Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,051
- 12,954
Kwi kwi kwi MAANDISHI HAYAPOTEI MPYA....Nauliza hivi kweli kuna mtu ambae hajawahi kua refered kwenda milembe anategemea au anawaza kwamba Magufuri atakua rais wa Tanzania?
Magufuri awe rais kwa kipi au sifa gani aliyonayo, what is special kwa magufuri.
Magufuri kua rais itakua ajabu au maajabu ya dunia,itakua ajabu mpya duniani,new world wonder na itakua kivutio cha utalii.
Only milembe refered individuals wanawaza kwamba Magufuri anaweza kua rais wa Tanzania. Magufuri kila alichokifanya alifanya chini ya kiwango, ni mtu wa idadi na sio ubora.
Unakuta anajisifu kwa mibarabara mirefu alafu mibovu,hana traits za uongozi,hana calibre ya uongozi,hana sifa ya uongozi. Magufuri anafaa kuongozwa na kupewa maelekezo sio yeye kuongoza. Hilo tuliona kipindi anakurupuka kufungia malori ikabidi waziri mkuu amuongoze,hana busara,hana diplomasia ambayo ndio sifa kuu moja wapp ya kiongozi mkuu.
Ni wendawazimu na vichaa tu wanaamini magufuri atakua raisi.
Rudi hapaAnatia huruma huyu baba
Ona alivyozungukwa hapa chini
Upande mmoja kuna muuza twiga na upande mwingine kuna mzee wa meno ya tembo
wengine ni kanda maalumu ya hao wawili
da huyu jamaa wakati anatoa huu waraka alikuwa hajui kitakachotokea nafikiri ndiyo wanaopata tabu sana sasahivi wakati jpm anafanya mambo makubwa inabidi aandike uzi mwingine wakumuomba msamaha magfuli hla sivyo hii zambi itaendelea kumtafuna sanaaaaNauliza hivi kweli kuna mtu ambae hajawahi kua refered kwenda milembe anategemea au anawaza kwamba Magufuri atakua rais wa Tanzania?
Magufuri awe rais kwa kipi au sifa gani aliyonayo, what is special kwa magufuri.
Magufuri kua rais itakua ajabu au maajabu ya dunia,itakua ajabu mpya duniani,new world wonder na itakua kivutio cha utalii.
Only milembe refered individuals wanawaza kwamba Magufuri anaweza kua rais wa Tanzania. Magufuri kila alichokifanya alifanya chini ya kiwango, ni mtu wa idadi na sio ubora.
Unakuta anajisifu kwa mibarabara mirefu alafu mibovu,hana traits za uongozi,hana calibre ya uongozi,hana sifa ya uongozi. Magufuri anafaa kuongozwa na kupewa maelekezo sio yeye kuongoza. Hilo tuliona kipindi anakurupuka kufungia malori ikabidi waziri mkuu amuongoze,hana busara,hana diplomasia ambayo ndio sifa kuu moja wapp ya kiongozi mkuu.
Ni wendawazimu na vichaa tu wanaamini magufuri atakua raisi.
KIPINDI hicho ALIKUWA ni "zwazwa"da huyu jamaa wakati anatoa huu waraka alikuwa hajui kitakachotokea nafikiri ndiyo wanaopata tabu sana sasahivi wakati jpm anafanya mambo makubwa inabidi aandike uzi mwingine wakumuomba msamaha magfuli hla sivyo hii zambi itaendelea kumtafuna sanaaaa
Uliona mbali bado wenye akili hatumkubali huyu Kama raisiNauliza hivi kweli kuna mtu ambae hajawahi kua refered kwenda milembe anategemea au anawaza kwamba Magufuri atakua rais wa Tanzania?
Magufuri awe rais kwa kipi au sifa gani aliyonayo, what is special kwa magufuri.
Magufuri kua rais itakua ajabu au maajabu ya dunia,itakua ajabu mpya duniani,new world wonder na itakua kivutio cha utalii.
Only milembe refered individuals wanawaza kwamba Magufuri anaweza kua rais wa Tanzania. Magufuri kila alichokifanya alifanya chini ya kiwango, ni mtu wa idadi na sio ubora.
Unakuta anajisifu kwa mibarabara mirefu alafu mibovu,hana traits za uongozi,hana calibre ya uongozi,hana sifa ya uongozi. Magufuri anafaa kuongozwa na kupewa maelekezo sio yeye kuongoza. Hilo tuliona kipindi anakurupuka kufungia malori ikabidi waziri mkuu amuongoze,hana busara,hana diplomasia ambayo ndio sifa kuu moja wapp ya kiongozi mkuu.
Ni wendawazimu na vichaa tu wanaamini magufuri atakua raisi.
Endeleeni kutomkubali tu Mana HATA CUF hawakumkubali Shein miaka yote ile lakini mwenzao Karibu anang'atuka kwi kwi kwi kwiUliona mbali bado wenye akili hatumkubali huyu Kama raisi
Ndo maana nchi iko hoi, kiuchumi wananchi wamechoka mbaya wanadanganywa na sgr, miaka mitano ni kelele tu. Bajeti inatekelezwa kwa 22%Endeleeni kutomkubali tu Mana HATA CUF hawakumkubali Shein miaka yote ile lakini mwenzao Karibu anang'atuka kwi kwi kwi kwi
Nauliza hivi kweli kuna mtu ambae hajawahi kua refered kwenda milembe anategemea au anawaza kwamba Magufuri atakua rais wa Tanzania?
Magufuri awe rais kwa kipi au sifa gani aliyonayo, what is special kwa magufuri.
Magufuri kua rais itakua ajabu au maajabu ya dunia,itakua ajabu mpya duniani,new world wonder na itakua kivutio cha utalii.
Only milembe refered individuals wanawaza kwamba Magufuri anaweza kua rais wa Tanzania. Magufuri kila alichokifanya alifanya chini ya kiwango, ni mtu wa idadi na sio ubora.
Unakuta anajisifu kwa mibarabara mirefu alafu mibovu,hana traits za uongozi,hana calibre ya uongozi,hana sifa ya uongozi. Magufuri anafaa kuongozwa na kupewa maelekezo sio yeye kuongoza. Hilo tuliona kipindi anakurupuka kufungia malori ikabidi waziri mkuu amuongoze,hana busara,hana diplomasia ambayo ndio sifa kuu moja wapp ya kiongozi mkuu.
Ni wendawazimu na vichaa tu wanaamini magufuri atakua raisi.
Endeleeni kutomkubali tu Mana HATA CUF hawakumkubali Shein miaka yote ile lakini mwenzao Karibu anang'atuka kwi kwi kwi kwi
Nauliza hivi kweli kuna mtu ambae hajawahi kua refered kwenda milembe anategemea au anawaza kwamba Magufuri atakua rais wa Tanzania?
Magufuri awe rais kwa kipi au sifa gani aliyonayo, what is special kwa magufuri.
Magufuri kua rais itakua ajabu au maajabu ya dunia,itakua ajabu mpya duniani,new world wonder na itakua kivutio cha utalii.
Only milembe refered individuals wanawaza kwamba Magufuri anaweza kua rais wa Tanzania. Magufuri kila alichokifanya alifanya chini ya kiwango, ni mtu wa idadi na sio ubora.
Unakuta anajisifu kwa mibarabara mirefu alafu mibovu,hana traits za uongozi,hana calibre ya uongozi,hana sifa ya uongozi. Magufuri anafaa kuongozwa na kupewa maelekezo sio yeye kuongoza. Hilo tuliona kipindi anakurupuka kufungia malori ikabidi waziri mkuu amuongoze,hana busara,hana diplomasia ambayo ndio sifa kuu moja wapp ya kiongozi mkuu.
Ni wendawazimu na vichaa tu wanaamini magufuri atakua raisi.
Ndo maana nchi iko hoi, kiuchumi wananchi wamechoka mbaya wanadanganywa na sgr, miaka mitano ni kelele tu. Bajeti inatekelezwa kwa 22%
Wajinga Kama wewe mliokosa exposure ndo mnasujudu na kuabudu
[/QUOTE
Koma we mi namsujudia na kumuabudu mwenyezi mungu alieniweka tumboni kwa mama yangu.
ILA
Ni kweli namhusudu Sana JPM na awamu yake.
NINA SABABU MTAMBUKA
M engi ya hovyo tuyapitiayo ni matokeo ya TAWALA ZILIZOPITA...japo Zina baadhi ya mazuri yake.....
MABAYA YAKE NI NINI?
-Kuacha watu kutengeneza vyeti feki....VILIJAA KILA KONA,WATU WAKAPATA KAZI ZENYE MARUPURUPU MENGI NA ZILIZO NYETI NA KUWANYIMA FURSA BAADHI YA VIJANA WALIOSOTA KUSOMA.....
Eti kuna Yule mkenya zwazwa aliosema eti ukitaka kutuficha watz "uyafiche" maandishini...Sasa mbona tunayasoma "MAANDISHI hayo" ha ha ha ha kalamu HAITUPOTEZI...Hahahahaha, tekinolojia bwana! Naona kuna watu wanatamani wajitie kaburini.
Umefeli kwa sababu magufuli alituambia kuwa fedha za ESCROW NI Mali ya UMMA?!!!!Huyu bwana aliona mbali sana leo tunajionea wenyewe kila kitu tumefeli
Kipofu ni vigumu kuijua njia labuda kuikalili kama ulivyo kalilishwa weweUmefeli kwa sababu magufuli alituambia kuwa fedha za ESCROW NI Mali ya UMMA?!!!!
Umefeli kwa sababu magufuli kawabana WAUZA NGADA na WALANGUZI MIPAPA YA NCHI?!!!!
Umefeli kwa sababu magufuli kaubadilisha ule mfumo mbovu wa kutoa mikopo pale HESLB KWA VIJANA WA TAIFA HILI?!!!
Mimi "nimekalilishwa" wewe hujakaririshwa...Kipofu ni vigumu kuijua njia labuda kuikalili kama ulivyo kalilishwa wewe