Jerlamarel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 843
- 2,525
Katika dunia ya sasa ya kibepari ni kuwapotezea vijana muda wao maana hiko kinachofundishwa huko JKT hakina applications mtaani.
Vijana wanaenda kuchomeshwa jua miezi au mwaka ila wakirudi mtaani mazingira ya mtaani hayawapi nafasi ya kukiapply walichofundishwa.
Ni lini viongozi wetu watakuwa na mawazo na fikra zinazoendana na nyakati hizi?
“Madhumuni ya vijana kujiunga na JKT ni kuwajengea uzalendo, kuwajengea ukakamavu lakini kuwapa stadi mbalimbali ili baada ya hapo waende kujiajiri. Madhumuni si kutoa ajira kwa vijana hawa."
-Waziri Dkt. Stergomena Tax.
Vijana wanaenda kuchomeshwa jua miezi au mwaka ila wakirudi mtaani mazingira ya mtaani hayawapi nafasi ya kukiapply walichofundishwa.
Ni lini viongozi wetu watakuwa na mawazo na fikra zinazoendana na nyakati hizi?
“Madhumuni ya vijana kujiunga na JKT ni kuwajengea uzalendo, kuwajengea ukakamavu lakini kuwapa stadi mbalimbali ili baada ya hapo waende kujiajiri. Madhumuni si kutoa ajira kwa vijana hawa."
-Waziri Dkt. Stergomena Tax.