Hebu tuone kwenye friji lako kuna nini!

Nimeona Jameson hapo.. Whiskey na friji wapi na wapi? Unaiharibu ladha kabisa
 
ase Wakuu mnawezaje kutunza had vinywaji ?
yan mimi nikiweka hata soda mbili tu usiku sipati usingizi nabaki kulizunguka friji
Roho inanambia "my bro stop cheating your self kunywa izo soda ulale""

Saiv friji limebaki la kuwekea makabichi tu
Haaahaaaaa...uwiii[emoji28] [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulijaribu ila kamera [emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…