Elections 2015 Hebu tuwe serious, hivi kuna mtu ana akili timamu anategemea Magufuli atakuwa Rais?

pole sana.
 
Unapokuwa una kashifu wengine na kuwaona vichaaa na kadhalika, inawezekana kabisa wewe ndio unaonekana Kichaa. If i were yu (Whoever is using abusive languege) i would save my words for God knows wea z proper. Iyo yte Ni panick
 

unatakiwa umlaumu baba yako kukuzaa njee ya ndoa mpaka leo unaitwa mtoto wa hawala ndio maana huna adabu
 
Kama hujui Lowassa ndio zero kabisaaa. Hafai na wala hawezi. Kwa sababu sisi hatujaona footprint kwa Lowassa bali ubaya tu kila alipopita. Na kiuwezo hasa wa mambo hakuna shaka Magufuli ni Mlima na Lowassa ni kichuguu tu basi
 
Kama hujui Lowassa ndio zero kabisaaa. Hafai na wala hawezi. Kwa sababu sisi hatujaona footprint kwa Lowassa bali ubaya tu kila alipopita. Na kiuwezo hasa wa mambo hakuna shaka Magufuli ni Mlima na Lowassa ni kichuguu tu basi


Vise versa is true
 
Unae sema magufuli Ni just a Manager, is it bcoz sm1 with so much influence said it.... Alafu naww jiongeze magufuli alikuwa under someonez lead N so aka abide na hilo na akafanya aliyopaswa afanye, unaesem yy Ni Manager Plz justify yua course somemore. Halafu na Mh Magufuli kwasababu hatujawai kumpa nchi Embu tusimpakazie. Tunaofany ivyo tunaonyesha tuu kuwa tumepanick
 
Kama hujui Lowassa ndio zero kabisaaa. Hafai na wala hawezi. Kwa sababu sisi hatujaona footprint kwa Lowassa bali ubaya tu kila alipopita. Na kiuwezo hasa wa mambo hakuna shaka Magufuli ni Mlima na Lowassa ni kichuguu tu basi

Magufuri hamuwezi lowassa, magufuri ana uwezo mdogo sana. Magufuri hana sifa ya kua kiongozi mkubwa kama raisi, magufrrui ni manager mzuri lakini sio kiongozi. Magufuri hana sifa ya kua rais wa nchi, hiyo itajua blni qjabu sana na itaingia kwenye rekodi za dunia,watanzania tutaonekana vilaza sana kama tutampitisha magufuei kua rais
 
CCM ni janga la kitaifa

wanaweza kucheza vigodoro tu

maana hakuna namna nyingine

 
Magufuli ni MANAGER wa Mungu, kaZi atapiga tu!
 

Nadhani ni mazezeta watupu wanaweza kuamini fisadi papa litakuwa rais. Ni zaidi ya utaahira kuamini ENL atakuwa rais. Vema mumshauri apumzike na kuzurura.
 
Mimi nina akili timamu na ndivyo itakavyokuwa, hutaki HAMA nchi.

Unaweza kua na akili timamu baada ya kua released toka milembe na dk akakupa mental disorder clearance certificate kwamba sasa unaweza kuchangamana na watu wa kawaida ila nyumbani una cheti cha milembe.

Ukifanya tukio la ajabu kama la kumchagua magufuri ndio watu watajiuliza kama zinakutosha na watagundua uliwahi kupelekwa milembe.

Nakubaliana na mtoa mada kwamba ni watu waliowahi kwenda milembe tu wanaweza kumchagua magufuri.
 
Mtoa mada yuko hospitali. Msameheni. Malaria imepanda kichwani. Tatizo la ukawa, wanaongozwa na mgonjwa basi tena, wote hoi. Ila watakufa November
 
Ukawa wÃ-naumwa kwasababu kama mgombea wenu ndo picha ya wenzie walivyo basi Ukawa wana matatizo kama babu yao ..wanatakiwa waelekezwe muhimbiri badala ya kuendelea kujiumiza na masindano ya masaa wanayochomwa kama ng'ombe wa maziwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…