Hebu tuwatazame,nani ni nani pale WCB?

Hebu tuwatazame,nani ni nani pale WCB?

Babu Tale anamjengea Confidence Sallam, maana jamaa mjini kitambo lakini pia anapoza nyodo za jamaa maana tangu wapate matokeo chanya katika kazi Sallam amekuwa mbogo kwa media kubwa kubwa kama ilivyotokea kwa Clouds. Pia ameshindwa kuzibiti siasa za Makonda kutokuathiri mziki wao kwahiyo uwepo wa Tale ni strategic zaidi katika WCB yaani ndo tunaweza kumuita shock absorber.
 
Halaf huyu ni dizaini ya akina polepole yaan hajulikani kama alizaliwa Bolingo Era au .com era. Nilianza kumsikia tangu nipo darasa la awali lakini mpka leo ni mkavumkavu hivyohivyo
[emoji23]nimecheka sanaa
Pole pole mi nimeshindwa kumkadiria umri mpaka leo
Zamaradi ni kweli wa kitambo,kina jay mo walimtaja mno
 
kwa hiyo kutoka zari tu Zaituni chombo kimeyumba hakika chuchunge umeleta nuksi hata kwenye mziki
 
hahahaaa hahaaa hahaaaaaaa

daaaah wabongo kweli nyoso "" bila shaka mwenye mamlaka. na huu uzi atakuwa ni ali kiba tu
 
Hana la maana pale zamani alikuwa anahusika na promo za ndani ya nchi ila siku hizi wanajitangaza wenyewe
Sasahivi amebakia tu mr ndio bora bora anapata senti ila hata aondoke leo hana sumu japo kila baada ya miezi 2 huenda moro kuchinja mbuzi
hahaaa " lakini hao mbuzi siwana chinja wote kwani ni tale tu pekee "" ? halafu ile case yke iliishaje ""?
 
Tatizo LA hawa vijana ni kukosa wasimamizi wanaoelewa marketing ya music, washauri wa masuala ya uwekezaji kutokana na pesa wanayoipata katika muzic. Hapo wengine wangebaki kuwa watunzi hafu baadhi wakawa waimbaji. Tatizo la muzic wa vijana wa kitanzania kutaka kila msanii aonekane anaimba
uneongea points sana " tatizo uandishi WA nyimbo kibongo bongo haulipi " na ukiwa muandishi " huwezi kupata fame " so vijana wasasa kila mtu anatak fame so Wahisi " nani ambaye atakaye kubali kuwa nyuma ya camera awe anapewa sifa za utunzi tu huku Jamie haimjui ""
 
Halaf huyu ni dizaini ya akina polepole yaan hajulikani kama alizaliwa Bolingo Era au .com era. Nilianza kumsikia tangu nipo darasa la awali lakini mpka leo ni mkavumkavu hivyohivyo
hahahaaa
 
Kuchukia mafanikio ya mtu au watu wakati huna msaada wowote kwao ni sawa na kuruka salakasi huku umevaa msuli utaaibika tu.
 
Kuna raha ya aina yake kusoma uandishi wa namna hii!.....hahahahaaaaa hii ndio JF si kila mara hard news!
Umeona eeh. Sio kila siku madiwani wamenunuliwa, mara nani kahama chama! Acha tutulie huku kwanza
 
Halaf huyu ni dizaini ya akina polepole yaan hajulikani kama alizaliwa Bolingo Era au .com era. Nilianza kumsikia tangu nipo darasa la awali lakini mpka leo ni mkavumkavu hivyohivyo
Hahahaaa, you made my day... Mpaka leo ni mkakamavu.. Nimemvutia picha ule muonekanao wake nimeishia kucheka tu.
 
Meneja ricardo momo huyu anawasimamia wasanii walio chini ya wcbView attachment 816100

Diamond huyu ndio mwanzilishi wa wcb na mtu wa pili kwa hisa wasafi mediaView attachment 816101

Mlezi ambaye ni mwanahisa akiwa na mameneja tale hana elimu ndio maana anaitwa mr ndioView attachment 816102

Lavalava msanii ambaye hana mafanikio ndani ya WCB kwani anaenda ist ambayo ni uber dereva akiwa yeye mwenyewe View attachment 816103 m

Mbosso msanii ambaye ana nyimbo 10 ndani ya miez 6 ila zote hazijavuma akiwa na Raymond mwanamuziki ambaye kundini wa tofauti kabaki peke yake baada ya Mavoko kutokaView attachment 816104

Diwani Fella aka mzee wa kubeba mikoba akiwa meneja mjanja mjanja Salam aliyeshinikiza Kifesi na Mavoko kufukuzwaView attachment 816105

Zamaradi Mketema meneja vipindi na uzalishaji Wasafi mediaView attachment 816106

Queen Darlin first lady wa WCB huyu muziki alishaisha ila kawekwa tu mradi apate ugali maana ni ndugu na Diamondi huyu ndio alimkutanisha Mondi na Bob Junior na watanashatiView attachment 816107

Romy Jones ndugu mpambe wa Diamondi kazi yake ni kuuza sura tuView attachment 816108

Harmonize kipenzi cha Mondi, huyu ana hisa pia Wasafi media anapendwa sababu ya uwezeshaji aliompa Mondi toka Mtwara mpaka nyota kuzidi kuwa nyeupe ndio maana mondi akaamua kwenda kulee kwao kutoa zawadi ya kujenga nyumba ya ibada
View attachment 816109
Mavazi yao yanazungumza wao ni watu wa aina gani
We jamaa mkuda sana ha ha ha et mavazi yanajieleza duh
 
Back
Top Bottom