Hebu tuone memba wenye interest zinazofanana, starehe, vinywaji, mpira, siasa

Hebu tuone memba wenye interest zinazofanana, starehe, vinywaji, mpira, siasa

Wanawake: wa kiarabu na vibonge kidogo
Mpira tanzania: simba
Mpira ulaya: Arsenal
Mchezaji: Ronaldinho
Series:Game of Thrones
Muvies: first furius, mission impossible, pirates of the carebian
Songs: girls like you
Interest: swimming, playing football
 
Mimi ninayo Matako makubwa
Ni mrefu
Mweusi
Napenda Arsenal
Napenda Club Libolo ya Congo
Napenda kusafiri safiri sana
Sipendi kutongozwa
Sifa ya kwanza ndiyo muhimu.
Libolo ni ya Angola sio Congo.
 
Duu maswali mengi ya kujibu ntakuwa natupia moja moja mpaka nimalize

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Tunafanana
Kwenye soka kwa 100%
Yanga, arsenal, Barcelone
Kwenye siasa ccm kwangu mwiko
Kwenye muziki mm ni mpenzi wa nyimbo za franco 100% nyimbo kama Mario,naloba Nini,Héléna,masuu,très emploi nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MIMI NI MPENZI WA FOREX SANA YANI DAMU DAMU

Wanawake:Napenda warefu Sio sana ,mweupe kiasi au sana.

Mpira
Club ya Tanzania: singida unity
Uingereza :Arsenal
Hispania: Barcelona


Timu za Taifa
?
Duniani: Brazil

Mchezaji wangu bora wa muda wote
Ronaldinho Gaucho


Chama cha siasa: CCM

muziki
Narudi nyumbani - twanga pepeta
lost one-j cole
lost one -jay z
long kiss good night-B.I.G
rihanna


Msanii wangu mkali wa muda wote
Tanzania: Nature , Prof Jay, Fid q, FA,incredible,
Duniani: B.I.G

Producer wa muziki wa muda wote
Tanzania : raizer
Duniani ;timbrel land

Siasa
Rais wangu bora wa Muda wote : ?
Kwa Afrika - Julius Kambarage Nyerere


Vinywaji na mambo ya kutiririka
k-vant
VIROBA (jogoo)😳😳😳
azam embe

Vituo vya TV niwapo TZ
Clouds Fm
ITV
Azam TV

Movies
notorious
pussy boot
malcom x

Mtandao au Forum bora
Jamii forums
Trip adviser
Debate politics
Science Forum
 
Mkuu ulipoandika CCM ndo uliposababisha nisisome mpaka mwisho na nimeshindwa hata kujifanabisha na wewe!?
Naangalia ni wapi tumefanana au tumekuwa na interest sawa na member yeyote

Wanawake:Napenda warefu ,wanene wastani, sipendi weupe napenda black mimi,

Mpira
Club ya Tanzania: Yanga
Uingereza :Arsenal
Hispania: Barcelona
France psg

Timu za Taifa
Kwanza Taifa stars
Duniani: Brazil

Mchezaji wangu bora wa muda wote
Ronaldinho Gaucho
Mchezaji nayemkubali Afrika ni : Samuel Eto'o Phillis

Chama cha siasa: CCM

muziki
Narudi nyumbani - Dr Remmy Ongala
what goes around comes around- Justine Timb
get busy - sean Paul
layile- Franco
L'amour- Mayoni Mayaula
love letter- R kelly
Pour que tu m'aimes encore-celine dion
Nikusaidieje- Prof Jay

Msanii wangu mkali wa muda wote
Tanzania: Nature , Prof Jay, Fid q, FA, Lady jay dee, ila kwa wote namkubali Juma Nature ,
Duniani: Seap Paul

Producer wa muziki wa muda wote
Tanzania : Paul (p funk Majani)
Duniani ;Erick Benzi

Siasa
Rais wangu bora wa Muda wote : Franklin Roosevelt - USA
Kwa Afrika - Julius Kambarage Nyerere

Mwanasiasa wa Upinzani nayemkubali Duniani
Julius Malema - EFC South Africa
Kwa Tanzania - Zitto Zuberi Kabwe

Vinywaji na mambo ya kutiririka
Vodka
Horirika
Coca Cola

Vituo vya TV niwapo TZ
Clouds Fm
ITV
Azam TV

Movies
Black panther
Rome Drama
Forbidden Kingdom

Mtandao au Forum bora
Jamii forums
Trip adviser
Debate politics
Science Forum

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke maji ya kunde

Club kagera sugar England Chelsea

Kilevi no

Taifa Serengeti boys
Dunia Brazil na Belgium

Siasa namfagilia mtu mwenye hoja sio tumbo shiba

Chama no

Mzik HIP-HOP. country. legae

Wasanii boney M , Lucky dube Jim reeves mwana Hip-hop yeyote atakaye imba wimbo nkashindwa kuuelewa Mara ya kwanza

Vijiji Bukoba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom