HEBU TUMKUMBUKE DOKTA REMI KIDOGO.

HEBU TUMKUMBUKE DOKTA REMI KIDOGO.

Kuna ile anaitukana ccm naikubali sana!
Kuna wakati aliimba kumsifia Mrema, baadae akaja akamgeuka...nakumbuka moja ya mashari kwenye wimbo wa kumgeuka akasema "....nilimuimba kichwa kikavimba"
 
Kuna wakati aliimba kumsifia Mrema, baadae akaja akamgeuka...nakumbuka moja ya mashari kwenye wimbo wa kumgeuka akasema "....nilimuimba kichwa kikavimba"
Potelea mbali ila namkubali sana huyu jamaa sijui hata ashaa wai pewa tuzo maana bongo hatujui kudhamini vya nyumbani kabisa !
 
Potelea mbali ila namkubali sana huyu jamaa sijui hata ashaa wai pewa tuzo maana bongo hatujui kudhamini vya nyumbani kabisa !
Tuzo Bongo hamna, ila huko nje walimuelewa sana tu.

Na juzi juzi familia yake walifanya tamasha 'Ongala festival'
 
Kuna wakati aliimba kumsifia Mrema, baadae akaja akamgeuka...nakumbuka moja ya mashari kwenye wimbo wa kumgeuka akasema "....nilimuimba kichwa kikavimba"
Umenikumbusha mbali sana mzee.
 
Back
Top Bottom