Hebu tujuzane

Uhuru24

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2015
Posts
4,112
Reaction score
4,361
kuna kitu kimooja ambacho mwenye kujua atujuze hata ikiwezekana kwa picha,mm sina kumbukumbu kma nilishawahi kumuona mtu mweupe[MZUNGU] kama kasuka rasta au kusuka kikawaida,hebu mwenye kapicha akitume kwanza tukumbuke
 
kuna kitu kimooja ambacho mwenye kujua atujuze hata ikiwezekana kwa picha,mm sina kumbukumbu kma nilishawahi kumuona mtu mweupe[MZUNGU] kama kasuka rasta au kusuka kikawaida,hebu mwenye kapicha akitume kwanza tukumbuke

Me nimewai muona alikua madam wangu wa kingereza alikua anapenda kuiga mambo ya kibongo vitenge kwa sana....ila kapicha sina.
 
Mbona wengi tu? Bishanga mwenyewe ni mzungu wa kaitaba
 
Last edited by a moderator:
Ushahidi huo
 

Attachments

  • 1450225245094.jpg
    36.7 KB · Views: 72
  • 1450225262767.jpg
    27.8 KB · Views: 71
  • 1450225292409.jpg
    29.9 KB · Views: 72
  • 1450225304998.jpg
    23 KB · Views: 69
  • 1450225319028.jpg
    28 KB · Views: 72
  • 1450225332768.jpg
    42.1 KB · Views: 68
  • 1450225342718.jpg
    34.2 KB · Views: 70
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…