza unapaswa kuelewa kwamba,ubalozi wa Marekani umetoa tahadhari ile,kuwalenga raia wa Marekani walioko nchini Tanzania.

Na imefanya hivyo kwa sababu,Marekani ni mlengwa namba moja wa Islamic Fundamental Jihadist Groups koote Duniani.

Kwa hiyo,kila inapopata taarifa kama hizo,cha kwanza huwa ni kuwatahadharisha raia wao popote pale wanapokuwa kwa wakati husika.

Vyombo vyetu vya Usalama:

Kwa kawaida,vyombo vya usalama,kwa sababu za kiutaratibu na mifumo ya utekelezaji wake.

Huwa haviwajibiki kufanya kazi kwa matamgazo,isipokuwa pale tu.
Inapovilazimu kufanya hivyo,ili kuwaepusha wananchi kuweza kujihadhari mapema.

Huwa wanafanya hivyo,pale ambapo,jitihada zao kama vyombo husika,zimeelekea kuwa nyuma ya muda,ili kudhibiti tukio kwa 100%.

Kwa hiyo,ukimya unaokuwepo,sio kwamba wanakuwa hawajui.wanachofanya huwa ni utekelezaji wa kimya kimya!

Serikali na vyombo vyake vya ulinzi,huwa iko kazini 24×7×12.

Na pia elewa kwamba,hata huko Marekani,Pamoja na kuwa na Security na intelligence ya hali ya juu.....lakini wanashindwa kudhibiti mauaji ambayo huwa ni ya kigaidi na tunayaona kwenye Media kila siku!

Hata juzi,watu 12 wamekufa California ,baada ya kushambuliwa na mshambulixi wa kujihani aliyebeba silaha.

CIA,FBI,DNAF na wengineo wapo!

Halafu elewa kwamba waliotangaza kuhusu tahadhari ya shambulioo la Tanzanite, sio CIA.....

Ni ubalozi...kwa maana kwamba,kabla hawajatangaza,kuna mawasiliano yamefanyika baina yao na vyombo husika nchini Tanzania.
Na lazima kuna kazi inaendelea!

Kuhusu Kbiiti:

Hawa waasi walioko jimbo la kaskazini mwa Msumbiji,ndio wale waliofurushwa toka Kibiti na kukimbilia Msumbiji kupitia Mtwara!
Na mpaka leo wejikita huko.

Pia ikumbukwe Chadema iliwatetea,ikisema Tanzania inakiuka haki za Binadamu katika kuwakabili.

Tumshukuru Rais Magufuli(R.I.P)
Sababu hakujali kelele za wasakatonge wa kiharakati,yeye aliamua kutafuta usalama wa raia wa nchi yetu Tanzania.
View attachment 2498378
 
Huwa wanatoa same statement almost every year na hamna hata mara moja ambapo lishawah tolkea tukio la ivo.
 
Juzi kuna jamaa kachoma msaafu,waislam kichwa kichwa wamenza maandamano bila kushtuka wanapakwa mavi makusudi,wataibuka wahunk waseme wanalipua sehemu flani na mabomu au kuua watu kwa namna nyingine wakisema wanalipa kisasi kwa quran kuchomwa.

Kisha ripoti zitatolewa kwamba katika kupinga kilichofanyika yaani kuchoma quran,waislam wameamua mpaka kulipua watu ili kujibu mashambulizi.
 
Vichwa vyetu watanzania baadhi vina Matatizo!

Hapa unalalamikia jambo lipi hasa wewe Msanii ?

Kwanza unapaswa kuelewa kwamba,ubalozi wa Marekani umetoa tahadhari ile,kuwalenga raia wa Marekani walioko nchini Tanzania.

Na imefanya hivyo kwa sababu,Marekani ni mlengwa namba moja wa Islamic Fundamental Jihadist Groups koote Duniani.

Kwa hiyo,kila inapopata taarifa kama hizo,cha kwanza huwa ni kuwatahadharisha raia wao popote pale wanapokuwa kwa wakati husika.

Vyombo vyetu vya Usalama:

Kwa kawaida,vyombo vya usalama,kwa sababu za kiutaratibu na mifumo ya utekelezaji wake.

Huwa haviwajibiki kufanya kazi kwa matamgazo,isipokuwa pale tu.
Inapovilazimu kufanya hivyo,ili kuwaepusha wananchi kuweza kujihadhari mapema.

Huwa wanafanya hivyo,pale ambapo,jitihada zao kama vyombo husika,zimeelekea kuwa nyuma ya muda,ili kudhibiti tukio kwa 100%.

Kwa hiyo,ukimya unaokuwepo,sio kwamba wanakuwa hawajui.wanachofanya huwa ni utekelezaji wa kimya kimya!

Serikali na vyombo vyake vya ulinzi,huwa iko kazini 24×7×12.

Na pia elewa kwamba,hata huko Marekani,Pamoja na kuwa na Security na intelligence ya hali ya juu.....lakini wanashindwa kudhibiti mauaji ambayo huwa ni ya kigaidi na tunayaona kwenye Media kila siku!

Hata juzi,watu 12 wamekufa California ,baada ya kushambuliwa na mshambulixi wa kujihani aliyebeba silaha.

CIA,FBI,DNAF na wengineo wapo!

Halafu elewa kwamba waliotangaza kuhusu tahadhari ya shambulioo la Tanzanite, sio CIA.....

Ni ubalozi...kwa maana kwamba,kabla hawajatangaza,kuna mawasiliano yamefanyika baina yao na vyombo husika nchini Tanzania.
Na lazima kuna kazi inaendelea!

Kuhusu Kbiiti:

Hawa waasi walioko jimbo la kaskazini mwa Msumbiji,ndio wale waliofurushwa toka Kibiti na kukimbilia Msumbiji kupitia Mtwara!
Na mpaka leo wejikita huko.

Pia ikumbukwe Chadema iliwatetea,ikisema Tanzania inakiuka haki za Binadamu katika kuwakabili.

Tumshukuru Rais Magufuli(R.I.P)
Sababu hakujali kelele za wasakatonge wa kiharakati,yeye aliamua kutafuta usalama wa raia wa nchi yetu Tanzania.
View attachment 2498378
Umeongea mengi nitaenda taratibu kuyasoma na kuchambua niwezavyo.

Nikianzia chini, Kibiti Rufiji serikali ilichelewa mno kuchukua hatua kwa sababu tayari wananchi wengi walishapoteza maisha kwa matukio yale.

Kumbuka kuwa wazazi wengi walipeleka watoto wao kusomea mambo ya kigaidi nje ya nchi. Tayari kulikuwa na ushahidi wa Watanzania waliokamatwa ktk matukio ya kigaidi huko nje hususan Somalia na Mombasa. Kumbuka video za vitisho zilizosambaa miezi mingi.

Serikali ilichokifanya ni kuwaangamiza na kuwatokomeza bila kushughulika na chanzo cha ugaidi ule.

Taarifa nyingi hazifanyiwi kazi badala yake likitokea tatizo kubwa ndp wanashtuka kumekucha.

Vijiwe vya kigaidi bado havijatolomezwa nchini ndo maana unaona haya matishio yanakuja kila baada ya muda.

Nakumbuka kuna onyo lilitolewa miaka fulani kabla ya balaa la Rufiji. Ambapo ulissmbazwa ujumbe kuhusu uwezekano wa mashambulizi ya kigaidi kulenga maeneo yenye foleni kubwa za magari..... Nikiliangalia tishio la hivi karibuni na foleni zetu ndo kabisaa naona tunahitaji akili ya ziada kukabili hizi changamoto.

Jambo lingine. Ni ngumu sana kuiamini serikali inayokiuka sheria na katiba kama ina uwezo wa kuyakabili haya matishio kwa sababu personels wake kadhaa wana issues against Human Rights.

Kama hata baada ya miaka mingi shambulio dhidi ya Tundu Lisu limefanywa top secret na vyombo vyetu vya usalama, unanishaeishije niamini kwamba hata haya matishio wao wanaangalia usalama wa viongozi kwa kiwango kikubwa kuliko wananchi?
 
Hao ndugu zako wapeleke hospitali, we unahisi udini maana yake nini au umeamua tu kuuliza swali la kipumbavu? Umechangia kwa kugusia viashiria vinavyoamsha hisia za kidini katika hoja yako. Mada ya angalizo la ugaidi toka balozi ya USA inahusiana wapi na uislamu na ukristo ulioongelea wewe?
Na huu ni ugonjwa mwengine wa ndugu zetu.

Ndege wooote walie akilia bundi uchuro.

Tuongee fact. Nini maana ya udini. Unajielewa au unapelekeshwa kama Bendera.
 
Mtengeneza ugaidi kaonya juu ya tabia zake, Na mwishowe atatoa mbinu za kuutatua ugaidi huo.Mataifa mengine makubwa lakini ya hovyo sana.
 
Hao ndugu zako wapeleke hospitali, we unahisi udini maana yake nini au umeamua tu kuuliza swali la kipumbavu? Umechangia kwa kugusia viashiria vinavyoamsha hisia za kidini katika hoja yako. Mada ya angalizo la ugaidi toka balozi ya USA inahusiana wapi na uislamu na ukristo ulioongelea wewe?
Nimekuuliza udini ni nini. Unanambia ndugu zangu niwapeleke hospitali.

Unasema tena naongea kwa hisia za kidini.

Sasa Mtu unapofanya uchambuzi haupaswi kuangalia tulipodondokea tu. Muhumu utafute ulipojikwa.

Ugaidi na sheria ya ugaidi ilitungwa ikihusishwa na uislam. Na kwa tz ikawa muislam yyt atakaeongea mawazo yanayokinzana na watendaji, Huyo ni gaidi.


Sasa ukiniuliza Mimi udini ni niini nitakujibu ni hali ya kuwadhibiti wale wanaokandamizwa na kuumizwa asitoe hisia zake kuwa naumizwa. Umemkanyaga MTU kidole chake kidogo cha mguu. Weye uliyekanyaga unamwambia uliyemkanyaga asipuge kelele. Kwakuwa tu kuna sheria inayoruhusu ukanyagwe.

Hivyo basi wewe ndie mdini.

Kwani hisia ndio vita inayoendeshwa kwasasa ktk siasa za dunia. Politics is about people s mindset.

Ukitaka kuwin kundi Fulani LA watu win their mindset. Na kinyume chake ni kweli.

Sasa ukisema tusiseme hisia zetu wewe tayari u r a looser. Mdini
 
Nimekuuliza udini ni nini. Unanambia ndugu zangu niwapeleke hospitali.

Unasema tena naongea kwa hisia za kidini.

Sasa Mtu unapofanya uchambuzi haupaswi kuangalia tulipodondokea tu. Muhumu utafute ulipojikwa.

Ugaidi na sheria ya ugaidi ilitungwa ikihusishwa na uislam. Na kwa tz ikawa muislam yyt atakaeongea mawazo yanayokinzana na watendaji, Huyo ni gaidi.


Sasa ukiniuliza Mimi udini ni niini nitakujibu ni hali ya kuwadhibiti wale wanaokandamizwa na kuumizwa asitoe hisia zake kuwa naumizwa. Umemkanyaga MTU kidole chake kidogo cha mguu. Weye uliyekanyaga unamwambia uliyemkanyaga asipuge kelele. Kwakuwa tu kuna sheria inayoruhusu ukanyagwe.

Hivyo basi wewe ndie mdini.

Kwani hisia ndio vita inayoendeshwa kwasasa ktk siasa za dunia. Politics is about people s mindset.

Ukitaka kuwin kundi Fulani LA watu win their mindset. Na kinyume chake ni kweli.

Sasa ukisema tusiseme hisia zetu wewe tayari u r a looser. Mdini
Ndugu yangu.
Usihangaike sana na watu waliolishwa sumu kuwachukia binadamu wenzao.

Udini upo na unatesa sana hisia za watu. Majuzi hapa watu walishaanza kung'aka kuwa teuzi za hivi karibuni zimebeba udini wakati wateuliwa ni Watanzania kwa ajili ya Tanzania.
 
Wengi wetu humu Tumeona, tunesikia na tumesoma tamko la Ubalozi wa Marekani kuhusu uwezekano wa kutokea shambulio la ugaidi hapa nchini.
View attachment 2497876

Tumesikia mwitikio wa jeshi la polisi kuhusu hatua wanazochukua dhidi ya tahadhari hiyo huku wakituhakikishia usalama na ulinzi. Lakini mimi nineona hapo kuna jambo la kutafakari kuhusu uwezo wetu katika usalama wa ndani ya nchi yetu sambamba na uhusiano wa dola na wananchi.

Iwapo taifa la nje linaweza kuchunguza na kupata uthibitisho wa kuwepo na tishio la usalama nchini na wakatoa tahadhari maana yake kuna kulegalega na kuzembea kwa vyombo vyetu vya ulinzi hususani espionage ya ndani ya nchi.

Serikali ya Tanzania imeeza kupitia viongozi waandamizi kuhusu uwekezaji mkubwa walioufanya katika kununua mitambo ya kudukua mawasiliano ya mitandaoni hususani ikiwalenga wahalifu wa mitandaoni. Hapo awali nilisema kuwa tambo za serikali zinathibitisha kuhusu kuingilia uhuru wa wananchi wake binafsi kwa sababu mifano ya waliochukuliwa hatua hata kufikishwa mahakamani ni wale waliotuhumiwa kutoa kauli ama maneno ya kuudhi dhidi ya watawala. Hatujawahi kuona ama kusikia wahalifu ambao wanafanikisha matukio ya kihalifu ama wanaotoa matishio ya usalama wetu wa ndani waking'amuliwa ama kuchukuliwa hatua.

Marekani kupitia taasisi zake za nje wamejijengea uwezo wa kuwez kupenya vihunzi vya usalama vya makundi ya kiuhalifu dhidi ya binadamu na wakaweza kutambua mipango yao na kwa nia njema kabisa wametoa tahadhari.

Watanzania wenzangu nyie ni mashahidi wa namna ambavyo serikali yetu chini ya mkoloni mweusi CCM inavyotushughulikia raia wake huku ikivunja katiba inayotoa uhuru wa maoni. Ushshidi wa hili ni namna ambavyo asilimia kubwa ya members wa JamiiForums tunatumia pen names au majina bandia ili kuficha utambulisho wetu kwa sababu ya kuhofia vyombo vya dola ambavyo vimekuwa vikitumia kodi zetu kutufanyia uhalifu badala ya kutimiza wajibu wake muhimu wa kikatiba na kisheria.

Wachache wetu tunafahamu kinachoendelea maeneo ya mpakani mwa Tanzania na Msumbiji pamoja na juhudi kubwa sa serikali kudhibiti utoaji wa taarifa kwa umma. Ndugu zetu wanauawa na magaidi ambao wamejikita kaskazini mwa Msumbiji. Wahalifu hao inasemekana ni wale magaidi waliofurushwa Kibiti na Rufiji hivyo wameamua kuweka base eneo ambalo wanaamini watajiimarisha na kurudi nchini kuleta tafrani.

Tishio la ugaidi kama lilivyotolewa na ubalozi wa Marekani ni wazi kwamba hatupo salama kwa sababu taarifa ya awali ilipaswa kutolewa na vyombo vyetu na kuchukua tahadhari zote.

Tunahitaji kuona vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikitimiza wajibu wao muhimu kisheria na kikatiba kwa kutuhakikishia usalama wetu wa ndani kwa sababu uwepo wao ni muhimu kwetu na si kwa viongozi pekee.

Tufike mahala tuangalie kwa uwiano bajeti ya ulinzi wa viongozi na bajeti ya ulinzi wa umma ili kutenda yatupasayo na si kuelemea eneo moja pekee huku nchi ikiwa ktk hekaheka na matishio ya usalama

TUSIJEKUPUUZA HILI TISHIO..
Idara ya ujasusi ya sasa hv,imejaa machawa wa ccm tu,wale proffesionals,hawapo Tena kama ilivyokuwa kipindi Cha vita baridi,cold war,na wakati wa ukombozi kusini mwa Afrika,
TISS ya leo,inachojua ni kudukua cm za wapinzani,kutesa,na kuua wapinzani,
Hawana ujuzi,vifaa vya kisasa vya kufanyia ujasusi,kama USA,inakuambia Kuna tishio la ugaidi,ujue Wana Intel za kutosha,
Idara ZA Ujasusi za USA,Zina uwezo wa kukusanya data kupitia,signal Intel,human Intel(HUMINTEL),wanauwezo wa kudukua njia zote za mawasiliano duniani.
Kwa mliokuwa Dar,wakati Ubalozi wa USA unapigwa bomu,idara zetu zilikimbilia kukamata watu na kuwasweka ndani tu,FBI ndio waliowakamata wale vijana huko bunju,kimara,mpaka walijua wapi bomu lilitengenezwa.
Kwa hiyo USA ikisema Kuna shida,jua shida ipo,tusilete kihelehele,
Sie tunajua kupiga waandamanaji na wafuasi wa vyama vya Siasa.
 
Wengi wetu humu Tumeona, tunesikia na tumesoma tamko la Ubalozi wa Marekani kuhusu uwezekano wa kutokea shambulio la ugaidi hapa nchini.
View attachment 2497876

Tumesikia mwitikio wa jeshi la polisi kuhusu hatua wanazochukua dhidi ya tahadhari hiyo huku wakituhakikishia usalama na ulinzi. Lakini mimi nineona hapo kuna jambo la kutafakari kuhusu uwezo wetu katika usalama wa ndani ya nchi yetu sambamba na uhusiano wa dola na wananchi.

Iwapo taifa la nje linaweza kuchunguza na kupata uthibitisho wa kuwepo na tishio la usalama nchini na wakatoa tahadhari maana yake kuna kulegalega na kuzembea kwa vyombo vyetu vya ulinzi hususani espionage ya ndani ya nchi.

Serikali ya Tanzania imeeza kupitia viongozi waandamizi kuhusu uwekezaji mkubwa walioufanya katika kununua mitambo ya kudukua mawasiliano ya mitandaoni hususani ikiwalenga wahalifu wa mitandaoni. Hapo awali nilisema kuwa tambo za serikali zinathibitisha kuhusu kuingilia uhuru wa wananchi wake binafsi kwa sababu mifano ya waliochukuliwa hatua hata kufikishwa mahakamani ni wale waliotuhumiwa kutoa kauli ama maneno ya kuudhi dhidi ya watawala. Hatujawahi kuona ama kusikia wahalifu ambao wanafanikisha matukio ya kihalifu ama wanaotoa matishio ya usalama wetu wa ndani waking'amuliwa ama kuchukuliwa hatua.

Marekani kupitia taasisi zake za nje wamejijengea uwezo wa kuwez kupenya vihunzi vya usalama vya makundi ya kiuhalifu dhidi ya binadamu na wakaweza kutambua mipango yao na kwa nia njema kabisa wametoa tahadhari.

Watanzania wenzangu nyie ni mashahidi wa namna ambavyo serikali yetu chini ya mkoloni mweusi CCM inavyotushughulikia raia wake huku ikivunja katiba inayotoa uhuru wa maoni. Ushshidi wa hili ni namna ambavyo asilimia kubwa ya members wa JamiiForums tunatumia pen names au majina bandia ili kuficha utambulisho wetu kwa sababu ya kuhofia vyombo vya dola ambavyo vimekuwa vikitumia kodi zetu kutufanyia uhalifu badala ya kutimiza wajibu wake muhimu wa kikatiba na kisheria.

Wachache wetu tunafahamu kinachoendelea maeneo ya mpakani mwa Tanzania na Msumbiji pamoja na juhudi kubwa sa serikali kudhibiti utoaji wa taarifa kwa umma. Ndugu zetu wanauawa na magaidi ambao wamejikita kaskazini mwa Msumbiji. Wahalifu hao inasemekana ni wale magaidi waliofurushwa Kibiti na Rufiji hivyo wameamua kuweka base eneo ambalo wanaamini watajiimarisha na kurudi nchini kuleta tafrani.

Tishio la ugaidi kama lilivyotolewa na ubalozi wa Marekani ni wazi kwamba hatupo salama kwa sababu taarifa ya awali ilipaswa kutolewa na vyombo vyetu na kuchukua tahadhari zote.

Tunahitaji kuona vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikitimiza wajibu wao muhimu kisheria na kikatiba kwa kutuhakikishia usalama wetu wa ndani kwa sababu uwepo wao ni muhimu kwetu na si kwa viongozi pekee.

Tufike mahala tuangalie kwa uwiano bajeti ya ulinzi wa viongozi na bajeti ya ulinzi wa umma ili kutenda yatupasayo na si kuelemea eneo moja pekee huku nchi ikiwa ktk hekaheka na matishio ya usalama

TUSIJEKUPUUZA HILI TISHIO..
Hawa jamaa kweli wanajua kucheza na akili za watu haswa, inawezekana ikawa hivyo au isiwe, ndio maana jana Urusi kafutilia mbali web ya CIA na FBI nchini mwake maana anapenda kuleta taharuki kwa watu mno na kuona vyombo vya Ulinzi nchi husika havifanyi kazi,kwa sera zao Marekani hasa sera za ulinzi kupitia majasusi wao wapo free kutangaza tishio hadharani kuliko sera zetu ingawa vyombo vinajua sana nchini, onganisha dot na tahadhari kutoka KLM shirika la ndege Uholanzi kuhusu Tanzania na Kenya ndio utajua mchezo uliopo
 
Wengi wetu humu Tumeona, tunesikia na tumesoma tamko la Ubalozi wa Marekani kuhusu uwezekano wa kutokea shambulio la ugaidi hapa nchini.
View attachment 2497876

Tumesikia mwitikio wa jeshi la polisi kuhusu hatua wanazochukua dhidi ya tahadhari hiyo huku wakituhakikishia usalama na ulinzi. Lakini mimi nineona hapo kuna jambo la kutafakari kuhusu uwezo wetu katika usalama wa ndani ya nchi yetu sambamba na uhusiano wa dola na wananchi.

Iwapo taifa la nje linaweza kuchunguza na kupata uthibitisho wa kuwepo na tishio la usalama nchini na wakatoa tahadhari maana yake kuna kulegalega na kuzembea kwa vyombo vyetu vya ulinzi hususani espionage ya ndani ya nchi.

Serikali ya Tanzania imeeza kupitia viongozi waandamizi kuhusu uwekezaji mkubwa walioufanya katika kununua mitambo ya kudukua mawasiliano ya mitandaoni hususani ikiwalenga wahalifu wa mitandaoni. Hapo awali nilisema kuwa tambo za serikali zinathibitisha kuhusu kuingilia uhuru wa wananchi wake binafsi kwa sababu mifano ya waliochukuliwa hatua hata kufikishwa mahakamani ni wale waliotuhumiwa kutoa kauli ama maneno ya kuudhi dhidi ya watawala. Hatujawahi kuona ama kusikia wahalifu ambao wanafanikisha matukio ya kihalifu ama wanaotoa matishio ya usalama wetu wa ndani waking'amuliwa ama kuchukuliwa hatua.

Marekani kupitia taasisi zake za nje wamejijengea uwezo wa kuwez kupenya vihunzi vya usalama vya makundi ya kiuhalifu dhidi ya binadamu na wakaweza kutambua mipango yao na kwa nia njema kabisa wametoa tahadhari.

Watanzania wenzangu nyie ni mashahidi wa namna ambavyo serikali yetu chini ya mkoloni mweusi CCM inavyotushughulikia raia wake huku ikivunja katiba inayotoa uhuru wa maoni. Ushshidi wa hili ni namna ambavyo asilimia kubwa ya members wa JamiiForums tunatumia pen names au majina bandia ili kuficha utambulisho wetu kwa sababu ya kuhofia vyombo vya dola ambavyo vimekuwa vikitumia kodi zetu kutufanyia uhalifu badala ya kutimiza wajibu wake muhimu wa kikatiba na kisheria.

Wachache wetu tunafahamu kinachoendelea maeneo ya mpakani mwa Tanzania na Msumbiji pamoja na juhudi kubwa sa serikali kudhibiti utoaji wa taarifa kwa umma. Ndugu zetu wanauawa na magaidi ambao wamejikita kaskazini mwa Msumbiji. Wahalifu hao inasemekana ni wale magaidi waliofurushwa Kibiti na Rufiji hivyo wameamua kuweka base eneo ambalo wanaamini watajiimarisha na kurudi nchini kuleta tafrani.

Tishio la ugaidi kama lilivyotolewa na ubalozi wa Marekani ni wazi kwamba hatupo salama kwa sababu taarifa ya awali ilipaswa kutolewa na vyombo vyetu na kuchukua tahadhari zote.

Tunahitaji kuona vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikitimiza wajibu wao muhimu kisheria na kikatiba kwa kutuhakikishia usalama wetu wa ndani kwa sababu uwepo wao ni muhimu kwetu na si kwa viongozi pekee.

Tufike mahala tuangalie kwa uwiano bajeti ya ulinzi wa viongozi na bajeti ya ulinzi wa umma ili kutenda yatupasayo na si kuelemea eneo moja pekee huku nchi ikiwa ktk hekaheka na matishio ya usalama

TUSIJEKUPUUZA HILI TISHIO..

Hata Kenya walipewa warning, wakachukulia poa. Wakashambuliwa Westgate.
 
Hawa jamaa kweli wanajua kucheza na akili za watu haswa, inawezekana ikawa hivyo au isiwe, ndio maana jana Urusi kafutilia mbali web ya CIA na FBI nchini mwake maana anapenda kuleta taharuki kwa watu mno na kuona vyombo vya Ulinzi nchi husika havifanyi kazi,kwa sera zao Marekani hasa sera za ulinzi kupitia majasusi wao wapo free kutangaza tishio hadharani kuliko sera zetu ingawa vyombo vinajua sana nchini, onganisha dot na tahadhari kutoka KLM shirika la ndege Uholanzi kuhusu Tanzania na Kenya ndio utajua mchezo uliopo
Tuendelee kuwa waungwana ili tusifiwe ndo tunavuna mabua
 
Idara ya ujasusi ya sasa hv,imejaa machawa wa ccm tu,wale proffesionals,hawapo Tena kama ilivyokuwa kipindi Cha vita baridi,cold war,na wakati wa ukombozi kusini mwa Afrika,
TISS ya leo,inachojua ni kudukua cm za wapinzani,kutesa,na kuua wapinzani,
Hawana ujuzi,vifaa vya kisasa vya kufanyia ujasusi,kama USA,inakuambia Kuna tishio la ugaidi,ujue Wana Intel za kutosha,
Idara ZA Ujasusi za USA,Zina uwezo wa kukusanya data kupitia,signal Intel,human Intel(HUMINTEL),wanauwezo wa kudukua njia zote za mawasiliano duniani.
Kwa mliokuwa Dar,wakati Ubalozi wa USA unapigwa bomu,idara zetu zilikimbilia kukamata watu na kuwasweka ndani tu,FBI ndio waliowakamata wale vijana huko bunju,kimara,mpaka walijua wapi bomu lilitengenezwa.
Kwa hiyo USA ikisema Kuna shida,jua shida ipo,tusilete kihelehele,
Sie tunajua kupiga waandamanaji na wafuasi wa vyama vya Siasa.
Somo kubwa.
 
Back
Top Bottom