Elections 2015 Hebu tuwe serious, hivi kuna mtu ana akili timamu anategemea Magufuli atakuwa Rais?

Sure wenye matatizo ya akili na wagonjwa wa akili ndio wanaweza kudhani magufuri atakua rais.

Rais wa Tanzania ni Lowassa, hakuna mjadala kuhusu hilo.
 
Hivi wewe uko sawa?Unaamini kabisa kuwa CCM itashindwa uchaguzi?Pamoja na kwamba Uchaguzi unatayarishwa na ccm, wahusika wote ccm na hata nec yenyewe ni ccm. Hata huyo mgombea wenu ni ccm. Uchaguzi wa Tanzania ni usanii tu, tunawaridhisha wanao tupa misaada tu.unajua nyie ndio mnajitafutia kuumiza roho zenu.
 
Hata sasa wafanyakazi ndo hawaamini kabisa
 
Kwi kwi kwi MAANDISHI HAYAPOTEI MPYA....
Haya sasa ANAENDELEA KUWASHANGAZA...
 
da huyu jamaa wakati anatoa huu waraka alikuwa hajui kitakachotokea nafikiri ndiyo wanaopata tabu sana sasahivi wakati jpm anafanya mambo makubwa inabidi aandike uzi mwingine wakumuomba msamaha magfuli hla sivyo hii zambi itaendelea kumtafuna sanaaaa
 
da huyu jamaa wakati anatoa huu waraka alikuwa hajui kitakachotokea nafikiri ndiyo wanaopata tabu sana sasahivi wakati jpm anafanya mambo makubwa inabidi aandike uzi mwingine wakumuomba msamaha magfuli hla sivyo hii zambi itaendelea kumtafuna sanaaaa
KIPINDI hicho ALIKUWA ni "zwazwa"
KIPINDI hichi KAWA "hobobo plus mnywa faru John wa kutupwa".
 
Uliona mbali bado wenye akili hatumkubali huyu Kama raisi
 
Endeleeni kutomkubali tu Mana HATA CUF hawakumkubali Shein miaka yote ile lakini mwenzao Karibu anang'atuka kwi kwi kwi kwi
Ndo maana nchi iko hoi, kiuchumi wananchi wamechoka mbaya wanadanganywa na sgr, miaka mitano ni kelele tu. Bajeti inatekelezwa kwa 22%

Wajinga Kama wewe mliokosa exposure ndo mnasujudu na kuabudu
 

Mfukua Makaburi inasemekana ulishakufa
 

Hahahahaha, tekinolojia bwana! Naona kuna watu wanatamani wajitie kaburini.
 
 
Hahahahaha, tekinolojia bwana! Naona kuna watu wanatamani wajitie kaburini.
Eti kuna Yule mkenya zwazwa aliosema eti ukitaka kutuficha watz "uyafiche" maandishini...Sasa mbona tunayasoma "MAANDISHI hayo" ha ha ha ha kalamu HAITUPOTEZI...
 
Huyu bwana aliona mbali sana leo tunajionea wenyewe kila kitu tumefeli
 
Huyu bwana aliona mbali sana leo tunajionea wenyewe kila kitu tumefeli
Umefeli kwa sababu magufuli alituambia kuwa fedha za ESCROW NI Mali ya UMMA?!!!!

Umefeli kwa sababu magufuli kawabana WAUZA NGADA na WALANGUZI MIPAPA YA NCHI?!!!!

Umefeli kwa sababu magufuli kaubadilisha ule mfumo mbovu wa kutoa mikopo pale HESLB KWA VIJANA WA TAIFA HILI?!!!
 
Kipofu ni vigumu kuijua njia labuda kuikalili kama ulivyo kalilishwa wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…