Tetesi: Hebu tushauriane hili wenzangu

ketone

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2016
Posts
509
Reaction score
655
Kwa mfano mtu ukawa umejitahidi ukajenga nyumba yake ikafika hadi tofali la mwishoni akakosa hela y'a kumalizia huku unaishi nyumba ya kupanga ukaenda kuchomoa hela mahali ya mkopo ukamalizia kwa kiasi akawa anatokea kwake n'a kila mwezi akiondoa hela ya déni akawa n'a uwezo wa kutafuta laki tatu kila mwezi kwa matumizi ya familia....Je kama huna familia kubwa.. Unamke n'a watoto wawili wote wadogo huezi bajeti hio héla ukaishi kama utakuwa umemalizia hio nyumba ukawa unatokea kwako...?
 
 
Hiyo laki 3 ya kila mwezi kwanini usichomoe angalau laki umalizie taratibu, mikopo inaumiza sana.
 
Jieleze wewe kama wewe mtoa mada,acha kumuelezea mtu mwingine,unachanganya maelezo!
Au unajificha tusijue kuwa bado umepanga? Una mke na watoto wawili?
Funguka!!
 
Kwa uandishi huu hiyo nyumba hutamaliza kamwe.
 
Mimi sijaelewa unachouliza! Umechanganya matumizi ya nafsi mara mtu akawa, mara ukawa haieleweki.
 
Hivi jamani....kuna ambae amemuelewa huyu mtu, mimi amenichanganya hapa hadi imebidi nimeze panadol
 
Mkuu unaweza maana kuna wengine wanapata chini ya hiyo hela na wanaishi na kusomesha. Cha muhimu mpe mke kazi hata ya kuuza genge awe anapata hela ya mboga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…