Na wewe ni mwarabu? Au umechanganya rangi?Napenda wanawake wa kiarabu.
Timu new castle,simba na Chelsea.
Gari range rover
Sent using Jamii Forums mobile app
Imekaa vizuri Dada.Ngoja niweke na mimi [emoji16][emoji16]
Wanaume: Navutiwa zaidi na personality kuliko maumbile, sura au rangi
Mpira: sio shabiki kabisa nikifuatilia basi nafuata mkumbo tu
Siasa: Sina chama ila naunga mkono harakati za upinzani
Mwanasiasa ninayemkubali : Zitto Kabwe
Kinywaji: Pepsi
Muvi bora: Three Idiots, Empress Ki
Muziki: Swahili Gospel (kinge ni shida)
Msanii wangu bora : Prof Jay
Vituo bora : Magic FM, Clouds
Mtandao wangu pendwa: JamiiForums
Yesu akiwapenda inatosha!
Itakuwa unapenda kushikwa mkono tu na kupelekwa kiblaMimi ninayo Matako makubwa
Ni mrefu
Mweusi
Napenda Arsenal
Napenda Club Libolo ya Congo
Napenda kusafiri safiri sana
Sipendi kutongozwa
Asante mdogo wangu weka na wewe nione
Nimeweka Dada[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji86][emoji86][emoji86][emoji87][emoji87]Asante mdogo wangu weka na wewe nione
Kubembea hapo hapo najua kubembezaTbh
Wanaume:Napenda warefu , napenda weupe na maji ya kunde.
Mpira :sishabikii wala kufuatilia .
Chama cha siasa: Sina Chama.
muziki: Siyo mpenzi wa miziki.
Mwanasiasa bora : Tundu lissu
Movies : animation movies and cartoons movies.
Vinywaji : tropical juice, Fanta Orange.
Mtandao wa kijamii bora: jamii forums.
Napenda kupika na kuandaa vyakula na juice.
Napenda kuogelea na Ku bembea.
Napenda watoto na ninapenda kucheza nao.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]Tbh
Wanaume:Napenda warefu , napenda weupe na maji ya kunde.
Mpira :sishabikii wala kufuatilia .
Chama cha siasa: Sina Chama.
muziki: Siyo mpenzi wa miziki.
Mwanasiasa bora : Tundu lissu
Movies : animation movies and cartoons movies.
Vinywaji : tropical juice, Fanta Orange.
Mtandao wa kijamii bora: jamii forums.
Napenda kupika na kuandaa vyakula na juice.
Napenda kuogelea na Ku bembea.
Napenda watoto na ninapenda kucheza nao.
TV : POP, BABY TV, NICKELODEON, SMILE OF A CHILD, JIMJAM na ST KIDS
Sent using Jamii Forums mobile app
Mweeh!Vyote hivyo flat screen, ufupi na weusi handsome
1.Wanawake: Mweusi afu mrefu, akisha kuwa mrefu tuu kwangu ni mzuri, maumbile asiwe mnene xana au mwembamba xana.
2.Mpira: Simba Sports Club, Manchester United.
3.National team: Taifa Stars, Three Lions & The Oranges
4.Mchezaji bora wa muda wote: Ronaldinho Gaucho, Marco Van Basten
5.Music: Napenda good Music,Bongo FlevaHip Hop, Reggae, Sweet Reggae, Pop, R&B
6.Nyimbo bora: Dear Mama - 2pac
7. Wasanii Bora:Tupac Amaru Shakur, Bob Marley, Mangwair, T. I
8.Chama: Sina
9.Raisi bora: Julius Nyerere, Thomas Sankara, John Kennedy
10.Siasa: African Socialism.
11.Media: ITV, Super Sports, MTV, Clouds Media
12.Sports: Basketball & Pool Table
13. Mwanaharakati: Tupac, Malcom X, Marcus Garvey
14.Kinywaji: Sprite Free from thesty
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji134][emoji134][emoji134] Handsome na ww ndio unaniachaMweeh!
Wewe ni special case, Mungu akupiganie!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
- KANA -
Mwanaume: Mrefu kuliko mimi
Mpira: England-Manchester United
Bongo-Simba
Spain:Barcelona
France: PSG
Timu ya taifa: France
Mchezaji bora muda wote: Diego Maradona [emoji16]
Mziki: Ya levis-katchua
Eminem-cleaning out my closet
G eazy-Good life
Tyga- 1 of 1
Vinywaji: Maji,maziwa
Movies: What happened to monday
Wonder
Death note
Mtandao bora: Jamiiforums
Hapo Mwanaume Mrefu tayari Ulishampata nipo hapa japo sjawahi kukutia machoni hahaha!!!Nipo Mithili ya NBA Players.
Joanna/Joanah Means= God is Gracious, Perfect Woman,Awesome,Amazing,Beautiful. A clever Mind.
Luke 8:3"Joanah Mkewe kuzi,Wakili wa Herode."
Ushawahi kuusikia Wimbo wa Afro b- Joanah...?
Kama bado utufatute upo vyema.
Kipi cha ziada ulichokiona katika wimbo Katchua ilioimbwa na Ya levis...?
Kwanini unaupenda sana wimbo huo ...?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umetisha,Nyimbo ya Afro b-joanah ninayo [emoji16]
Nyimbo ya katchua napenda tu namna alivyosound japo sijui alikuwa anamanisha nini
Wengi wana mapenzi makubwa na starehe za dunia kuliko Muumba wao!SIJAKUELEWAA
Simple, harakat zake za kupigania haki za mtu Mweusi hasa Bara la America, na Speaches zake zilizo tukuka.Safi sana,
Mambo gani yanayosababisha unamkubali bwana Marcus Garvey..?
Taarifa zinadai huyu bwana hakuwahi kukanyaga Ardhi ya Africa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye Simba na Yanga tupo same same.Shabiki namba moja wa Newcastle United Tanzania
The Magpies
Toon Army
HowieTheLad
Na soka ndiyo ulevu wangu namba moja
Napenda kubet saaaaaaaaanaaa
Namkubali Samuel Eto'o Phils
Nina uchizi na muziki hasa wa nyimbo za injili
Napenda sana kazi za Suleimani Wilson (unaweza tafuta nyimbo zake na kunipa mrejesho) Napenda kuimba kwa kupiga kelele sana naposikiliza muziki
Sizipendi Smba na Yanga kutoka moyoni natamani siku moja zishuke daraja