Hebu tuwatazame,nani ni nani pale WCB?

Hebu tuwatazame,nani ni nani pale WCB?

Hana la maana pale zamani alikuwa anahusika na promo za ndani ya nchi ila siku hizi wanajitangaza wenyewe
Sasahivi amebakia tu mr ndio bora bora anapata senti ila hata aondoke leo hana sumu japo kila baada ya miezi 2 huenda moro kuchinja mbuzi
Mr ndio ni nani huyo mkuu
 
Sawa ww na elimu yako? Una nn kumzidi asie na elimu. Babu talent
 
Zamaradi inabidi ajue hili jina lake kuwa yeye ni mama mwenye watoto wengi ila baba tofauti haaa haaa

Alafu uyu dada tangu katoka clouds media kawa kama shangingi wa mjini naye sasa hivi ajiamini anapenda ubuyu ubuyu kutwa kupost alafu vitu anavyopost sasa tofauti na awali yani kawa cheap sana kwa sasa.
 
Tatizo LA hawa vijana ni kukosa wasimamizi wanaoelewa marketing ya music, washauri wa masuala ya uwekezaji kutokana na pesa wanayoipata katika muzic. Hapo wengine wangebaki kuwa watunzi hafu baadhi wakawa waimbaji. Tatizo la muzic wa vijana wa kitanzania kutaka kila msanii aonekane anaimba
 
Meneja ricardo momo huyu anawasimamia wasanii walio chini ya wcbView attachment 816100 diamond huyu ndio mwanzilishi wa wcb na mtu wa pili kwa hisa wasafi mediaView attachment 816101 mlezi ambaye ni mwanahisa akiwa na mameneja tale hana elimu ndio maana anaitwa mr ndioView attachment 816102lavalava msanii ambaye hana mafanikio ndani ya wcb kwani anaenda ist ambayo ni uber dereva akiwa yeye mwenyewe View attachment 816103 mbosso msanii ambaye ananyimbo 10 ndani ya miez 6 ila zote hazijavuma akiwa na raymond mwanamuziki ambaye kundini wa tofauti kabaki pekeyake baada ya mavoko kutokaView attachment 816104 diwani fella aka mzee wa kubeba mikoba akiwa meneja mjanja mjanja salam aliyeshinikiza kifesi na mavoko kufukuzwaView attachment 816105 zamaradi mketema meneja vipindi na uzalishaji wasafi media anawatoto wengi ila baba tofautiView attachment 816106 queen doreen first lady wa wcb huyu muziki aliishaisha ila kawekwa tu mradi apate ugali maana ni ndugu zaman mondi huyu ndio alimkutanisha mondi na bob junior na watanashatiView attachment 816107 romy jones ndugu mpambe wa mondi kazi yake ni kuuza sura tuView attachment 816108 harmonize kipenzi cha mondi huyu anahisa pia wasafi media anapendwa sababu ya uwezeshaji aliompa mondi toka mtwara mpaka nyota kuzidi kuwa nyeupe ndio maana mondi akaamua kwenda kulee kwao kutoa zawadi ya kujenga nyumba ya ibadaView attachment 816109
Naunga mkono kwa 95% mkuu
 
Sawa ww na elimu yako? Una nn kumzidi asie na elimu. Babu talent
Manager alikuwa ni ABDUL BONGE ila kwa kuwa ana undugu na BABU TALE akawa anamtuma tuma CD na nini, mpaka leo wanamchukulia kama manager lakini Uswahili mwingii na uwezo mdogo sana
 
Acha kutukana watu ,huyo kibakuli wenu muziki umeshamshinda kaona bora acheze mpira tu ili asizidi kuwa masikini.
 
Meneja ricardo momo huyu anawasimamia wasanii walio chini ya wcbView attachment 816100

Diamond huyu ndio mwanzilishi wa wcb na mtu wa pili kwa hisa wasafi mediaView attachment 816101

Mlezi ambaye ni mwanahisa akiwa na mameneja tale hana elimu ndio maana anaitwa mr ndioView attachment 816102

Lavalava msanii ambaye hana mafanikio ndani ya WCB kwani anaenda ist ambayo ni uber dereva akiwa yeye mwenyewe View attachment 816103 m

Mbosso msanii ambaye ana nyimbo 10 ndani ya miez 6 ila zote hazijavuma akiwa na Raymond mwanamuziki ambaye kundini wa tofauti kabaki peke yake baada ya Mavoko kutokaView attachment 816104

Diwani Fella aka mzee wa kubeba mikoba akiwa meneja mjanja mjanja Salam aliyeshinikiza Kifesi na Mavoko kufukuzwaView attachment 816105

Zamaradi Mketema meneja vipindi na uzalishaji Wasafi mediaView attachment 816106

Queen Darlin first lady wa WCB huyu muziki alishaisha ila kawekwa tu mradi apate ugali maana ni ndugu na Diamondi huyu ndio alimkutanisha Mondi na Bob Junior na watanashatiView attachment 816107

Romy Jones ndugu mpambe wa Diamondi kazi yake ni kuuza sura tuView attachment 816108

Harmonize kipenzi cha Mondi, huyu ana hisa pia Wasafi media anapendwa sababu ya uwezeshaji aliompa Mondi toka Mtwara mpaka nyota kuzidi kuwa nyeupe ndio maana mondi akaamua kwenda kulee kwao kutoa zawadi ya kujenga nyumba ya ibada
View attachment 816109
Na hii ndio target ya WCB kupenda kuongelewa kila uchwao iwe + au - ilimradi lengo lao linatimia la kubaki modomoni na vichwani mwa watu na kumake headlines
 
Back
Top Bottom