Hebu tumchambue huyu Mzungu wa Simba

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Ahmad ally alimtambulisha kwa mbwembwe nyingi sana...sote tukatishika na kutegemea makubwa sana lakini hali ikaja kuwa tofauti. Je, tutegemee makubwa kutoka kwa mzungu?

Japo wengine watasema tumpe muda lakini kwangu mechi moja tu ya Singida big stars ilinifanya niwape salute wale wa brazil..na pia mechi ya leo imedhihirisha kuwa wale wa brazil watakuja kusumbua.

Please mwenye clip za mzungu atupie hapa wadau...

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Vipi Joyce na Aziza uwezo wao ukoje
Lumalisa
ameshapata kuchaguliwa ktk kikosi bora cha afrika kikiongozwa na washambuliaji mahiri Mo Salah na Sadio Mane

Aziz Ki
Mbali ya kufanya vizuri katika soka la afrika misimu ya hivi karibuni pia ndiye mchezaji bora wamsimu uliomalizika katika ligi kuu ya Ivory coast

Una Swali la nyongeza?

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Uwezo wao wa uwanjani tuliwaona siku ya mwananchi kama Joyce alichaguliwa kikosi Bora Cha Africa mzungu wa Simba ameshacheza UEFA champions league ambayo ni michuano mikubwa Kwa vilabu duniy
 
Unamchambuaje mtu ambae kafanya mazoezi na wenzie siku moja tu?
 
Tell him [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uwezo wao wa uwanjani tuliwaona siku ya mwananchi kama Joyce alichaguliwa kikosi Bora Cha Africa mzungu wa Simba ameshacheza UEFA champions league ambayo ni michuano mikubwa Kwa vilabu duniy
Sawa tumpe muda uzuri na siye tunampata mbrazil patakua hapatoshi...
Mwigulu oyeeeeeeee....oyeeeeeeeee

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…