21 February
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 3,280
- 2,814
Mr ndio ni nani huyo mkuuHana la maana pale zamani alikuwa anahusika na promo za ndani ya nchi ila siku hizi wanajitangaza wenyewe
Sasahivi amebakia tu mr ndio bora bora anapata senti ila hata aondoke leo hana sumu japo kila baada ya miezi 2 huenda moro kuchinja mbuzi
Naunga mkono kwa 95% mkuuMeneja ricardo momo huyu anawasimamia wasanii walio chini ya wcbView attachment 816100 diamond huyu ndio mwanzilishi wa wcb na mtu wa pili kwa hisa wasafi mediaView attachment 816101 mlezi ambaye ni mwanahisa akiwa na mameneja tale hana elimu ndio maana anaitwa mr ndioView attachment 816102lavalava msanii ambaye hana mafanikio ndani ya wcb kwani anaenda ist ambayo ni uber dereva akiwa yeye mwenyewe View attachment 816103 mbosso msanii ambaye ananyimbo 10 ndani ya miez 6 ila zote hazijavuma akiwa na raymond mwanamuziki ambaye kundini wa tofauti kabaki pekeyake baada ya mavoko kutokaView attachment 816104 diwani fella aka mzee wa kubeba mikoba akiwa meneja mjanja mjanja salam aliyeshinikiza kifesi na mavoko kufukuzwaView attachment 816105 zamaradi mketema meneja vipindi na uzalishaji wasafi media anawatoto wengi ila baba tofautiView attachment 816106 queen doreen first lady wa wcb huyu muziki aliishaisha ila kawekwa tu mradi apate ugali maana ni ndugu zaman mondi huyu ndio alimkutanisha mondi na bob junior na watanashatiView attachment 816107 romy jones ndugu mpambe wa mondi kazi yake ni kuuza sura tuView attachment 816108 harmonize kipenzi cha mondi huyu anahisa pia wasafi media anapendwa sababu ya uwezeshaji aliompa mondi toka mtwara mpaka nyota kuzidi kuwa nyeupe ndio maana mondi akaamua kwenda kulee kwao kutoa zawadi ya kujenga nyumba ya ibadaView attachment 816109
Manager alikuwa ni ABDUL BONGE ila kwa kuwa ana undugu na BABU TALE akawa anamtuma tuma CD na nini, mpaka leo wanamchukulia kama manager lakini Uswahili mwingii na uwezo mdogo sanaSawa ww na elimu yako? Una nn kumzidi asie na elimu. Babu talent
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wachawi hamuwezagi kujificha?
Hapo kwa zamaradi nimecheka mnoo
Na hii ndio target ya WCB kupenda kuongelewa kila uchwao iwe + au - ilimradi lengo lao linatimia la kubaki modomoni na vichwani mwa watu na kumake headlinesMeneja ricardo momo huyu anawasimamia wasanii walio chini ya wcbView attachment 816100
Diamond huyu ndio mwanzilishi wa wcb na mtu wa pili kwa hisa wasafi mediaView attachment 816101
Mlezi ambaye ni mwanahisa akiwa na mameneja tale hana elimu ndio maana anaitwa mr ndioView attachment 816102
Lavalava msanii ambaye hana mafanikio ndani ya WCB kwani anaenda ist ambayo ni uber dereva akiwa yeye mwenyewe View attachment 816103 m
Mbosso msanii ambaye ana nyimbo 10 ndani ya miez 6 ila zote hazijavuma akiwa na Raymond mwanamuziki ambaye kundini wa tofauti kabaki peke yake baada ya Mavoko kutokaView attachment 816104
Diwani Fella aka mzee wa kubeba mikoba akiwa meneja mjanja mjanja Salam aliyeshinikiza Kifesi na Mavoko kufukuzwaView attachment 816105
Zamaradi Mketema meneja vipindi na uzalishaji Wasafi mediaView attachment 816106
Queen Darlin first lady wa WCB huyu muziki alishaisha ila kawekwa tu mradi apate ugali maana ni ndugu na Diamondi huyu ndio alimkutanisha Mondi na Bob Junior na watanashatiView attachment 816107
Romy Jones ndugu mpambe wa Diamondi kazi yake ni kuuza sura tuView attachment 816108
Harmonize kipenzi cha Mondi, huyu ana hisa pia Wasafi media anapendwa sababu ya uwezeshaji aliompa Mondi toka Mtwara mpaka nyota kuzidi kuwa nyeupe ndio maana mondi akaamua kwenda kulee kwao kutoa zawadi ya kujenga nyumba ya ibada
View attachment 816109